Kwan sex na nyeto ni vitu sawaUkidinya ndio valves za oblongata zinafunguka wewe. Yaani mawazo yaflow tuu na kumbukumbu inaimarika.
Sii unakumbuka striker wa ukweli de lima, mzeya akisasambua mbususu kabla ya game alikuwa akiingia uwanjani aloooh! Mabeki lazima mlambe nyasi
Sex is a beautiful thing. Acha na wajinga wanao demonize it
😂 sio poaDipresheni ina dipresheni🤣🤣
Basi hata mashati rombo🤣🤣🤣 Tunakwenda taratibu jamani, angalau hata ungesema shati, gari umeenda mbali sana.
Hahaha......pole sanaFather mimi ni kijana wa miaka 35 naingia 36 🤣1989 lakini huwa nasali miwa na watu ambao kwa kweli ni rika moja Ila nashangaa shikamoo nyingi huwa nahudhunika naonekana mkubwa wakati ni kijana tu
Uwe unahakikisha kuni hazikauki ndaniKwa kweli Mkuu, nakumbuka last week ilibaki kidogo baridi liniuwe bahati nzuri Kwa jirani kulikuwa na moto ndiyo kukimbilia kule kujihifadhi
Nadhani uvaaji tu🤣Hahaha......pole sana
Nimegundua vitu vinavyoweza kufanya uonekane Mkubwa kiumri hata kama ni mdogo ni pamoja na;
Kuwa na mwili Mkubwa(Kitambi)
Kutojua uvaaji sahihi wa nguo(Ukishaanza kuvaa nguo za Kanisani Kila mahali i.e kuchomekea Kila muda na suluali zako za vitambaa na mashati ya vitenge)
Kuwa na hela katika Umri mdogo
Kuwa na cheo kikubwa Kazini kwako n.k
Ndiyo ujitahidi kuzingatia hiloNadhani uvaaji tu🤣
Nitajitahidi Kwa kweli, vinginevyo mnaweza kusikia tangazo kwenye Redio Tanzania kwamba Mzee afa Kwa kupigwa baridi la kujitakia wakati pension anayo 😜Uwe unahakikisha kuni hazikauki ndani
Dah 🤣utasikia shikamoo uncle binti mwenyewe labda ana miaka 25🙌nasema hizi dharau sasaNdiyo ujitahidi kuzingatia hilo
😂 jitahid pia kucheza na wajukuuNitajitahidi Kwa kweli, vinginevyo mnaweza kusikia tangazo kwenye Redio Tanzania kwamba Mzee afa Kwa kupigwa baridi la kujitakia wakati pension anayo 😜
Binti wa miaka 25 ni haki yake kukuamkiaDah 🤣utasikia shikamoo uncle binti mwenyewe labda ana miaka 25🙌nasema hizi dharau sasa
Hahaha...............hilo nitazingatia, hasa nyakati za Likizo 🤗😂 jitahid pia kucheza na wajukuu
Hapana bhana Huyu kunisalimia ni kunionea Sasa ndo aniite uncle kweli father grahamsBinti wa miaka 25 ni haki yake kukuamkia
Maana unakuwa umemzidi zaidi ya miaka 10 hapo 😜
Hizo case ni chache, huwezi kusimamisha wakati unaona wenzako 5 wameuawa Kwa shambuliziWanabaka Kwan usikii case zao.
Ndio huko dasalama wazee wenzako wanacheza na wajukuu kipindi hiki cha holiday fupi.Hahaha...............hilo nitazingatia, hasa nyakati za Likizo 🤗
Namna hiyo 🤣Basi hata mashati rombo
😂 dipppp..niNamna hiyo 🤣
Mimi Nina Miaka miwili Na Sijawa ndondocha Mkuu na Ninatibu Tiny baby (Watoto wadogo) na Sijawahi Kushindwa!Umakini wewe muulize DR Mambo Jambo