Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nchi ambayo haina ajali? alikuwa kipenzi sana cha mtoto wangu, akimuona kwenye luninga tu.. Sharo meenn! duh! RIP Bra Sharo meeeeeeenduh Rest in Peace....
hii nchi bana..ajali kila siku....
mmh sharo anayeigiza sana na king majuto au nimemix madesa!??
aah we kwenda zako, mi na wewe njia moja, si bora hata nisiende
:rip: Hussein ramadhan mteity,
a.k.a sharo millionea.
Nimeumia sana.
RIP Sharobaro! Sijui kwa nini mtu akianza kuvuma anatangulia mbele ya haki!
Gone too soon, R.I.P in peace sharo milionea.Wana Jf,
Kuna habari za kusikitisha na uhakika kuwa msanii aliyekuwa maarufu kwa jina la Sharo Millionea, msanii wa muziki na maarufu katika kuwepo kwake katika matangazo kwa style ya aina yake amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Tanga.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.
![]()
![]()
====================
UPDATE
====================
pole madam,pole sana kwa maumivu hayo ya moyo
kwa kweli ni habari ya simanzi sana