Shayo Abiud wa Clouds FM anasikitisha kwa kweli

Ukiachana na yote huyo jamaa sjui kwanini anakua mchambuzi wa mpira yani hana analojua kuhusu mpira sjui amefikaje mawinguni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kanafiki sana hako ka mtu, na sauti yake kavu ila analazimisha kuibana, iwe km ya Ruby.

Uwiiiih.
😂 😂 Wewe una ufala mwingi saana kichwani mwako.. Sauti kama ruby 🤣

Inaonekana tz hili suala limeshamiri saana, nitakutafuta unipe listi, ukitaja mtu na ushahidi unakula buku, wakifika 100 una laki. Wale wazito ambao si rahisi kuamini utakula buku 5 5.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie haka ka mtu kaniboaga sanaa, so kwamba tupo team tofauti nooope, uchambuzi wake uchwaraa, yaan kakianza kuikandia simba utadhani kanajua sana kabumbu, kumbe kavamiaji, na miwani yake ya macho utadhan Surgeon wa mkopo ktk hospital fulani.


Kananiudhiiiiii, mweeeeeh.
 
Yuko ktk payroll ya gsm. Hapa mtakuwa mnatwanga maji ktk kinu tu. Kuna list ilikuwa engineered na Haji ya watangazaji/wachambuzi kuingia kwenye payrol ya gsm toka msimu iliopita unaanza. Wako kama saba 7 hivi.
 
Utawapata wapi muda wa kumsikiliza privadinho hapn. Aisee mm nitatulia tu kuchheki wengibe
 
Ubingwa mara moja ndani ya mika mitano wamechanganyikiwa hadi jezi imekuwa very loud
siyo jezi tu hadi hiyo logo ni ya kubadili sasa simba na yanga kwanza ziache kujiita sports clubs ni football clubs..zamani kulikuwa na teams za netball, ngumi......atleast ile nyeusi iko poa ila hiyo home kit acha tu watumie propaganda nyingi kujielezea
 
Ule muhuri wa law school mpaka aupate lazima uchawa auweke pembeni kwa muda maalum, sijui ataishije mjini..
 
Priva mtu mbayaa[emoji23][emoji23][emoji23]mwacheni bhn braza priva
 
Ule muhuri wa law school mpaka aupate lazima uchawa auweke pembeni kwa muda maalum, sijui ataishije mjini..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atafute sponsor na scholarship, uchawa wake huu hata connection hana?? Basis arudi migombani akatambile upyaa,

Woiiiiiih.
 
Mashoqer mnajuana ndio maana unatoa taarifa za wenzako 😁😁, kuwa na Siri na KAZI Yako asee!!.

Wivu unawafanya mpaka mnawachafua WATU?? Akili za kimaskini KABISA .
 
Kwanin unampangia jinsi ya kuishi ana uhuru wa kufanya apendacho Tanzania ndo nchi watu wanapangiana jinsi ya kuishi ni ujinga wa Hali ya juu
 
Pivaldinho awez ishi kama unavyotaka na hilo ndo tatizo kubwa la watanzania kufuatilia maisha ya watu tujifunze kuheshimu kile anachoamin mtu ata kama kina kukera
 
Pivaldinho awez ishi kama unavyotaka na hilo ndo tatizo kubwa la watanzania kufuatilia maisha ya watu tujifunze kuheshimu kile anachoamin mtu ata kama kina kukera
mcha goat hajui kama simba na yanga zishakuwa na clubs za ngumi huko zamani..sema ndo hivyo wengine wanapenda logo za makorokoro zimejaza hadi mabondia
 
Wewe tangu umeingia hili jukwaa la sports umekua mtu wa kuleta story za kisenge all day una jadiri personalities
 
Mashoqer mnajuana ndio maana unatoa taarifa za wenzako [emoji16][emoji16], kuwa na Siri na KAZI Yako asee!!.

Wivu unawafanya mpaka mnawachafua WATU?? Akili za kimaskini KABISA .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio hapa tyuuh, haka kanafiki nlishawahi kapa makavu insta kaka niblock, kwahiyo kenyewe kanavyofanya vile ni sawa? Aje anijibu yeye sio wee.

Hebu nipisheee kuleee, mxxieeeeew.

Byuti byuti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…