Shayo Abiud wa Clouds FM anasikitisha kwa kweli

Shayo Abiud wa Clouds FM anasikitisha kwa kweli

Ukiachana na yote huyo jamaa sjui kwanini anakua mchambuzi wa mpira yani hana analojua kuhusu mpira sjui amefikaje mawinguni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kanafiki sana hako ka mtu, na sauti yake kavu ila analazimisha kuibana, iwe km ya Ruby.

Uwiiiih.
😂 😂 Wewe una ufala mwingi saana kichwani mwako.. Sauti kama ruby 🤣

Inaonekana tz hili suala limeshamiri saana, nitakutafuta unipe listi, ukitaja mtu na ushahidi unakula buku, wakifika 100 una laki. Wale wazito ambao si rahisi kuamini utakula buku 5 5.
 
[emoji23] [emoji23] Wewe una ufala mwingi saana kichwani mwako.. Sauti kama ruby [emoji1787]

Inaonekana tz hili suala limeshamiri saana, nitakutafuta unipe listi, ukitaja mtu na ushahidi unakula buku, wakifika 100 una laki. Wale wazito ambao si rahisi kuamini utakula buku 5 5.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie haka ka mtu kaniboaga sanaa, so kwamba tupo team tofauti nooope, uchambuzi wake uchwaraa, yaan kakianza kuikandia simba utadhani kanajua sana kabumbu, kumbe kavamiaji, na miwani yake ya macho utadhan Surgeon wa mkopo ktk hospital fulani.


Kananiudhiiiiii, mweeeeeh.
 
Yuko ktk payroll ya gsm. Hapa mtakuwa mnatwanga maji ktk kinu tu. Kuna list ilikuwa engineered na Haji ya watangazaji/wachambuzi kuingia kwenye payrol ya gsm toka msimu iliopita unaanza. Wako kama saba 7 hivi.
 
Utawapata wapi muda wa kumsikiliza privadinho hapn. Aisee mm nitatulia tu kuchheki wengibe
 
Ubingwa mara moja ndani ya mika mitano wamechanganyikiwa hadi jezi imekuwa very loud
siyo jezi tu hadi hiyo logo ni ya kubadili sasa simba na yanga kwanza ziache kujiita sports clubs ni football clubs..zamani kulikuwa na teams za netball, ngumi......atleast ile nyeusi iko poa ila hiyo home kit acha tu watumie propaganda nyingi kujielezea
 
Sasa huyu Msago nae ana nn cha maana?? Yaan kutekenywa mara 1 na yule mchambuzi fulan wa Media X ndo kaharibika kabisaa, nishampuuza zaman sana

Afu anajifichia kuvisha [emoji183] mwenza ake wa mchongo, anajistukia vibaya, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sheria imemshinda anahangaikia uchambuzi, si aende law school akachukue muhuri, awe wakili, mxxieeeew zake.
Ule muhuri wa law school mpaka aupate lazima uchawa auweke pembeni kwa muda maalum, sijui ataishije mjini..
 
Priva mtu mbayaa[emoji23][emoji23][emoji23]mwacheni bhn braza priva
 
Ule muhuri wa law school mpaka aupate lazima uchawa auweke pembeni kwa muda maalum, sijui ataishije mjini..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atafute sponsor na scholarship, uchawa wake huu hata connection hana?? Basis arudi migombani akatambile upyaa,

Woiiiiiih.
 
Sasa huyu Msago nae ana nn cha maana?? Yaan kutekenywa mara 1 na yule mchambuzi fulan wa Media X ndo kaharibika kabisaa, nishampuuza zaman sana

Afu anajifichia kuvisha [emoji183] mwenza ake wa mchongo, anajistukia vibaya, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sheria imemshinda anahangaikia uchambuzi, si aende law school akachukue muhuri, awe wakili, mxxieeeew zake.
Mashoqer mnajuana ndio maana unatoa taarifa za wenzako 😁😁, kuwa na Siri na KAZI Yako asee!!.

Wivu unawafanya mpaka mnawachafua WATU?? Akili za kimaskini KABISA .
 
