Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha ya tatu,huyo jamaa inaonyesha amekata tamaa na maisha na hana matumaini hawa ndiyo wapolaji wenyewe!!!
hahahah si ajabu anatafuta spare au chuma chakavu...
Hiyo ni toyota harrier kwa kiswahili ni toyota harakishi,,,
... ni kifo ndicho kilichomuua
Wame mwacha Mungu na kukimbilia uovu Mkuu. Aishie ktk uovu hadumu, maana imeandikwa mshahara wa dhambi ni mauti kuishi ni neema atupayo Mungu. Just imagine pumzi ni yake halafu uwe kinyume naye hakika utaishi maisha mafupi na ni kwa neema sana. Ni hatari sana kuishi ukitegemea akili zako mwenyewe. Mungu anatupenda lakini ukimsogelea naye anasogea, ukimwacha naye anakuacha. Matokeo yake ndio haya magonjwa na vifo vya mapema.
Tumrudie Mungu meen. Maana imeandikwa katika mithali "wamchao Bwana wataongezewa siku za kuishi". Vifo vya mapema ni mauaji na sio kwamba Mungu amemwita, bali ameuawa. Mungu hatwai kwa style hiyo na wala sio katili, hahitaji kufanya ajali au ugonjwa ili achukue Roho ya mtu. Huyo ni shetani. Shetani anapata kibali kuondoa Roho ya mtu pale mtu yule anapokuwa kinyume na Mungu. Na anaomba kwa Mungu sawa sawa na Neno lake mwenyewe, kulingana na sheria ya Mungu isemayo mshahara wa dhambi ni mauti, Mungu haendi kinyume na sheria yake mwenyewe ana-approve and one dies. Mtetezi wetu ni Bwana Yesu aliye kufa kwaajili yetu huyu ndiye husema No (seeing the future) na sisi tunapata neema ya kuishi tena katika mazingira ambavyo vinginevyo tulikuwa tufe.
Si kusudi la Mungu mtu afe mapema na wala Mungu hafurahii vifo vya mapema. Ni furaha ya Mungu sisi tunapoishi maisha marefu na kutimiza kusudi alilotuumba kwalo. Mungu ametupa kuchagua uzima na mauti baraka na laana, hivyo kufa ni choice ya mtu bila kujijua, unapoishi dhambini umejichagulia mauti. Ikukumbukwe kwamba kila mtu ana kazi ambayo alikuja duniani kuifanya (divine assignment). Ndio maana kwenye ile sala ya Bwana tunasema ....utakalo lifanyike Duniani kama Mbinguni.... ina maana tunapaswa kufanya kama vile Mbinguni walivyo amua. Hivyo napinga kwamba sio Bwana ametwaa, No.
Mrudie Muumba wako na utubu upate kuishi kwa amani. Yesu alikuja ili tuwe na uzima tena tuwe nao tele.Duniani tunapita kuna mahali tunaenda ambako tutakaa sana. Maisha hapa duniani ni kwa kitambo tu, lakini upo umilele mbele yetu we have to go for. It is my prayers that we all don't die before fulfilling what God intended us to do here and become.... in Jesus name I submit. Amen
Wema gani mlionao mkuu wakati mnaongoza kwa vitendo vya kiovu,mnawaibia hata watu waliokufa!!mmeshalaanika!!ni watu wema sana na wa msaada wakati wa shida.
inasemekana zamani hakukuwa na dhambi, ila baadaye
kiburi "kikaonekana" ndani ya Lucifer (Ibilisi)
aliyetaka kujiinua ili awe sawa na Mungu.
Ndipo Mungu akamtupa kuzimu yeye na
theluthi moja ya malaika. Na haya yote
yalitokea kule kule Mbinguni.
SWALI:
IWEJE BABA ALIYE MTAKATIFU AUMBE KIUMBE
KILICHOKUJA KUWA NA HITILAFU KAMA
LUSIFA?
Pia tunaambiwa vyoote kaviumba yeye na ni mali
yake...sasa je kwa nini mpaka leo ameshindwa
kumwadhibu na kumchukulia hatua za kinidhamu
shetani?
Je huyo Mungu yupo kweli?
Na je anastahili hii misifa mnayompa?
Hatimaye usharobaro wake umeishia kumponza.
Kuendesha Opa mitaa ya Kinondoni siyo challenging and risky kama cross-country trip.
Hamna vimwana wa ku-impress na usharobaro on the highway to Muheza.
Its one-on-one between you and the machine.
