Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
There are currently 742 users browsing this thread. (73 members and 669 guests)
Hoya Nyie Guests Mnatuyeyusha Jiungeni Bwana!!!!!
There are currently 742 users browsing this thread. (73 members and 669 guests)
Hoya Nyie Guests Mnatuyeyusha Jiungeni Bwana!!!!!
Mmmhhh wewe nae huna dogo.?? Ila hata mie kweli huwa hawa jamaa wananiyeyusha sana angalia walivyo wengi kuliko hata members???
Tatizo lako wewe unaumwa uogaNachukia sana watu mnaoanika miili ya marehemu wakiwa katika hali mbaya kama Mwehu mmoja alivyofanya ktk moja ya uzi hapa jamvini. Ni vizuri mkaacha tabia hii fikiria ungekuwa wewe ungefurahi
Wengine waandishi ya magazeti "pendwa" ya udaku wanatafuta habari za kuuzia magazeti yao kesho.There are currently 742 users browsing this thread. (73 members and 669 guests)
Hoya Nyie Guests Mnatuyeyusha Jiungeni Bwana!!!!!
Halafu Mtaani wanavyojisifu u Member Nguli wa JF. Utawasikia mimi ndiye Albedo wa JF ha ha ha
Wengine waandishi ya magazeti "pendwa" ya udaku wanatafuta habari za kuuzia magazeti yao kesho.
Wengine waandishi ya magazeti "pendwa" ya udaku wanatafuta habari za kuuzia magazeti yao kesho.
Haaaaaaaaaa Katavi kweli maaana huwa wanasemaga sosi zao kwamba kuna mchangiaji mmoja alisema lol
There are currently 814 users browsing this thread. (74 members and 740 guests)
Duuuuh, dogo alazwe pema peponi aiseee. Inauma ila marufuku ''kugonga like'' uzi huu
Confirmed mkuu ni kweli ametuaga jamaaa.....
Nimepata habari kutoka kwa Steve Nyerere jamaa amevuta.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums