‘Shark loans’ namna taasisi za fedha za nchi tajiri wanavyowalewesha mikopo nchi maskini na kuweka mazingira ya kufubaza uchumi

Sio kwa serikali tuu mfumo wa mikopo uko sawa hata kwa mtu binafsi. Lazima kuna muda wa kuwajibika
 
Jilaumuni wenyewe kwa kuchagua na kuvumilia mafisi kwenye ofisi za umma. Kwanini watawala wetu wasikatae? Watakataaje wakati hawana sera wala uwezo wa kuendeleza watu wao zaidi ya matumbo yao na nyumba ndogo? Nasi kama mafala, hatuwatii kashkash wakatimka na kujaribu wengine.
 
Hatuna nchi nyingine, ndo nchi yetu hii.

Ila kwa hii trick ya mikopo wazungu wamejua kutuweza.
 
Mikopo na misaada ambayo serikali za magharibi wanatoa haraka ni mambo ya Ku empower wanawake,kutetea haki sawa,kupigana na ukimwi,haki za binadamu,na mambo kibao ambayo hayana impact ya moja kwa moja kwenye uchumi..
Fedha nyingi inakwenda katika vitu ambavyo sio tangible, huwezi ukaona impact yake na hata impact ikiwepo huwa sio ya muda mrefu

Matokeo yake, believe me misaada hii katika Mambo haya huwa n chanzo kikubwa cha kuongezeka katika vitendo vya rushwa serekalin na katika mashirika yasio ya kiserekali.
 
Mikopo na misaada ambayo serikali za magharibi wanatoa haraka ni mambo ya Ku empower wanawake,kutetea haki sawa,kupigana na ukimwi,haki za binadamu,na mambo kibao ambayo hayana impact ya moja kwa moja kwenye uchumi..
[emoji1787] ukipewa mkopo ukajidai sijui kununua mashine ya utafiti mafuta au madini umekwisha. Na ajabu Viongozi wetu kwakua wanalamba asali mtajuwa wenyewe watanzania. Bado safari ni ndefu.
 
Wanajua sana.ila uthubutu hawawezi. Yule marehemu aliweza japo mambo mengine aliharibu ila kwenye sera ya uchumi alikua anakwenda vizuri.
Umeongea ukweli,sio kwamba hawaju,wana maarifa,elimu,exposure KUBWA kutuzidi sisi tunao waona hawajui,wanatucheka huku wanakula keki ya Taifa...wao ndio wanufaika wanatatizo gani???shida haziwakuti wao wala familia zao,hizi zetu kama kelele za chura ,,wacha wakope
 
Usisikitike watanzania wenye uchungu na hii nchi wapo ila wananyimwa nafasi wasionekane lakini waswahili wanasema hakuna marefu yasiyo na ncha....
 
Kiranga umefungua sana ufahamu wangu kwa hivi vitabu unavyo attach humu.
Nimesoma hivyo vitabu dah shukrani mkuu bila wewe nisingejua kama kuna madini ya namna hii. Kuna kile "philosophy of religion: an anthology" ni kizuri sana.
Angalau akili zinafunguka sasa. Naendelea kukufuatilia.

Thanks bro.
 
Anytime bro.

Haya mambo ni muhimu sana kujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…