Sharjah safari park, mbuga ya wanyama iliyotengenezwa UAE kudumaza utalii wa Tanzania

Sharjah safari park, mbuga ya wanyama iliyotengenezwa UAE kudumaza utalii wa Tanzania

Waarabu wanaua mbuga zetu kwa kasi sasa hivi mtu akiwa zake mapumziko Dubai hana haja ya kuja Tz anaenda zake Sharjah safari park anaona wanyama wote waliopo hapa

Pia jamaa wameamua pia majina ya Tanzania kuyahamishia huko mfano
Kuna Serengeti kuna Ngorongoro

Kuna mji umejengwa kama Zanzibar na umeitwa hivo magari ya watalii pia yamejazana huko hatma yetu kama taifa sijui ipo wapi upande wa utalii

Wamejenga mpaka yale madaraja ya kamba kama ya lake Manyara.
View attachment 2462127View attachment 2462128View attachment 2462129View attachment 2462130View attachment 2462131View attachment 2462132View attachment 2462133
Rekebisha usemi wako
waarabu wanauaje mbuga zetu bila sisi kuhusika
 
Waarabu wanaua mbuga zetu kwa kasi sasa hivi mtu akiwa zake mapumziko Dubai hana haja ya kuja Tz anaenda zake Sharjah safari park anaona wanyama wote waliopo hapa

Pia jamaa wameamua pia majina ya Tanzania kuyahamishia huko mfano
Kuna Serengeti kuna Ngorongoro

Kuna mji umejengwa kama Zanzibar na umeitwa hivo magari ya watalii pia yamejazana huko hatma yetu kama taifa sijui ipo wapi upande wa utalii

Wamejenga mpaka yale madaraja ya kamba kama ya lake Manyara.
View attachment 2462127View attachment 2462128View attachment 2462129View attachment 2462130View attachment 2462131View attachment 2462132View attachment 2462133
Lawama zote kwa Mzee Mwinyi Rais wa awamu ya pili,
 
So long as kama wananunua kwa kufuata taratibu na kulipia as well as kulipia Hati Miliki n.k. ya kutumia brand zetu hakuna neno..., na sio kulipa tu, bali wanalipa nchi na sio mwananchi fulani
 
Tusiishie kulaumu na sis tujenge dubai yetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Waarabu wanaua mbuga zetu kwa kasi sasa hivi mtu akiwa zake mapumziko Dubai hana haja ya kuja Tz anaenda zake Sharjah safari park anaona wanyama wote waliopo hapa

Pia jamaa wameamua pia majina ya Tanzania kuyahamishia huko mfano
Kuna Serengeti kuna Ngorongoro

Kuna mji umejengwa kama Zanzibar na umeitwa hivo magari ya watalii pia yamejazana huko hatma yetu kama taifa sijui ipo wapi upande wa utalii

Wamejenga mpaka yale madaraja ya kamba kama ya lake Manyara.
View attachment 2462127View attachment 2462128View attachment 2462129View attachment 2462130View attachment 2462131View attachment 2462132View attachment 2462133
Dah! Siamini haya! Ila nitaandika Makala yenye ukweli kuitia hasara project hii!
 
Ataelewa wapi wakati chuki za kidini zimewatawala?!!! Hamna kitu hapo ni chuki tu za dini. Wala hawezi kuongea lolote kuhusu zoo ulaya na maeekani
Nyie watu muda wote huwa mnahisi mnaonewa. Ukimuongelea mwaarabu hapo anajua umeshaongelea dini fulani.
Hii ndiyo athari ya mtoto kumpeleka madrasa badala ya shule. Shule inasaidia sana
 
Ataelewa wapi wakati chuki za kidini zimewatawala?!!! Hamna kitu hapo ni chuki tu za dini. Wala hawezi kuongea lolote kuhusu zoo ulaya na maeekani
hakika kabisa, kuna mazoo makubwa makubwa yana kila aina ya wanyama nchi nyingi za ulaya lakini hakuna anayekuja humu kulalamika. Leo dubai ndiyo imekuwa nongwa.

Kuna ambao hawawezi kufika huku Tz na watakwenda kuona hao wanyama huko makwao na kuna wale ambao lazima wawaone kwenye mazingira yao ya asili watakuja kwetu. Mbona hatusikii Kenya wakilalamika ni sisi tu?
 
20221229_175010.jpg
 
Kuna bustani za wanyama ( zoo) nyingi duniani tena kubwa ikiwemo Disney nazo zinatumia majina ya Mbuga za Wanyama Afrika ukiwemo hilo la Serengeti lakini hazijawahi kuathiri utalii wetu. Zaidi ni advantage kwetu kwa kutangaza vivutio vyetu.

Kuna watu wanaopenda kuona Wanyama katika mazingira halisi sio hayo ya kufungiwa.
Akili Huna kabisa hata kidogo
 
Usitishwe na hizo serengeti artificial mtalii akitaka kuiona serengeti original ataitafuta na atakuja tu. Hao tuwashukuru wanatutangazia soko la utalii
 
Do gvt really care ..?
Wewe ulitaka wafanyeje? Tuanzie hapo. Je wawazuie wasianzishe hiyo artificial Park ama? Vijana Bwana, mmekuwa wepesi wa kutoa lawama kiholelaholela.
 
Hiyo ndiyo furaha ya Lisu
Maana ukipinga atakwambia utashitakiwa MIGA
Acha upumbavu wewe ccm mnawafukuza Wamasai Loliondo ili kujichukulia urithi wao waliopewa na Mungu na kuupeleka kwenye nchi za Waarabu kwa kisingizio cha Maendeleo,mkikwama lawama mnapeleka kwa Lisu na Mbowe ambao hawajahusika kwa jambo lolote kwa vile mlishajua Watanzania wengi ni mbu mbu mbu basi wataendelea kuamini unafiki wenu.
 
Back
Top Bottom