Tetesi: Sharti Moja kubwa waliopewa viongozi waliofika Ikulu ni hili hapa

Tetesi: Sharti Moja kubwa waliopewa viongozi waliofika Ikulu ni hili hapa

Wachambuzi wa maswala ya kisiasa na waandishi wa habari hawajajuwa kipi hasa wamejadiliana zaidi ya kusema nadhani itakuwa.... lazima kuna siri hapo ktk maongezi.ningekuwa mimi ningesema yote ili kuwaweka huru wanachama wangu.zitto ulimtuma seif akaongee na magu ambaye ulisikika ukisema huyu ni wa kwenda naye jino kwa jino hakuna haja ya maridhiano,sa vipi tena?
 
Zitto ni mjanja mjanja sana pale kamtuma Seif ili aonekane sio yeye.
Wachambuzi wa maswala ya kisiasa na waandishi wa habari hawajajuwa kipi hasa wamejadiliana zaidi ya kusema nadhani itakuwa.... lazima kuna siri hapo ktk maongezi.ningekuwa mimi ningesema yote ili kuwaweka huru wanachama wangu.zitto ulimtuma seif akaongee na magu ambaye ulisikika ukisema huyu ni wa kwenda naye jino kwa jino hakuna haja ya maridhiano,sa vipi tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa ninae muamini kabisa na ni kiongozi kutoka moja ya Chama ambacho viongozi wao alikuwa ikulu Jana amenieleza ukiachana na mambo ya auchaguzi kuwa huru na wa haki kuna Shariti moja wamepewa na anaamini ni wote,
Shariti kuu walilo pewa ni kuachana kitu kinacho itwa UKAWA, yaani ili kuwe na unafuu kwa hivyo vyama waachane na miungano hasa na CHADEMA.

Walisisitiziwa hasa kwenye Swala la kuachiana majimba ya Ubunge na Udiwani, kila Chama kisimamishe wagombea nchi nzima kwa Udowani na Ubunge.

Wamehakikishiwa msaada wa kuwawezesha kusimika wagombea nchi nzima, haijawekwa wazi ni aina gani ya msaada watakao pewa.

Kwa NCCR Mageuzi tiyari kazi isha anza na Mbatia atazunguka nchi nzima kwa Kazi hiyo na muda wowote Lipumba naye ataanza na kufuatiwa na ACT Wazalendo.

Ndo maana jana tukaona Mbatia anasema ataweka wagombea nchi nzima na pia Lipunba alisha weka wazi hilo na muda si mrefu ACT nao wataweka wazi hilo.


Hivyo swala la kwamba wamezungumzia Uchaguzi huru na wa haki ni kijisehemu tu.

Hao ndo wapinzani wetu wakiongzozwa na Zitto Zuber Kabwe.

CHADEMA ijiandae na iandae Wagombea wenye nvuto hasa make mwaka huu kuna vyama vitawezeshwa kusimika wagombea nchi nzima.

Mjumbe hauwawi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ikitokea hii kuwa ni kweli na wakaachana na UKAWA kwa mapendekezo ya mwenyekiti wa chama tawala, hii itakuwa ajabu/ujinga/uzwazwa/uchizi wa aina yake. Silitarajii hilo kutokea.
 
Kuna jamaa ninae muamini kabisa na ni kiongozi kutoka moja ya Chama ambacho viongozi wao alikuwa ikulu Jana amenieleza ukiachana na mambo ya auchaguzi kuwa huru na wa haki kuna Shariti moja wamepewa na anaamini ni wote,
Shariti kuu walilo pewa ni kuachana kitu kinacho itwa UKAWA, yaani ili kuwe na unafuu kwa hivyo vyama waachane na miungano hasa na CHADEMA.

Walisisitiziwa hasa kwenye Swala la kuachiana majimba ya Ubunge na Udiwani, kila Chama kisimamishe wagombea nchi nzima kwa Udowani na Ubunge.

Wamehakikishiwa msaada wa kuwawezesha kusimika wagombea nchi nzima, haijawekwa wazi ni aina gani ya msaada watakao pewa.

Kwa NCCR Mageuzi tiyari kazi isha anza na Mbatia atazunguka nchi nzima kwa Kazi hiyo na muda wowote Lipumba naye ataanza na kufuatiwa na ACT Wazalendo.

Ndo maana jana tukaona Mbatia anasema ataweka wagombea nchi nzima na pia Lipunba alisha weka wazi hilo na muda si mrefu ACT nao wataweka wazi hilo.


Hivyo swala la kwamba wamezungumzia Uchaguzi huru na wa haki ni kijisehemu tu.

Hao ndo wapinzani wetu wakiongzozwa na Zitto Zuber Kabwe.

