Nimekuelewa bwashee!
..asante sana Ngosha Samike!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa bwashee!
Ndugu hivi kweli majina yawe hayajapelekwa na mtu nec wanatoa wapi ujasili wa kupelwka majina kwa spika usifukirii nao ji wajinga wanapakuanzia kesi inakuja subirini mtaona wanavyoweka Moira kwapani hao chadema..hapana.
..maelezo ya Mnyika yanathibitishwa na ukweli kwamba hakuna kikao kilichowateua kina Halima.
Hapo anaenda kuaibika ni mnyika na mbowe ndiyo ma engineer wa huu mchezo nyie wengine hamuujui subirini mtaonaAkina Mdee wamejitafutia njia fupi ya kujimaliza kwani kesi hii ndio itakuwa imeishia hapa. Tunachosubiri ni kuiona haki ikitendeka mchana kweupe kabla ya mwisho wa mwaka huu. Mwisho wa yote itabidi wote waliyoshiriki kwenye mchezo wa huu wa aibu waanikwe. Amen.
Ndugu hivi kweli majina yawe hayajapelekwa na mtu nec wanatoa wapi ujasili wa kupelwka majina kwa spika usifukirii nao ji wajinga wanapakuanzia kesi inakuja subirini mtaona wanavyoweka Moira kwapani hao chadema
Hapo anaenda kuaibika ni mnyika na mbowe ndiyo ma engineer wa huu mchezo nyie wengine hamuujui subirini mtaona
Hicho wala hawana kingineHao wanang'ang'ania ubunge tu bwashee
Mbona anakuwa mgumu kuelewa wakati hata Betina alianza kuwatetea covid 19 hata kabla hawajafungua kesi yao?..kama ulifuatilia Cecil Mwambe alivyorudishwa bungeni basi utaelewa kina Halima waliingiaje bungeni.
Umeshakuwa mtu mzima porojo za aina hiyo waachie watu wa kijiweji. Akina Mdee watoe nakala za documents zilizosainiwa na CDM. Lakini la kushangaza litakuwa muda wote wakati wanafikishwa Kamati Kuu na baadae sana Baraza Kuu mbona hawakuzitoa ?Umeandika kishabiki sana na kwa chuki ya wazi hivi unafikiri wao ni wajinga kiasi Cha kupelwka mahakamani kitu ambacho wanajuwa hawana ushahidi nacho? Hapo kinachotakiwa ni kuangalia majina yalioelekwa na nani ? Aliyesaini barua ya kupelwka majina neck ni nani? Utakuta wamo ndani ya chadema lakini waligeukana baada ya Kila mtu kutaka kuingiza mtu wake na kina mdee wakashtuka ikaenda oridha ileile iliyoandaliwa wanatumia udhaufi wa chama kugombania nafasi hasa mbowe kutaka kuingiza mademu zake
TunawasubiriHapo anaenda kuaibika ni mnyika na mbowe ndiyo ma engineer wa huu mchezo nyie wengine hamuujui subirini mtaona
TunawasubiriHapo anaenda kuaibika ni mnyika na mbowe ndiyo ma engineer wa huu mchezo nyie wengine hamuujui subirini mtaona