TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

Vile vile kusafiri mwendo mrefu kama huu ni vyema kuongozana na mtu angalau mkawa mnaongea ongea, unaweza kukuta marehemu alikuwa anasinzia kabla ya kupata ajali.
 
Poleni watanzania wote kwa kufiwa na mtu muhimu kwenye tansia ya filamu,mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
 
Hii noma ingawa ndo njia ya wote lakini inauma yaani ndo kaanza tu kuzivuna kutokana na mawindo ya mda mrefu bila kutoka kuigiza kama teja na kamata mwizi men mpaka kutoa tracs/music lakini anatutoka ghafla kama utani. Ni kweli vyema huwa havidumu bali vyenye matatizo hudumu ingawa sijui ni kwa nini e.g; mafisadi, wauaji, wachawi n.k. Mpaka kesho sijui jibu labda tusaidiane kwa hili.
 
Wame mwacha Mungu na kukimbilia uovu Mkuu. Aishie ktk uovu hadumu, maana imeandikwa mshahara wa dhambi ni mauti kuishi ni neema atupayo Mungu. Just imagine pumzi ni yake halafu uwe kinyume naye hakika utaishi maisha mafupi na ni kwa neema sana. Ni hatari sana kuishi ukitegemea akili zako mwenyewe. Mungu anatupenda lakini ukimsogelea naye anasogea, ukimwacha naye anakuacha. Matokeo yake ndio haya magonjwa na vifo vya mapema.

Tumrudie Mungu meen. Maana imeandikwa katika mithali "wamchao Bwana wataongezewa siku za kuishi". Vifo vya mapema ni mauaji na sio kwamba Mungu amemwita, bali ameuawa. Mungu hatwai kwa style hiyo na wala sio katili, hahitaji kufanya ajali au ugonjwa ili achukue Roho ya mtu. Huyo ni shetani. Shetani anapata kibali kuondoa Roho ya mtu pale mtu yule anapokuwa kinyume na Mungu. Na anaomba kwa Mungu sawa sawa na Neno lake mwenyewe, kulingana na sheria ya Mungu isemayo mshahara wa dhambi ni mauti, Mungu haendi kinyume na sheria yake mwenyewe ana-approve and one dies. Mtetezi wetu ni Bwana Yesu aliye kufa kwaajili yetu huyu ndiye husema No (seeing the future) na sisi tunapata neema ya kuishi tena katika mazingira ambavyo vinginevyo tulikuwa tufe.

Si kusudi la Mungu mtu afe mapema na wala Mungu hafurahii vifo vya mapema. Ni furaha ya Mungu sisi tunapoishi maisha marefu na kutimiza kusudi alilotuumba kwalo. Mungu ametupa kuchagua uzima na mauti baraka na laana, hivyo kufa ni choice ya mtu bila kujijua, unapoishi dhambini umejichagulia mauti. Ikukumbukwe kwamba kila mtu ana kazi ambayo alikuja duniani kuifanya (divine assignment). Ndio maana kwenye ile sala ya Bwana tunasema ....utakalo lifanyike Duniani kama Mbinguni.... ina maana tunapaswa kufanya kama vile Mbinguni walivyo amua. Hivyo napinga kwamba sio Bwana ametwaa, No.

Mrudie Muumba wako na utubu upate kuishi kwa amani. Yesu alikuja ili tuwe na uzima tena tuwe nao tele.Duniani tunapita kuna mahali tunaenda ambako tutakaa sana. Maisha hapa duniani ni kwa kitambo tu, lakini upo umilele mbele yetu we have to go for. It is my prayers that we all don't die before fulfilling what God intended us to do here and become.... in Jesus name I submit. Amen


inasemekana zamani hakukuwa na dhambi, ila baadaye
kiburi "kikaonekana" ndani ya Lucifer (Ibilisi)
aliyetaka kujiinua ili awe sawa na Mungu.
Ndipo Mungu akamtupa kuzimu yeye na
theluthi moja ya malaika. Na haya yote
yalitokea kule kule Mbinguni.

SWALI:
IWEJE BABA ALIYE MTAKATIFU AUMBE KIUMBE
KILICHOKUJA KUWA NA HITILAFU KAMA
LUSIFA?

Pia tunaambiwa vyoote kaviumba yeye na ni mali
yake...sasa je kwa nini mpaka leo ameshindwa
kumwadhibu na kumchukulia hatua za kinidhamu
shetani?

Je huyo Mungu yupo kweli?
Na je anastahili hii misifa mnayompa?
 
inasemekana zamani hakukuwa na dhambi, ila baadaye
kiburi "kikaonekana" ndani ya Lucifer (Ibilisi)
aliyetaka kujiinua ili awe sawa na Mungu.
Ndipo Mungu akamtupa kuzimu yeye na
theluthi moja ya malaika. Na haya yote
yalitokea kule kule Mbinguni.

