Aah we kwenda zako, mi na wewe njia moja, si bora hata nisiende
I really hope uwe ni uvumi tu huu..
mungu amlaze mahali pema peponi sharo millionea ebu wana jf nisaidieni naona kila mtu anaweka hizi herufi "rip" ebu sisi wa kijijini tuelewesheni na mimi ngoja niigilizie rip sharo ingawa sijui maana yake nionekane wa mujini.
Lowassa stop killing us
Wakati mwingine basi uwe unaficha upumbavu wako unadhani kuongea sana ndio unaonekane mjanja wa JF, mijitu mingine bana...kwa hiyo wewe huwezi kufa...njia yetu sote kila mwanadamu kaumbiwa kifo. Wewe kila sehemu ushabiki wa vyama tu. Papuluioo!!
source. www.saintivuga.com
ndani ya wiki moja wasanii watatu tena wa maigizo wametangulia mbele za haki inasikitisha sana, ila kaz ya mola haina makosa, msalimie kanumba sharo