Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alikuwa anaenda kwao muheza alikuwa mwenyewe kwenye gari .. Alipata ajali sa mbili.
Confirmed.
Wana Jf,
Kuna habari za kusikitisha na uhakika kuwa msanii aliyekuwa maarufu kwa jina la Sharo Millionea, msanii wa muziki na maarufu katika kuwepo kwake katika matangazo kwa style ya aina yake amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Tanga.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.
![]()
Habari nilizozipata hivi sasa wandugu zimenishtua sana. Zinasema kuwa msanii maarufu wa maigizo Sharo millionea mzee wa swagga, umebugi men, AMEFARIKI DUNIA kwa ajari ya gari usiku huu huko Muheza Tanga. Naandika thread hii na tangazo lake la Airtel linapita. Innalillahi wainnailayhi r- aajiun. Tumepoteza jembe lingine.
Source: Channel 5
ndani ya wiki moja wasanii watatu tena wa maigizo wametangulia mbele za haki inasikitisha sana, ila kaz ya mola haina makosa, msalimie kanumba sharo
alikuwa anaenda kwao muheza alikuwa mwenyewe kwenye gari .. Alipata ajali sa mbili.
Confirmed.
Duuuuh, dogo alazwe pema peponi aiseee. Inauma ila marufuku ''kugonga like'' uzi huu
RiP Kitale