SWALI:
IWEJE BABA ALIYE MTAKATIFU AUMBE KIUMBE
KILICHOKUJA KUWA NA HITILAFU KAMA
LUSIFA?

Pia tunaambiwa vyoote kaviumba yeye na ni mali
yake...sasa je kwa nini mpaka leo ameshindwa
kumwadhibu na kumchukulia hatua za kinidhamu
shetani?

Je huyo Mungu yupo kweli?
Na je anastahili hii misifa mnayompa?

Mkuu, kwema?
 
Hatimaye usharobaro wake umeishia kumponza.

Kuendesha Opa mitaa ya Kinondoni siyo challenging and risky kama cross-country trip.

Hamna vimwana wa ku-impress na usharobaro on the highway to Muheza.

Its one-on-one between you and the machine.

hivi ilimshinda nini kupanda basi kama hajawahi endesha masafa marefu
 
Wote tunafahamu ni ajali ya gari. Swali langu je ni alikuwa peke yake, alikuwa amelewa , speed kali, au ubovu wa barabara, ubovu wa gari , au hakuwa na uzoefu na driving. Sina maana mbaya maana kila inapotokea msiba pamoja na majonzi pia watu wanajifunza......R.I.P .
Maswali mengine bwana!!!!!!!!
 
wote hatujui, ila namuomba mwenyezi mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi amina.

Okoa pumzi na muda wako kwa kumuombea marehemu ambaye alipewa muda na kila kitu cha kuchagua pa kwenda.

Mungu amlaze mahali alipojichagulia kwenda. Mungu ni mwema na mwaminifu sana, ukichagua kwenda jehanamu kwa matend na maisha yako, utaenda huko, ukichagua kishi kumpendeza na kumtumikia Mungu ili uishi naye milele, utaenda huko. Hakuna kumsumbua Mungu eti amlaze mahali pema akati mrehemu alishachagua mahali pa kwenda katika kipindi chamaisha alichopewa.
 
tusubiri msiba uishe ndipo hayo mauchunguzi yenu yafuate
Kilichonifurahisha mimi na kunifariji huu msiba umetokea kwao Tanga na kwa taratibu za Kiislamu ni lazima azikwe mapema, kwahiyo hapa lile kundi la Matapeli likiongozwa na kina Steve Nyerere hawakupata fursa ya kujipachika vyeo vya kamati ya mazishi na kutafuna rambi rambi.

Hawa Matapeli wangepata hiyo fursa mngesikia gharama za msiba zimefikia millioni 50.
 
Kilichosababisha kifo ni ajali labda tusubiri kujua kilichosababisha ajali.

sasa unawaona wenzetu hapo juu wanasema ajali haikumuua (ajali haikusababisha kifo, yani kufwa kwake mtu huyo), ila kifo ndio kilichomuua.
matumizi ya lugha ya kiswahili ni shida bado hata kwa wazawa.
 
kaka kifo hakiui

sema wewe mkuu,
nimejaribu kusema lakini bado hawa jamaa wenzetu hawaelewi.
haiitaji uwe umesoma zile lugha mbili na masomo ya watu wa kale ndio uelewe kutumia vizuri maneno yakaleta maana.
yani mtu kang'ang'ania kuwa kifo ndio kinaua yani sielewi.
 
Wame mwacha Mungu na kukimbilia uovu Mkuu. Aishie ktk uovu hadumu, maana imeandikwa mshahara wa dhambi ni mauti kuishi ni neema atupayo Mungu. Just imagine pumzi ni yake halafu uwe kinyume naye hakika utaishi maisha mafupi na ni kwa neema sana. Ni hatari sana kuishi ukitegemea akili zako mwenyewe. Mungu anatupenda lakini ukimsogelea naye anasogea, ukimwacha naye anakuacha. Matokeo yake ndio haya magonjwa na vifo vya mapema.

Tumrudie Mungu meen. Maana imeandikwa katika mithali "wamchao Bwana wataongezewa siku za kuishi". Vifo vya mapema ni mauaji na sio kwamba Mungu amemwita, bali ameuawa. Mungu hatwai kwa style hiyo na wala sio katili, hahitaji kufanya ajali au ugonjwa ili achukue Roho ya mtu. Huyo ni shetani. Shetani anapata kibali kuondoa Roho ya mtu pale mtu yule anapokuwa kinyume na Mungu. Na anaomba kwa Mungu sawa sawa na Neno lake mwenyewe, kulingana na sheria ya Mungu isemayo mshahara wa dhambi ni mauti, Mungu haendi kinyume na sheria yake mwenyewe ana-approve and one dies. Mtetezi wetu ni Bwana Yesu aliye kufa kwaajili yetu huyu ndiye husema No (seeing the future) na sisi tunapata neema ya kuishi tena katika mazingira ambavyo vinginevyo tulikuwa tufe.

