Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isije lakini ikawa umempiga kipapai baada ya kukutema...lol
madam iq yako iko juu sana,,
mimi pia hua nashangaa sana wakati mwingne
yan kama kuna mdau kaleta habari ya kuhuzunisha tuseme kama ya kifo iv,mtu akilike ile thread au ile habari eti anahukumiwa kwamba kafurahishwa na ile habari had kaamua kuipa like kitu ambacho its soo nonsense,,mtu anakua amelike kwa kuguswa kwake kwa kuipata ile habari na sio kma kafurahishwa na taarifa ile ya simanzi,,ieleweke kiivo..
na ningejua ya kwamba waumia kiivi hata ile pole yenyewe nisingekupa
nimegaili sasa,nishaifuta pole yangu,,
chukua hizo za wengne zikufariji,,ya kwangu,,mmh mmh,,hapana
nimeichukua pole yangu
Msanii Shallow Ballow Milionea amefariki dunia leo mjini Tanga Lushoto kwa ajali ya gari,,mungu amlaze mahali pema peponi daima,,
Chanzo: BBC swahili
acha wenge wewe.
Nipe pole yangu the big show wewe.
Hapana.
Ni mwaka sasa umepita.
Ila hata kama, nisingeweza katu.
daah nilikuwa sijaipata hii wakuuu, kunamwenye mapicha yake nini source?? ajari au ni nii???
duh Rest in Peace....
hii nchi bana..ajali kila siku....
haya basi nimeirudisha
au nikuongeze??
Mungu amlaze mahala pema pepon your "x"