Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Aah we kwenda zako, mi na wewe njia moja, si bora hata nisiende
Wakati mwingine basi uwe unaficha upumbavu wako unadhani kuongea sana ndio unaonekane mjanja wa JF, mijitu mingine bana...kwa hiyo wewe huwezi kufa...njia yetu sote kila mwanadamu kaumbiwa kifo. Wewe kila sehemu ushabiki wa vyama tu. Papuluioo!!