Maswali mengine bwana!!!!!!!!Wote tunafahamu ni ajali ya gari. Swali langu je ni alikuwa peke yake, alikuwa amelewa , speed kali, au ubovu wa barabara, ubovu wa gari , au hakuwa na uzoefu na driving. Sina maana mbaya maana kila inapotokea msiba pamoja na majonzi pia watu wanajifunza......R.I.P .
wote hatujui, ila namuomba mwenyezi mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi amina.
Kilichonifurahisha mimi na kunifariji huu msiba umetokea kwao Tanga na kwa taratibu za Kiislamu ni lazima azikwe mapema, kwahiyo hapa lile kundi la Matapeli likiongozwa na kina Steve Nyerere hawakupata fursa ya kujipachika vyeo vya kamati ya mazishi na kutafuna rambi rambi.tusubiri msiba uishe ndipo hayo mauchunguzi yenu yafuate
Kilichosababisha kifo ni ajali labda tusubiri kujua kilichosababisha ajali.
kaka kifo hakiui
Need I say more?Wame mwacha Mungu na kukimbilia uovu Mkuu. Aishie ktk uovu hadumu, maana imeandikwa mshahara wa dhambi ni mauti kuishi ni neema atupayo Mungu. Just imagine pumzi ni yake halafu uwe kinyume naye hakika utaishi maisha mafupi na ni kwa neema sana. Ni hatari sana kuishi ukitegemea akili zako mwenyewe. Mungu anatupenda lakini ukimsogelea naye anasogea, ukimwacha naye anakuacha. Matokeo yake ndio haya magonjwa na vifo vya mapema.
Tumrudie Mungu meen. Maana imeandikwa katika mithali "wamchao Bwana wataongezewa siku za kuishi". Vifo vya mapema ni mauaji na sio kwamba Mungu amemwita, bali ameuawa. Mungu hatwai kwa style hiyo na wala sio katili, hahitaji kufanya ajali au ugonjwa ili achukue Roho ya mtu. Huyo ni shetani. Shetani anapata kibali kuondoa Roho ya mtu pale mtu yule anapokuwa kinyume na Mungu. Na anaomba kwa Mungu sawa sawa na Neno lake mwenyewe, kulingana na sheria ya Mungu isemayo mshahara wa dhambi ni mauti, Mungu haendi kinyume na sheria yake mwenyewe ana-approve and one dies. Mtetezi wetu ni Bwana Yesu aliye kufa kwaajili yetu huyu ndiye husema No (seeing the future) na sisi tunapata neema ya kuishi tena katika mazingira ambavyo vinginevyo tulikuwa tufe.
Si kusudi la Mungu mtu afe mapema na wala Mungu hafurahii vifo vya mapema. Ni furaha ya Mungu sisi tunapoishi maisha marefu na kutimiza kusudi alilotuumba kwalo. Mungu ametupa kuchagua uzima na mauti baraka na laana, hivyo kufa ni choice ya mtu bila kujijua, unapoishi dhambini umejichagulia mauti. Ikukumbukwe kwamba kila mtu ana kazi ambayo alikuja duniani kuifanya (divine assignment). Ndio maana kwenye ile sala ya Bwana tunasema ....utakalo lifanyike Duniani kama Mbinguni.... ina maana tunapaswa kufanya kama vile Mbinguni walivyo amua. Hivyo napinga kwamba sio Bwana ametwaa, No.
Mrudie Muumba wako na utubu upate kuishi kwa amani. Yesu alikuja ili tuwe na uzima tena tuwe nao tele.Duniani tunapita kuna mahali tunaenda ambako tutakaa sana. Maisha hapa duniani ni kwa kitambo tu, lakini upo umilele mbele yetu we have to go for. It is my prayers that we all don't die before fulfilling what God intended us to do here and become.... in Jesus name I submit. Amen
inasemekana zamani hakukuwa na dhambi, ila baadaye
kiburi "kikaonekana" ndani ya Lucifer (Ibilisi)
aliyetaka kujiinua ili awe sawa na Mungu.
Ndipo Mungu akamtupa kuzimu yeye na
theluthi moja ya malaika. Na haya yote
yalitokea kule kule Mbinguni.
SWALI:
IWEJE BABA ALIYE MTAKATIFU AUMBE KIUMBE
KILICHOKUJA KUWA NA HITILAFU KAMA
LUSIFA?
Pia tunaambiwa vyoote kaviumba yeye na ni mali
yake...sasa je kwa nini mpaka leo ameshindwa
kumwadhibu na kumchukulia hatua za kinidhamu
shetani?
Je huyo Mungu yupo kweli?
Na je anastahili hii misifa mnayompa?
Need I say more?