Tetesi: Sharti Moja kubwa waliopewa viongozi waliofika Ikulu ni hili hapa

Tetesi: Sharti Moja kubwa waliopewa viongozi waliofika Ikulu ni hili hapa

Kuna jamaa ninae muamini kabisa na ni kiongozi kutoka moja ya Chama ambacho viongozi wao alikuwa ikulu Jana amenieleza ukiachana na mambo ya auchaguzi kuwa huru na wa haki kuna Shariti moja wamepewa na anaamini ni wote,
Shariti kuu walilo pewa ni kuachana kitu kinacho itwa UKAWA, yaani ili kuwe na unafuu kwa hivyo vyama waachane na miungano hasa na CHADEMA.

Walisisitiziwa hasa kwenye Swala la kuachiana majimba ya Ubunge na Udiwani, kila Chama kisimamishe wagombea nchi nzima kwa Udowani na Ubunge.

Wamehakikishiwa msaada wa kuwawezesha kusimika wagombea nchi nzima, haijawekwa wazi ni aina gani ya msaada watakao pewa.

Kwa NCCR Mageuzi tiyari kazi isha anza na Mbatia atazunguka nchi nzima kwa Kazi hiyo na muda wowote Lipumba naye ataanza na kufuatiwa na ACT Wazalendo.

Ndo maana jana tukaona Mbatia anasema ataweka wagombea nchi nzima na pia Lipunba alisha weka wazi hilo na muda si mrefu ACT nao wataweka wazi hilo.


Hivyo swala la kwamba wamezungumzia Uchaguzi huru na wa haki ni kijisehemu tu.

Hao ndo wapinzani wetu wakiongzozwa na Zitto Zuber Kabwe.

CHADEMA ijiandae na iandae Wagombea wenye nvuto hasa make mwaka huu kuna vyama vitawezeshwa kusimika wagombea nchi nzima.

Mjumbe hauwawi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni fitna zako tu kama ni kweli basi tutapata 'straight from the horses' mouth'
 
Kuwa mpenz mtazamaji sio Kila kitu unataka kuhoji, sabab hata ukijali huna lolote utakalofanya
The golden question is;

Kwanini waachane na umoja wa Vyama vyao/ UKAWA?....

Who benefits from that arrangement and how?.

tukijaribu kupata majibu hapo labda ndo tunaweza pata picha kamili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wandugu UKAWA ni nini???? Na ilikuwa na lengo gani??? Nijuavyo mimi UKAWA ilikuwa ni UMOJA KUDAI KATIBA WA WANANCHI, na haikuwa kwa sababu za uchaguzi. Tukatae tukubali wapinzani wote ni wabinafsi si chadema wala cut wala nccr. Ndiyo hapo Ccm inapochukulia point. Kwa swala la kusema eti kuachana na ukawa hii so called UKAWA ilishajifia siku nyingi sana, ll
USHAURI:
Tukitaka kuitoa CCM madarakani ni kuwa na taasisi imara za vyama vya upinzani ambavyo viongozi wake waweke ubinafsi pembeni.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
The golden question is;

Kwanini waachane na umoja wa Vyama vyao/ UKAWA?....

Who benefits from that arrangement and how?.

tukijaribu kupata majibu hapo labda ndo tunaweza pata picha kamili
This is speculation. Mbona Mbatia leo amezuiwa kufanya mkutano wa ndani wilayani Busokelo?
 
Tunahitaji upinzani ulio msafi, sio upinzani wa kupeleka watu msituni wakajifunze mbinu za kivita sio upinzani wa kupewa pesa nje ili uihujumu nchi yako... Kiukweli natamani kuona upinzani wa kujenga hoja kama ule wa hoja ya ufisadi na utakaosaidia uundwaji wa sera bora kwa taifa letu, sio huu wa kutafuta kiki na huruma ya wananchi
 
Chadema ndiyo wapinzani wa kweli
kumbe tatizo ni CHADEMA
walipoomba pooo pale Mwanza walionekana mashujaa
sasa na wenzao wameenda wameonekana wasaliti
Wapinzani wa kweli sijajua maana yake maana katika Demokrasia Bi Hillary Clinton alivyochapwa kura na Trump hakuleta fujo zozote mpaka leo huo ndio Upinzani wa kweli kati ya Demokratic na Republican huko USA
 
The golden question is;

Kwanini waachane na umoja wa Vyama vyao/ UKAWA?....

Who benefits from that arrangement and how?.

tukijaribu kupata majibu hapo labda ndo tunaweza pata picha kamili
Seriously!!???
 
Nazani mmeona Mbati kule Mbeya. Sasa ana Project ya aina hiyo nchi nzima na project yake iko funded kabisa.bado Professor anakuja na ratiba yake na bado ACT

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kuniambia kwamba Zitto kafanya mutual agreement na CCM kwamba ACT sasa wanapewa Zenji with the condition lazima wafanye kazi na CCM.

Kwa huku bara ACT wajitenge kwa namna zote na CDM..ili CCM ipate kupumua!

Tume huru wanayodai CDM ipingwe vikali na hawa wapinzani ( NCCR ma ACT) ili CDM waondolewe kwenye hoja (reli)...wakose support ya umma..

Chanzo: Mtonyaji nyeti.
 
Back
Top Bottom