Si kusudi la Mungu mtu afe mapema na wala Mungu hafurahii vifo vya mapema. Ni furaha ya Mungu sisi tunapoishi maisha marefu na kutimiza kusudi alilotuumba kwalo. Mungu ametupa kuchagua uzima na mauti baraka na laana, hivyo kufa ni choice ya mtu bila kujijua, unapoishi dhambini umejichagulia mauti. Ikukumbukwe kwamba kila mtu ana kazi ambayo alikuja duniani kuifanya (divine assignment). Ndio maana kwenye ile sala ya Bwana tunasema ....utakalo lifanyike Duniani kama Mbinguni.... ina maana tunapaswa kufanya kama vile Mbinguni walivyo amua. Hivyo napinga kwamba sio Bwana ametwaa, No.

Mrudie Muumba wako na utubu upate kuishi kwa amani. Yesu alikuja ili tuwe na uzima tena tuwe nao tele.Duniani tunapita kuna mahali tunaenda ambako tutakaa sana. Maisha hapa duniani ni kwa kitambo tu, lakini upo umilele mbele yetu we have to go for. It is my prayers that we all don't die before fulfilling what God intended us to do here and become.... in Jesus name I submit. Amen
Need I say more?
 
inasemekana zamani hakukuwa na dhambi, ila baadaye
kiburi "kikaonekana" ndani ya Lucifer (Ibilisi)
aliyetaka kujiinua ili awe sawa na Mungu.
Ndipo Mungu akamtupa kuzimu yeye na
theluthi moja ya malaika. Na haya yote
yalitokea kule kule Mbinguni.

SWALI:
IWEJE BABA ALIYE MTAKATIFU AUMBE KIUMBE
KILICHOKUJA KUWA NA HITILAFU KAMA
LUSIFA?

Pia tunaambiwa vyoote kaviumba yeye na ni mali
yake...sasa je kwa nini mpaka leo ameshindwa
kumwadhibu na kumchukulia hatua za kinidhamu
shetani?

Je huyo Mungu yupo kweli?
Na je anastahili hii misifa mnayompa?

Mungu yupo na ataendelea kuwepo. Mungu mwenyezi hafananishwi na chochote, njia zake sio njia zetu, mawazo yake sio mawazo yetu. Njia zake na mawazo yake yako juu sana kiasi ambacho akili zetu haziwezi kuelewa (we cannot comprehend or apprehend God with our own natural skills and intelligence). Huwezi kumwelewa Mungu kwa kusoma sana wala kwa akili zako. Kusoma sana Biblia, sio kumjua Mungu. We can only understand God in a place of revelation and revelation comes when the move of Holy spirit is allowed and we hear from God. Mungu amefanya kila kitu kwa kusudi lake, He is God of all times above all no matter what happens, He shall remain to be God forever. Whether you accept him or refuse him he created everything and He is God.

Mambo ya Mungu yanachanganya sana maana haya make sense katika akili za kibinadam, ndio maana wengine wamebaki kum-judge Mungu by their ability and skills in the natural. Tunahitaji muunganiko kati ya Neno la Mungu na Roho Mtakatifu kumwelewa Mungu. He is almight God and so shall remain. Historia inaonyesha watu wote waliokuwa activist wakipromote ideas za kwamba Mungu hayupo waliishia mwisho mbaya mfano Calmax na wengine. Na viongozi wote waliokandamiza injili miisho yao haikuwa mizuri Idd amini,sadam na gadafi ni mifano michache. I am not threatening anybody, but that's history to remember. Remember there are consequences for every statement man makes in their lives. So the earlier one accepts and go to him the better.

Sababu kubwa ni uvivu, maana yeye amesema nawapenda wale wanipendao na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Kwa hiyo swala ni kwamba ukimtafuta Mungu kwa bidii utamuona na utamuuliza maswali haya yote. He is very polite he will surely answer you. Na kwa kadiri unavyo mkaribia ndivyo unavyopunguza wasiwasi na maswali juu ya Mungu na mambo yake. God is real. Call on to him and he will answer thee Jeremiah 33:3.
 
Dunia uwanja wa fujo, kila mwenye ngoma yake apige ipasuke. Poleni wafiwa. Sharobaro mtoto wa kibondei mtoto wa Lusanga Muheza, poleni sana Lusanga, Tanganyika, Muheza Masuguru, Michungwani, Mbaramo, Ngwaru, Majengo, Kilulu na nyote Mlioguswa na Msiba wa Sharo baro. POLE MZEE MAJUTO. NAKUJUA TANGU ENZI ZA ZINGIBARI NA MOA, POLENI SANA, POLE SANA. NAKUMBUKA PALE MOA MIEMBE MIWILI MIAKA YA MWANZONI YA 80. Namkumbuka sana Babu yangu alikua akinipa cent tano, kuja kukuoneni na mkifanya vichekesho. Pole sana mkongwe. R.I.P BARO BARO. A. K. A SHARO BARO.
 
Back
Top Bottom