‘Shark loans’ namna taasisi za fedha za nchi tajiri wanavyowalewesha mikopo nchi maskini na kuweka mazingira ya kufubaza uchumi

‘Shark loans’ namna taasisi za fedha za nchi tajiri wanavyowalewesha mikopo nchi maskini na kuweka mazingira ya kufubaza uchumi

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Biashara ya kutoa mikopo ni biashara kama biashara nyingine. Unavyouza mikopo Zaidi ndivyo unavyopata faida Zaidi.

Kwa nchi zilizoendelea kama Marekani, mataifa ya Ulaya, Japan, na hata China, hizi ni nchi ambazo zimefanikiwa kuwa na efficiency kubwa sana kwenye mabenki, na pia benki kuu katika nchi hizo kwa ndani ya miaka 15 iliyopita, walikuwa na sera ambazo zilipelekea interest rates (au kiwango cha riba) kwenye hizo nchi, kuwa chini sana.

Matokeo yake ni kwamba, benki, investors na wakopeshaji wengi sana wa hizi nchi tajiri, wamekuwa ni kama wana struggle kwenye kutengeneza faida ndani ya masoko yao, hususani kwasababu, cost of funds ni ndogo lakini pia lending costs ni ndogo, kwahiyo wamekuwa wakitengeneza ‘a very thin margin’ kwenye mikopo ndani ya nchi zao, kitu ambacho kwa investors huwa hakifurahishi.

Kwahiyo trick ikawa ni kwamba, hizi nchi tajiri ikabidi wa dizaini namna ya kuwabambika mikopo nchi maskini the likes of Zambia, Tanzania, Kenya nk. Kwasababu kama nilivosema kwenye utangulizi wangu, biashara ya mikopo, ni kama biashara nyingine, unavyouza mikopo zaidi ndo unavyozidi kutengeneza pesa zaidi.

Na kwa kutumia taasisi hizo hizo zao kwenye assessment ya credit ratings, imejikuta kwamba kumejengeka mfumo wa kuhakikisha kwamba risk profile ya mataifa mengi maskini inakuwa juu sana, ili basi hata riba ya mikopo ambayo watapewa pia itakuwa ni kubwa.

Mikopo inayofubaza uchumi – mikopo isiyoelekezwa kwenye matumizi yenye tija

Kikubwa ni kwamba, hizi taasisi za kifedha za nchi tajiri, wanataka kuhakisha kwamba, mikopo mingi ambayo nchi masikini watakopa, basi isiweze kulipika daima, ili kwamba iwe ni kama vile Ng’ombe unayemkamua maziwa kila siku.

Kwa hivo basi, nchi maskini zimekuwa zikijikuta zina finance miradi ambayo ‘payoff’ yake ni ndogo iki maanisha kwamba, mradi husika unaweza kuwa na impact ndogo kwenye uchumi kitu ambacho kitapelekea kukosekana kwa cash flow ya kulipa hiyo mikopo husika.

Lakini ni kama pia kuna agenda ambayo huwa inajificha kwenye hii mikopo ya kimataifa. Ni kwanini mikopo ambayo huwa inalenga mambo ya kipuuzi huwa inakuwa inatolewa haraka haraka sana? Na ile ambayo ina maslahi mapana nay a muda mrefu huwa inapigwa danadana?

Ukijijibu hayo maswali vizuri, utakuja kuona kwamba, hizi taasisi huwa hazina malengo ya kuona kwamba uchumi wa hizi nchi unaboreka, ndio maana kuna mikopo serikali inapata kwa haraka haraka na ukiangalia matumizi yake unaona ni matumizi ya kipumbavu kabisa.

Zaidi zaidi nadhani hii ni aina mpya ya ukoloni mamboleo kwa kutumia taasisi za kifedha za kimataifa kuhakikisha kwamba wanawalewesha na kufubaza maendeleo ya hizi nchi kupitia mikopo ya kinyonyaji, kwasababu ni mikopo isiyolipika, yenye riba kubwa, na ambayo inabeba systemic risks za kuangusha hata mfumo mzima wa uchumi wa nchi husika – ukiangalia kinachowakuta Ghana kwa sasahivi.

