Shauri yako Usiponyanduana kila wiki utakuwa Ndondocha

Shauri yako Usiponyanduana kila wiki utakuwa Ndondocha

Promotion ya ngono hoi
Wengine tungeshakuwa vichaa kabisa, eti week ?, watu wanaishi miaka
 
Hivi ndivyo ambavyo wanaume dhaifu wasioweza kudhibiti hisia zao hujiambia.

Nimeshawahi kukaa 9months na hakuna kilichotokea.

Mishe zangu nyingi porini, Sometimes nakaa chaka wiki2, Tatu, Mwezi mmoja mda mwingine miwili mara nyingi tu.
 
Hahaha.............kabisa, ndiyo maana Wazee licha ya kuzeeka bado tunaonekana tuna nguvu nguvu
Father mimi ni kijana wa miaka 35 naingia 36 🤣1989 lakini huwa nasali miwa na watu ambao kwa kweli ni rika moja Ila nashangaa shikamoo nyingi huwa nahudhunika naonekana mkubwa wakati ni kijana tu
 
Umakini wewe muulize DR Mambo Jambo
Ukidinya ndio valves za oblongata zinafunguka wewe. Yaani mawazo yaflow tuu na kumbukumbu inaimarika.

Sii unakumbuka striker wa ukweli de lima, mzeya akisasambua mbususu kabla ya game alikuwa akiingia uwanjani aloooh! Mabeki lazima mlambe nyasi

Sex is a beautiful thing. Acha na wajinga wanao demonize it
 
Back
Top Bottom