Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,378
- 1,427
Umekula kwanza...??njoo uchukue buku ukale hata makande ,maana naona unalopoka tu.
Weka ushaidi ,hacha propaganda,kila siku Chadema mnalalamika kuonewa tu mpk wananchi wamewachoka.
Pia kuna swala la wao kuanzia sasa kuto kusumbuliwa iwe na Wakuu wa wilaya au Mikoa au Polisi.Hivyo usitarajie kuona either Lipumba au Mbatia au Zitto Kabwe akisumbuliwa kuanzia sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
The golden question is;
Kwanini waachane na umoja wa Vyama vyao/ UKAWA?....
Who benefits from that arrangement and how?.
tukijaribu kupata majibu hapo labda ndo tunaweza pata picha kamili
Kuna kitu inaonekana Magu anakihofia sasa ni kitu gani hakuna anaye jua, alicho niambia kwa sasa wanaadaa ratiba zao za kuzunguka nchi nzima kwa ajili ya kuandaa wagombea wa Udiwani na Ubunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona chama kimoja tu cha upinzani kikisimama baada ya uchaguzi wa mwaka huu!CDM pekee ndiyo itabaki hai!
Hata Zitto nae anasaliti Tena? Aaaaaah jamani Sasa tumuamini Nani?
Kaka tunaenda kwenye uchaguz ombea mungu akinusuru chama chakoHakuna mbadala wa upinzani Tanzania,bado CDM ni chama kinachoaminika hasa kwa kuwa na viongozi wengi na shupavu!CDM ineondokewa na viongozi wengi lakini imesimama,CUF kuondoka kwa Maalim Seif kumeimaliza kabisaaa na wasubiri kuzikwa rasmi baada ya uchaguzi mkuu!ACT bado hawajaaminika kwa wananchi,ukija NCCR nao ndio hivyo wanajimalizia wenyewe!So CDM bado itaendelea kusimama!
Na pia wamekubaliana kugawana nyara, mfano kuna madiwani wa Chadema huko Mbeya wamenunuliwa na CCM na wanapelekwa NCCR na Mbatia ndiye anawapokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sala zinahitajika hasa kwa awamu hii iliyojaa damu za watu!
hahaha eti NyaraNa pia wamekubaliana kugawana nyara, mfano kuna madiwani wa Chadema huko Mbeya wamenunuliwa na CCM na wanapelekwa NCCR na Mbatia ndiye anawapokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii chadema ya kukata mishahara ya wabunge kisha kuliwa na mwenyekiti na kundi lake.
ipate wapi wagombea wenye mnvuto?
Hawa wameashidiwa kupewa tuvyeo na hivyo kuivuruga CDM. CDM kuweni makini sana na hawa vibarakaKuna jamaa ninae muamini kabisa na ni kiongozi kutoka moja ya Chama ambacho viongozi wao alikuwa ikulu Jana amenieleza ukiachana na mambo ya auchaguzi kuwa huru na wa haki kuna Shariti moja wamepewa na anaamini ni wote,
Shariti kuu walilo pewa ni kuachana kitu kinacho itwa UKAWA, yaani ili kuwe na unafuu kwa hivyo vyama waachane na miungano hasa na CHADEMA.
Walisisitiziwa hasa kwenye Swala la kuachiana majimba ya Ubunge na Udiwani, kila Chama kisimamishe wagombea nchi nzima kwa Udowani na Ubunge.
Wamehakikishiwa msaada wa kuwawezesha kusimika wagombea nchi nzima, haijawekwa wazi ni aina gani ya msaada watakao pewa.
Kwa NCCR Mageuzi tiyari kazi isha anza na Mbatia atazunguka nchi nzima kwa Kazi hiyo na muda wowote Lipumba naye ataanza na kufuatiwa na ACT Wazalendo.
Ndo maana jana tukaona Mbatia anasema ataweka wagombea nchi nzima na pia Lipunba alisha weka wazi hilo na muda si mrefu ACT nao wataweka wazi hilo.
Hivyo swala la kwamba wamezungumzia Uchaguzi huru na wa haki ni kijisehemu tu.
Hao ndo wapinzani wetu wakiongzozwa na Zitto Zuber Kabwe.
CHADEMA ijiandae na iandae Wagombea wenye nvuto hasa make mwaka huu kuna vyama vitawezeshwa kusimika wagombea nchi nzima.
Mjumbe hauwawi.
Sent using Jamii Forums mobile app