Inavoonekana ni kwamba pia Tanzania, hatuwezi kujikwepa na huu mtego, tayari tupo kwenye ile debt trap, maana kwa miaka saba iliyopita nchi imeongeza deni kwa karibu USD 12 billion (TZS 27 Trillioni) ambazo mimi binafsi ukiniuliza zilipokwenda, bado ntachelea kukupa majibu.

External debt stock as per BOT

December 2015 – USD 15,408 millions

October 2022 – USD 27,482 millions

Changes between Dec 2015 to Oct 2022 = USD 12,074 millions

Watu wengi wanasema ‘Tanzania bado haipo kwenye high risk category na deni ni stahimilivu kwa just kuangalia tu upande wa debt to GDP ratio’ lakini ukiangalia kwenye upande wa ‘cash flow’ iliyopo ambayo ni kodi na tozo za kila uchao na projected cash flow ya hivi vilivyoombewa mikopo ambayo mimi naona bado ni dhaifu, huwezi kuona huo ustahimilivu ulipo.

Nawaachia swali serikali, ‘pesa unayokopa unaifanyia nini?’ hilo swali nadhani ndio tungependa kuskia bunge likijadili kabla ya serikali kwenda kukopa, vinginevyo naona hizi deal zinafanyika kimya kimya na wizara ya fedha, naona kila kukicha kwa miaka 7 iliyopita wapo busy kila siku wakisaini mikataba ya kukopeshwa mabilioni lakini hawataki kutujibu hilo swali, wanafanyia nini mikopo? Je unakopa ulipe mishahara? Je unakopa ili ulipe madeni?

Ni hayo tu.

N.Mushi
 
Nice thread,
Na pia ni lazima ukipe kwa currency anayotaka mkopeshaji,

Na pia kuna suala zima la thamani ya fedha yako kushuka,
Jinsi muda unavozidi kwenda hadi kufikia tamati ya deni unaweza jikuta umelipa Mara mbili au tatu ya riba uliingia mkataba nao.
 
Mtu anayeambiwa atafute namna ya kufanya ili kupunguza kukopa, lakini anaishia kumuadhibu yule aliyemshauri, huyu kwangu ndie tatizo kubwa zaidi ya mikopo yenyewe, naona tungeanza kulitatua tatizo hili kwanza ndio mengine yafuate.
 
Biashara ya kutoa mikopo ni biashara kama biashara nyingine. Unavyouza mikopo Zaidi ndivyo unavyopata faida Zaidi.

Kwa nchi zilizoendelea kama Marekani, mataifa ya Ulaya, Japan, na hata China, hizi ni nchi ambazo zimefanikiwa kuwa na efficiency kubwa sana kwenye mabenki, na pia benki kuu katika nchi hizo kwa ndani ya miaka 15 iliyopita, walikuwa na sera ambazo zilipelekea interest rates (au kiwango cha riba) kwenye hizo nchi, kuwa chini sana.

Matokeo yake ni kwamba, benki na wakopeshaji wengie sana wa hizi nchi tajiri, wamekuwa ni kama wana struggle kwenye kutengeneza faida, hususani kwasababu, cost of funds ni ndogo lakini pia lending costs ni ndogo, kwahiyo wamekuwa wakitengeneza ‘a very thin margin’ kwenye mikopo yao, kitu ambacho kwa investors huwa hakifurahishi.

Kwahiyo trick ikawa ni kwamba, hizi nchi tajiri ikabidi wa dizaini namna ya kuwabambika mikopo nchi maskini the likes of Zambia, Tanzania, Kenya nk. Kwasababu kama nilivosema kwenye utangulizi wangu, biashara ya mikopo, ni kama biashara nyingine, unavyouza mikopo Zaidi ndo unavyozidi kutengeneza pesa.

