Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK, hizo mbuga sio shida na wajenge. Cha muhimu ni kujua kuwa kila kitu kina mwisho wake. Hata mbuga kuna wakti utafika zitafifia au kutokuwa deal tena. Mipango mbadala muhimu.Sizani
Halooooo Peter [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2462134
Huwezi kudanganya akili yako kihivo....mnasikitishaHiyo ndiyo furaha ya Lisu
Maana ukipinga atakwambia utashitakiwa MIGA
Lissu yupi? Au huyo mmeo unaishi nae hapo kwako nae anaitwa LissuHiyo ndiyo furaha ya Lisu
Maana ukipinga atakwambia utashitakiwa MIGA
Hiyo ndiyo furaha ya Lisu
Maana ukipinga atakwambia utashitakiwa MIGA
Mbona jazba mie nakufahamisha tu punguza jazba kiongozi.Mpumbavu ni wew unayetokea ukoo wa wapumbavu
Ndiyo wapewe wanyama wetu bure?
Huyo fisi ni lini uliongea naePamoja na yote,wataiga lakini hawataweza, Mungu si mjinga kama wao, hata waige vipi mbuga zetu zitabaki kuwa juu, fisi anafurahi zaidi kula mizoga akiwa kwenye mbuga zetu za asili kuliko hizo za kutengeneza, na watalii watazidi kuja tu huku bongo. wawahamishe basi na wahazadbe na wamasai
Tuendelee kusubiria CCM wstuletee mgombea au siyo?Waarabu wanaua mbuga zetu kwa kasi sasa hivi mtu akiwa zake mapumziko Dubai hana haja ya kuja Tz anaenda zake Sharjah safari park anaona wanyama wote waliopo hapa
Pia jamaa wameamua pia majina ya Tanzania kuyahamishia huko mfano
Kuna Serengeti kuna Ngorongoro
Kuna mji umejengwa kama Zanzibar na umeitwa hivo magari ya watalii pia yamejazana huko hatma yetu kama taifa sijui ipo wapi upande wa utalii
Wamejenga mpaka yale madaraja ya kamba kama ya lake Manyara.
View attachment 2462127View attachment 2462128View attachment 2462129View attachment 2462130View attachment 2462131View attachment 2462132View attachment 2462133
Baada ya kusema hayo akapita katikati yao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na hili nalo mkalitizame.
Akapanda ndege akaenda zake
Biashara ushindaniWaarabu wanaua mbuga zetu kwa kasi sasa hivi mtu akiwa zake mapumziko Dubai hana haja ya kuja Tz anaenda zake Sharjah safari park anaona wanyama wote waliopo hapa
Pia jamaa wameamua pia majina ya Tanzania kuyahamishia huko mfano
Kuna Serengeti kuna Ngorongoro
Kuna mji umejengwa kama Zanzibar na umeitwa hivo magari ya watalii pia yamejazana huko hatma yetu kama taifa sijui ipo wapi upande wa utalii
Wamejenga mpaka yale madaraja ya kamba kama ya lake Manyara.
View attachment 2462127View attachment 2462128View attachment 2462129View attachment 2462130View attachment 2462131View attachment 2462132View attachment 2462133