Shayo Abiud wa Clouds FM anasikitisha kwa kweli

Wewe punga tangu umeingia hili jukwaa la sports umekua mtu wa kuleta story za kisenge senge all day una jadiri personalities
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaumia ukiwa wapi?? Kwani huyo mnafiki wenu huwa anachambuaga nn?? Km sio uzwazwa tyuuh.

Kwan uzi nimeanzisha mie? Nimekuta mada nimeandika ninachofahamu kuhusu mlengwa, wala usinipangie cha kuandika.

Kwa kuongezea, kamshauri aache kubana sauti, sauti yake kavu km ya bob tunajua, ila yeye anaifinya iwe km ya Ruby, why???

Byuti byuti.
 
Pivaldinho awez ishi kama unavyotaka na hilo ndo tatizo kubwa la watanzania kufuatilia maisha ya watu tujifunze kuheshimu kile anachoamin mtu ata kama kina kukera
Kwan nan amesema aishi ninavyotaka?? Kwenye ukweli acha tuseme, aache unafiki na uzandiki. Wala hatuna shida nae

Byuti byuti.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwan nan amesema aishi ninavyotaka?? Kwenye ukweli acha tuseme, aache unafiki na uzandiki. Wala hatuna shida nae

Byuti byuti.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa sababu asifii Simba ndo anaitwa mnafki na mzindaki tunasafari ndefu sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mchokozi eti eeeh?? Afu kwa huyu Priva sio siri, ni vile watu wana mstahi tyuuh. Anabokolewa wala sio jambo geni kwake, uwiiiiiiih.
Are you serious?
 
Kwa sababu asifii Simba ndo anaitwa mnafki na mzindaki tunasafari ndefu sana
Wala hatujataka atusifie na hatuna shida hizo, aache unafiki na uzandiki. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wala hatujataka atusifie na hatuna shida hizo, aache unafiki na uzandiki. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwez mpangia junsi ya kuishi aishi atakavyo wewe utasubiri sana
 
Bwana Shayo yupo kule Misri ila Simba walimpiga marufuku kwenda kwenye kambi yao ikabidi awe reporter wa Azam tu mpaka anatia huruma yaani utoke Tanzania mpaka misri ufuate reports za Azam jamaa ana kiherehere sana toka apigwe beat na Manara akili haijakaa sawa kabisa.
 
Mpira unawatia watu uchizi. Kwa comment nilizoziona humu Mungu anisaidie nisifike huko mlipofikia hasa makolo inaonekana mna mawazo mengi aseeh

Kunyweniaji mengi nyie
Ila jezi mpya ya utopolo imethibitisha nani Ni makolo. Maana SI kwa makorokoro Yale yaliyojaa kwenye jezi.
 
Huyu mtoto nilivyoskia anaenda Misri nimejaribu Hadi kuwatafuta baadhi ya viongozi wa matawi yenye ushawishi na uongozi wa juu wa simba asiruhusiwe hata kukanyaga kwenye kambi yetu.Ana ushabiki wa kipumbavu Sana,naweza sema wakishamba..
 
Huyu mtoto nilivyoskia anaenda Misri nimejaribu Hadi kuwatafuta baadhi ya viongozi wa matawi yenye ushawishi na uongozi wa juu wa simba asiruhusiwe hata kukanyaga kwenye kambi yetu.Ana ushabiki wa kipumbavu Sana,naweza sema wakishamba..
JF kila mtu ana mamlaka [emoji3525][emoji3525]

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…