Sharjah safari park, mbuga ya wanyama iliyotengenezwa UAE kudumaza utalii wa Tanzania

Sharjah safari park, mbuga ya wanyama iliyotengenezwa UAE kudumaza utalii wa Tanzania

Kuna bustani za wanyama ( zoo) nyingi duniani tena kubwa ikiwemo Disney nazo zinatumia majina ya Mbuga za Wanyama Afrika ukiwemo hilo la Serengeti lakini hazijawahi kuathiri utalii wetu. Zaidi ni advantage kwetu kwa kutangaza vivutio vyetu.

Kuna watu wanaopenda kuona Wanyama katika mazingira halisi sio hayo ya kufungiwa.
Ataelewa wapi wakati chuki za kidini zimewatawala?!!! Hamna kitu hapo ni chuki tu za dini. Wala hawezi kuongea lolote kuhusu zoo ulaya na maeekani
 
Kuna bustani za wanyama ( zoo) nyingi duniani tena kubwa ikiwemo Disney nazo zinatumia majina ya Mbuga za Wanyama Afrika ukiwemo hilo la Serengeti lakini hazijawahi kuathiri utalii wetu. Zaidi ni advantage kwetu kwa kutangaza vivutio vyetu.

Kuna watu wanaopenda kuona Wanyama katika mazingira halisi sio hayo ya kufungiwa.
Kweli wazungu sio mbumbumbu kama sisi wao wanataka vitu vya muonekano na mazingira ya asili sio ya kutengeneza !! Hiyo Zoo wataenda waarabu wenzao wasioweza kusafiri !!
 
Nchi ngumu sana hii.
Wanahamasisha utalii wakati huo huo wanagawa korongo na wanyama pori wengine kwa nchi jirani.
Na kuruhusu wanyama kuwekwa kwenye mahotel ya watu binafsi.
Kazi ipooo
 
Hiyo ndiyo furaha ya Lisu
Maana ukipinga atakwambia utashitakiwa MIGA
Hapo na bado, Arusha na yenyewe itakuwa kwa waarabu muda si mrefu
Na CCM haitoki madarakani ng'ooo mpaka maji uite mma.
Kidumu chama cha mapinduzi! Kazi iendeleee
 
Huko ndo ujombani baba, acha wahamishie huko wanyama wote.........kumbuka mjomba ni mama.
 
Kwa jicho la tatu Kali sana, hii inaweza kuwa "blessings in the disguise".
 
Waarabu wanaua mbuga zetu kwa kasi sasa hivi mtu akiwa zake mapumziko Dubai hana haja ya kuja Tz anaenda zake Sharjah safari park anaona wanyama wote waliopo hapa

Pia jamaa wameamua pia majina ya Tanzania kuyahamishia huko mfano
Kuna Serengeti kuna Ngorongoro

Kuna mji umejengwa kama Zanzibar na umeitwa hivo magari ya watalii pia yamejazana huko hatma yetu kama taifa sijui ipo wapi upande wa utalii

Wamejenga mpaka yale madaraja ya kamba kama ya lake Manyara.
View attachment 2462127View attachment 2462128View attachment 2462129View attachment 2462130View attachment 2462131View attachment 2462132View attachment 2462133
CDM wanahusika katika hili, hii haikubaliki!!
 
Pamoja na yote,wataiga lakini hawataweza, Mungu si mjinga kama wao, hata waige vipi mbuga zetu zitabaki kuwa juu, fisi anafurahi zaidi kula mizoga akiwa kwenye mbuga zetu za asili kuliko hizo za kutengeneza, na watalii watazidi kuja tu huku bongo. wawahamishe basi na wahazadbe na wamasai
Unahisi fisi ana utambuzi wa kujua kuwa hapa ni mbugani hapa nipo zoo?
 
Back
Top Bottom