CHADEMA ijiandae na iandae Wagombea wenye nvuto hasa make mwaka huu kuna vyama vitawezeshwa kusimika wagombea nchi nzima.

Mjumbe hauwawi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tulishawazoea wapiga ramli nyie.

Badilini gia angani tena Membe huyo anautaka urais na anajiamini kama Shetani
 
Hata Zitto nae anasaliti Tena? Aaaaaah jamani Sasa tumuamini Nani?
Kwahyo wew sikuzote hizi Ulikuwa unamuamini Zitto?Fikiria tu mambo amabayo Zitto anayafanya nchi hii yani wangekuwa wale akina mbowe na watu wake basi mambo yangekuwa magumu sana bt huyu jamaaa anadunda hana hata wasi so ndo ujue ni mwenzao.Piga kazi upate pesa ujenge familia siasa ya hii nchi ni ngumi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha wao kwenda ikulu kila mtu anaijua hawataki muungano wa Ukawa

Anatokea mtu anajifanya mpiga ramli ili baadae aje aseme alisema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chamsingi uchaguzi uwe huru, tume huru ipatikane, CHADEMA hata ikiwa peke yake pamoja na wananchi CCM na mawakala wake watapigwa tu.
 
The golden question is;

Kwanini waachane na umoja wa Vyama vyao/ UKAWA?....

Who benefits from that arrangement and how?.

tukijaribu kupata majibu hapo labda ndo tunaweza pata picha kamili

Nadhani nia ni kuendelea kuwa madarakani huku waki manage international pressure kuonyesha ushiriki wa wapinzani kwenye uchaguzi na kuonyesha uko huru na haki. Mwelekeo huu si jambo jipya Afrika. Ulitumiwa sana na Mabutu huko Zaire kwa yeye kuwana control na vyama karibu vyote vya upinzani. Hiyo lakini haikuweza kuua upinzani japo ilidumu miakamingi ila mwishoni ilipelekea kuondolewa Mabutu madarakani kwa nguvu za kijeshi.
 
Divide and Rule - the policy of maintaining control over one's subordinates or opponents by encouraging dissent between them, thereby preventing them from uniting in opposition.

CCM janja ya nyani sana. 😆
 
Kuna jamaa ninae muamini kabisa na ni kiongozi kutoka moja ya Chama ambacho viongozi wao alikuwa ikulu Jana amenieleza ukiachana na mambo ya auchaguzi kuwa huru na wa haki kuna Shariti moja wamepewa na anaamini ni wote,
Shariti kuu walilo pewa ni kuachana kitu kinacho itwa UKAWA, yaani ili kuwe na unafuu kwa hivyo vyama waachane na miungano hasa na CHADEMA.

Walisisitiziwa hasa kwenye Swala la kuachiana majimba ya Ubunge na Udiwani, kila Chama kisimamishe wagombea nchi nzima kwa Udowani na Ubunge.

Wamehakikishiwa msaada wa kuwawezesha kusimika wagombea nchi nzima, haijawekwa wazi ni aina gani ya msaada watakao pewa.

Kwa NCCR Mageuzi tiyari kazi isha anza na Mbatia atazunguka nchi nzima kwa Kazi hiyo na muda wowote Lipumba naye ataanza na kufuatiwa na ACT Wazalendo.

Ndo maana jana tukaona Mbatia anasema ataweka wagombea nchi nzima na pia Lipunba alisha weka wazi hilo na muda si mrefu ACT nao wataweka wazi hilo.


Hivyo swala la kwamba wamezungumzia Uchaguzi huru na wa haki ni kijisehemu tu.

Hao ndo wapinzani wetu wakiongzozwa na Zitto Zuber Kabwe.

CHADEMA ijiandae na iandae Wagombea wenye nvuto hasa make mwaka huu kuna vyama vitawezeshwa kusimika wagombea nchi nzima.

Mjumbe hauwawi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi kila mtu JF ana mtu anayemuamini ikulu, Usalama wa taifa, jeshini, makao makuu ya polisi kasoro mimi tu.
Kweli nimeamini mjini usipokuwa na address basi hupati mtu unayemuamini
 
Kama Chadema ndo wangeenda Ikulu ingekuwa sawa lkn wameenda hawa wa vyama vingine imekuwa nongwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea ukweli mtupu yani ili uonekane mpinzani tanzania lazima ufuate wanachofanya CHADEMA ukienda tofauti basi we msaliti.
Ebu fikiria kipindi cha sherehe za uhuru ingelikwua ni Zitto katimba pale Mwanza ambavyo angeshambuliwa...
 
Yaani haki za watu za kikatiba zinapokwa mchana kweupe huku wapokwaji wakihalalisha haki zao za msingi kupokwa
 
Back
Top Bottom