Na kwa kutumia taasisi zao zao kwenye assessment ya credit ratings, imejikuta kwamba kumejengek mfumo wa kuhakikisha kwamba risk profile ya mataifa mengi maskini inakuwa juu sana, ili basi hata riba ya mikopo ambayo watapewa pia itakuwa ni kubwa.

Mikopo inayofubaza uchumi – mikopo isiyoelekezwa kwenye matumizi yenye tija

Kikubwa ni kwamba, hizi taasisi za kifedha za nchi tajiri, wanataka kuhakisha kwamba, mikopo mingi ambayo nchi masikini watakopa, basi isiweze kulipika daima, ili kwamba iwe ni kama vile Ng’ombe unayemkamua maziwa kila siku.

Kwa hivo basi, nchi maskini zimekuwa zikijikuta zina finance miradi ambayo ‘payoff’ yake ni ndogo iki maanisha kwamba, mradi husika unaweza kuwa na impact ndogo kwenye uchumi kitu ambacho kitapelekea kukosekana kwa cash flow ya kulipa hiyo mikopo husika.

Lakini ni kama pia kuna agenda ambayo huwa inajificha kwenye hii mikopo ya kimataifa. Ni kwanini mikopo ambayo huwa inalenga mambo ya kipuuzi huwa inakuwa inatolewa haraka haraka sana? Na ile ambayo ina maslahi mapana nay a muda mrefu huwa inapigwa danadana?

Ukijijibu hayo maswali ni kwamba, hizi taasisi ni kwamba, huwa hazina malengo ya kuona kwamba uchumi wa hizi nchi unaboreka, ndio maana kuna mikopo serikali inapata kwa haraka haraka na ukiangalia matumizi yake unaona ni matumizi ya kipumbavu.

Zaidi Zaidi nadhani hii ni form mpya ya ukoloni mamboleo kwa kutumia taasisi za kifedha za kimataifa kuhakikisha kwamba wanawalesha na kufubaza maendeleo ya hizi nchi kupitia mikopo. Kwasababu ni mikopo isiyolipika, yenye riba kubwa, na ambayo inabeba systemic risks za kuangusha hata mfumo mzima wa uchumi wa nchi – ukiangalia kinachowakuta Ghana kwa sasahivi.

Inavoonekana ni kwamba pia Tanzania, hatuwezi kujikwepa na huu mtego, tayari tupo kwenye ile debt trap, maana kwa miaka saba iliyopita nchi imeongeza deni kwa karibu USD 12 billion (TZS 27 Trillioni) ambazo mimi binafsi ukiniuliza zilipokwenda, bado ntachelea kukupa majibu.

External debt stock as per BOT

December 2015 – USD 15,408 millions

October 2022 – USD 27,482 millions

Changes between Dec 2015 to Oct 2022 = USD 12,074 millions

Watu wengi wanasema ‘Tanzania bado haipo kwenye high risk category na deni ni stahimilivu kwa just kuangalia tu upande wa debt to GDP ratio’ lakini ukiangalia kwenye upande wa ‘cash flow’ iliyopo na projected cash flow ya hivi vilivyoombewa mikopo, huwezi kuona huo ustahimilivu ulipo.

Nawaachia swali serikali, ‘pesa unayokopa unaifanyia nini?’ hilo swali nadhani ndio tungependa kuskia bunge likijadili kabla ya serikali kwenda kukopa, vinginevyo naona hizi deal zinafanyia kimya kimya na wizara ya fedha, naona kila kukicha kwa miaka 7 iliyopita wakisaidi mikataba ya kukopeshwa mabilioni lakini hawataki kutujibu hilo swali.

Ni hayo tu.

N.Mushi
Makini sana
 
Nchi hii ni shida tupu.Bora kuhama
Daaah wengine tushakuwa na familia.. bongo hatuwezi hama.. kwahiyo lazima tupige harakati tuhakikishe tunanyoosha mambo...

