Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Bado Diamond.
kama kumbu kumbu zangu ziko vizuri sharo anakuwa msanii wa tatu kufariki akiwa anafanya kazi karibu na mzee majuto........anyway rip sharo!
Niulize,'what was his real name?
Wameshaanza tetesi zao, na wale wa magazeti "Pendwa" wakiona komenti kama hiyo wanaibeba kama ilivyo.hizi ndizo tunaita idea za gizani
kina nani hao wengne?wataje basi
na nia yako ni nin hasa??
watu wazima mnaleta masihara ya kipumbavu
Asante sana THE BIG SHOW.
Nimempoteza nikiwa bado namuhitaji sana.
Nitakutana nae peponi.
Siwezi kuficha Hisia zangu.
Asante sana.
Niulize,'what was his real name?
wameshaanza tetesi zao, na wale wa magazeti "pendwa" wakiona komenti kama hiyo wanaibeba kama ilivyo.
Madame B ulikuwa unamuhitaji aje jamani?
alikuwa x-boy wangu best.
Japo kama ujuavyo,mahawara hawaachani.
Wameshaanza tetesi zao, na wale wa magazeti "Pendwa" wakiona komenti kama hiyo wanaibeba kama ilivyo.