Shauri yako Usiponyanduana kila wiki utakuwa Ndondocha

Shauri yako Usiponyanduana kila wiki utakuwa Ndondocha

Ukidinya ndio valves za oblongata zinafunguka wewe. Yaani mawazo yaflow tuu na kumbukumbu inaimarika.

Sii unakumbuka striker wa ukweli de lima, mzeya akisasambua mbususu kabla ya game alikuwa akiingia uwanjani aloooh! Mabeki lazima mlambe nyasi

Sex is a beautiful thing. Acha na wajinga wanao demonize it
Kwan sex na nyeto ni vitu sawa
 
Father mimi ni kijana wa miaka 35 naingia 36 🤣1989 lakini huwa nasali miwa na watu ambao kwa kweli ni rika moja Ila nashangaa shikamoo nyingi huwa nahudhunika naonekana mkubwa wakati ni kijana tu
Hahaha......pole sana

Nimegundua vitu vinavyoweza kufanya uonekane Mkubwa kiumri hata kama ni mdogo ni pamoja na;

Kuwa na mwili Mkubwa(Kitambi)

Kutojua uvaaji sahihi wa nguo(Ukishaanza kuvaa nguo za Kanisani Kila mahali i.e kuchomekea Kila muda na suluali zako za vitambaa na mashati ya vitenge)

Kuwa na hela katika Umri mdogo

Kuwa na cheo kikubwa Kazini kwako n.k
 
Hahaha......pole sana

Nimegundua vitu vinavyoweza kufanya uonekane Mkubwa kiumri hata kama ni mdogo ni pamoja na;

Kuwa na mwili Mkubwa(Kitambi)

Kutojua uvaaji sahihi wa nguo(Ukishaanza kuvaa nguo za Kanisani Kila mahali i.e kuchomekea Kila muda na suluali zako za vitambaa na mashati ya vitenge)

Kuwa na hela katika Umri mdogo

Kuwa na cheo kikubwa Kazini kwako n.k
Nadhani uvaaji tu🤣
 
Dah 🤣utasikia shikamoo uncle binti mwenyewe labda ana miaka 25🙌nasema hizi dharau sasa
Binti wa miaka 25 ni haki yake kukuamkia

Maana unakuwa umemzidi zaidi ya miaka 10 hapo 😜
 
As long as ....mafuta na sabuni vinaendelea kupatikana madukani...

Kupanga ni kuchagua...Uamuzi ni wako!
 
Back
Top Bottom