TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

Dah! nimeupokea msiba huu kwa masikitiko makubwa sana, sina raha hata kidogo moyoni mwangu kuondokewa na mchekeshaji mzuri kama huyu aliyekuwa na jukumu la msingi la kutuongezea siku za kuishi za kila mmoja wetu kwa kutuchekesha.

Ila kwa kuwa kila mwenye uhai lazima aonje mahuti, hatuna budi kumtakia apumzike kwa amani SHAROMILONEA.
MUNGU KWA MAPENZI YAKE AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI Ameen!
 
Duniani 2napita siku zote 2ishi kwa kumpendeza Mungu coz hakuna ajuaye zamu yake ni lini. Bwana alitoa Bwana ametwa.
 
#Umejuaje ni mapenzi ya Mungu,
acheni tabia za kumsingizia Mungu kila kitu.
 
Rip Sharo millionea! Mungu akulaze mahal pema pepon amina.
 
Mwenyezi Mungu aiweke roho yake pahali panapomstahili
 
Lala salama, "sharobaro wanatoa wapi men!!!!"

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
HHHaaHHH!!! RIP Sharo
 
kazi yake mola, haina makosa atafanya atakalo atafanya apendalo kwani dunia ni yake na hakna ashindwalo...
 
sasa kama aliiishi maisha ya kipumbavu pumbavu akifikiri muda bado. sasa imeshakuwa mbaya. kifo tunatembea nacho wajameni. RIP MEEN!

Worthless post! Not everyone believes in life after death after all. Usihukumu nawe utahukumiwa mkuu
 
Wazushi wameshaanza eti alikuwa FREEMASON.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…