Maana tusipokuwa makini.. imekula kwetu.. ona Ghana sasahivi
 
Mikopo ni addictive, watakuja kuelewa pale nchi itakapowekwa kwenye mnada na hakuna pesa za kiuendeshaji.
Nakuunga mkono... mikopo ni addictive... ila kinachouma zaidi ni kukopa kufanya matumizi ambayo hayana kichwa wala miguu
 
Nice thread,
Na pia ni lazima ukipe kwa currency anayotaka mkopeshaji,

Na pia kuna suala zima la thamani ya fedha yako kushuka,
Jinsi muda unavozidi kwenda hadi kufikia tamati ya deni unaweza jikuta umelipa Mara mbili au tatu ya riba uliingia mkataba nao.
Na hiyo ndo trick part ya hii mikopo.. sasa kinachotokea ni kwamba ... hizi currency zetu hazipo stable.. matokeo yake ukitaka kulipa marejesho ya mkopo ambayo yapo kwenye currency ya dola, na wewe hauna reserve ya dola, itakubidi utafute namna ufanye devaluation of currency ili uvutie dola nyingi kwenye uchumi ili uweze kulipa mkopo.. matokeo yake inapelekea mfumuko wa bei na pesa yako inapoteza thamani

Angalia currency ya Ghana na kinachowakuta sasahivi
 
Biashara ya kutoa mikopo ni biashara kama biashara nyingine. Unavyouza mikopo Zaidi ndivyo unavyopata faida Zaidi.

Kwa nchi zilizoendelea kama Marekani, mataifa ya Ulaya, Japan, na hata China, hizi ni nchi ambazo zimefanikiwa kuwa na efficiency kubwa sana kwenye mabenki, na pia benki kuu katika nchi hizo kwa ndani ya miaka 15 iliyopita, walikuwa na sera ambazo zilipelekea interest rates (au kiwango cha riba) kwenye hizo nchi, kuwa chini sana.

Matokeo yake ni kwamba, benki na wakopeshaji wengie sana wa hizi nchi tajiri, wamekuwa ni kama wana struggle kwenye kutengeneza faida, hususani kwasababu, cost of funds ni ndogo lakini pia lending costs ni ndogo, kwahiyo wamekuwa wakitengeneza ‘a very thin margin’ kwenye mikopo yao, kitu ambacho kwa investors huwa hakifurahishi.

Kwahiyo trick ikawa ni kwamba, hizi nchi tajiri ikabidi wa dizaini namna ya kuwabambika mikopo nchi maskini the likes of Zambia, Tanzania, Kenya nk. Kwasababu kama nilivosema kwenye utangulizi wangu, biashara ya mikopo, ni kama biashara nyingine, unavyouza mikopo Zaidi ndo unavyozidi kutengeneza pesa.

Na kwa kutumia taasisi zao zao kwenye assessment ya credit ratings, imejikuta kwamba kumejengek mfumo wa kuhakikisha kwamba risk profile ya mataifa mengi maskini inakuwa juu sana, ili basi hata riba ya mikopo ambayo watapewa pia itakuwa ni kubwa.

Mikopo inayofubaza uchumi – mikopo isiyoelekezwa kwenye matumizi yenye tija

Kikubwa ni kwamba, hizi taasisi za kifedha za nchi tajiri, wanataka kuhakisha kwamba, mikopo mingi ambayo nchi masikini watakopa, basi isiweze kulipika daima, ili kwamba iwe ni kama vile Ng’ombe unayemkamua maziwa kila siku.

Kwa hivo basi, nchi maskini zimekuwa zikijikuta zina finance miradi ambayo ‘payoff’ yake ni ndogo iki maanisha kwamba, mradi husika unaweza kuwa na impact ndogo kwenye uchumi kitu ambacho kitapelekea kukosekana kwa cash flow ya kulipa hiyo mikopo husika.