Hakuna mtanzania asiye shabiki wa simba/yanga kama hawapo ni wachache sana, hata hao wachambuzi wa michongo wa nchi hii wote wamegawanyika katika teams hizi mbili

Kwa mfano kitenge ni Yanga lialia hadi kwenye matamasha hutumika kama MC ,Ibrahim masoud maestro huyu aliwahi hadi kuwa kiongozi wa simba na mkuu wa benchi la ufundi na ndiye aliyewafundisha kina mkude..ndemla , ajibu wakiwa wadogo simba b

Kuna Shaffih Dauda, huyu ni simba aliwahi hadi kuchezea ile simba mbovu ya mwaka 99 ya kina kimune mwita, ingawa hakucheza hata mechi zisizozidi tatu akatumia vihela vya usajili kumalizia masomo IFM

Kubwa la maadui Jemedari Said ni yanga lialia,hata kwenye uchaguzi wa kina msolwa alikuwa kwenye kamati ya kampeni ya msolla

Geoff lea ni shabiki la simba

Sasa turudi kwa bwana Abiud shayo Privaldinho, unadhani kwa nini wewe unaonekana kama TOY? siyo sauti yako ni kiherehere chako, kwa mfano niliowataja hapo juu ni Maestro tu hajawahi kuingia kwenye mgogoro na hizi teams au mashabiki wao nafikiri ni master wa kuji handle

Dauda, Geoff ni mashabiki wa simba waliongia matatizoni makubwa na mashabiki wa simba, Jemedari na wanayanga kila mtu anajua, kitengee yeye anajulikana ujinga wake

Tofauti yako Shayo umejigeuza filter ya utopolo,yaani issue ya yanga ikipingwa kwa siku unaitolea maelezo hata mara 100 hadi inachekesha , mwana huoni tu ujinga wako lakini grow up elezea kitu mara moja kausha au wakupe kitengo kabisa nimetoa mifano mingi ili ujifunze kubalance shobo

kwa mfano hii tweet ni ya kijinga kabisa, we ulikuwa hujui kwamba zamani simba na yanga zilkuwa hadi na teams za boxing hata kina matumla walianzia huko?

ushauri ni simple tu kama hayafanyiki tena badilini logo imejaa mauchafu mno wewe ni kupinga tu..ndiyo maana wanasema HATA HAO JAMAA HAPO SALAMANDER WAKIACHIA KIUSHUZI UTASIFIA KWAMBA USHUZI WAO UNANUKIA KAMA CAKE NA UKO VERY CREATIVE



View attachment 2307919
Kwanin unampangia jinsi ya kuishi ana uhuru wa kufanya apendacho Tanzania ndo nchi watu wanapangiana jinsi ya kuishi ni ujinga wa Hali ya juu
 
Sasa huyu Msago nae ana nn cha maana?? Yaan kutekenywa mara 1 na yule mchambuzi fulan wa Media X ndo kaharibika kabisaa, nishampuuza zaman sana

Afu anajifichia kuvisha [emoji183] mwenza ake wa mchongo, anajistukia vibaya, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sheria imemshinda anahangaikia uchambuzi, si aende law school akachukue muhuri, awe wakili, mxxieeeew zake.
Pivaldinho awez ishi kama unavyotaka na hilo ndo tatizo kubwa la watanzania kufuatilia maisha ya watu tujifunze kuheshimu kile anachoamin mtu ata kama kina kukera
 
Pivaldinho awez ishi kama unavyotaka na hilo ndo tatizo kubwa la watanzania kufuatilia maisha ya watu tujifunze kuheshimu kile anachoamin mtu ata kama kina kukera
mcha goat hajui kama simba na yanga zishakuwa na clubs za ngumi huko zamani..sema ndo hivyo wengine wanapenda logo za makorokoro zimejaza hadi mabondia
 
Wee shost kwan mnashare urungu na huyo msago? Yeye amekaa kmya?? Mbna anawashwa sana kulopoka lopoka?? Sio yeye tyuuh hata takadini pia nawaosha haswaa, sio kuwasuuza.

Km unaumia sana nenda kawasaidie kuwatawaza kule bondeni baada ya kumiminiwa uji mzito wa lishe.

Mxxxxieeeeeew, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe tangu umeingia hili jukwaa la sports umekua mtu wa kuleta story za kisenge all day una jadiri personalities
 
Mashoqer mnajuana ndio maana unatoa taarifa za wenzako [emoji16][emoji16], kuwa na Siri na KAZI Yako asee!!.

Wivu unawafanya mpaka mnawachafua WATU?? Akili za kimaskini KABISA .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio hapa tyuuh, haka kanafiki nlishawahi kapa makavu insta kaka niblock, kwahiyo kenyewe kanavyofanya vile ni sawa? Aje anijibu yeye sio wee.

Hebu nipisheee kuleee, mxxieeeeew.

Byuti byuti
 
Back
Top Bottom