Lakini ni kama pia kuna agenda ambayo huwa inajificha kwenye hii mikopo ya kimataifa. Ni kwanini mikopo ambayo huwa inalenga mambo ya kipuuzi huwa inakuwa inatolewa haraka haraka sana? Na ile ambayo ina maslahi mapana nay a muda mrefu huwa inapigwa danadana?

Ukijijibu hayo maswali ni kwamba, hizi taasisi ni kwamba, huwa hazina malengo ya kuona kwamba uchumi wa hizi nchi unaboreka, ndio maana kuna mikopo serikali inapata kwa haraka haraka na ukiangalia matumizi yake unaona ni matumizi ya kipumbavu.

Zaidi Zaidi nadhani hii ni form mpya ya ukoloni mamboleo kwa kutumia taasisi za kifedha za kimataifa kuhakikisha kwamba wanawalesha na kufubaza maendeleo ya hizi nchi kupitia mikopo. Kwasababu ni mikopo isiyolipika, yenye riba kubwa, na ambayo inabeba systemic risks za kuangusha hata mfumo mzima wa uchumi wa nchi – ukiangalia kinachowakuta Ghana kwa sasahivi.

Inavoonekana ni kwamba pia Tanzania, hatuwezi kujikwepa na huu mtego, tayari tupo kwenye ile debt trap, maana kwa miaka saba iliyopita nchi imeongeza deni kwa karibu USD 12 billion (TZS 27 Trillioni) ambazo mimi binafsi ukiniuliza zilipokwenda, bado ntachelea kukupa majibu.

External debt stock as per BOT

December 2015 – USD 15,408 millions

October 2022 – USD 27,482 millions

Changes between Dec 2015 to Oct 2022 = USD 12,074 millions

Watu wengi wanasema ‘Tanzania bado haipo kwenye high risk category na deni ni stahimilivu kwa just kuangalia tu upande wa debt to GDP ratio’ lakini ukiangalia kwenye upande wa ‘cash flow’ iliyopo na projected cash flow ya hivi vilivyoombewa mikopo, huwezi kuona huo ustahimilivu ulipo.

Nawaachia swali serikali, ‘pesa unayokopa unaifanyia nini?’ hilo swali nadhani ndio tungependa kuskia bunge likijadili kabla ya serikali kwenda kukopa, vinginevyo naona hizi deal zinafanyia kimya kimya na wizara ya fedha, naona kila kukicha kwa miaka 7 iliyopita wakisaidi mikataba ya kukopeshwa mabilioni lakini hawataki kutujibu hilo swali.

Ni hayo tu.

N.Mushi
Naantombe Mushi mbon inajulikana Tanzania iko sokoni. Mwigulu analifahamu vizuri ila kwa sababu wao watawala wanajiandalia future ya familia zao wanajua watapona. Kitakachofuata baada ya madeni ni vita ya sisi kwa sisi. Na hapo hesabu ni vizazi kazaa. Ni ajabu sana tena sana vyombo vya ulinzi na usalama kukaa tu wanaona kabisa muelekeo mbaya bila hata kuchukua hatua za kushauri. Inasikitisha. Dkt Magufuli alituaminisha nchi hii ni tajiri ila sasa hivi tunaambiwa ni maskini ya kutupwa bila mikopo mishahara hailipwi.
 
Mtu anayeambiwa atafute namna ya kufanya ili kupunguza kukopa, lakini anaishia kumuadhibu yule aliyemshauri, huyu kwangu ndie tatizo kubwa zaidi ya mikopo yenyewe, naona tungeanza kulitatua tatizo hili kwanza ndio mengine yafuate.
Ndugai alikuwa sahihi nadhani tu naye alikosa namna ya kulieleza bila mihemko.. but he was correct
 
Nchi hatuna rais
Hata wa chini yake nao hawafai... inaonekana ni chain ndefu.. halafu ukumbuke hizi taasisi wanavyowabambika mikopo ina maana huwa wanafanya lobbying..

Ndo mana kuna uwezekano kwamba kwenye hii borrowing spree.. kuna wakubwa watakuwa wanakula perfent zao
 
Back
Top Bottom