Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
- Thread starter
- #21
Tatizo kubwa mzazi mwenzio alikuwa au amekuweka plan A wakati wewe umemuona yeye ni plan B. Nadhani baada ya nyie kubarikiwa mtoto (hata kama hamkupanga), alijua ndo tayari mtakuwa familia yaani umuoe.
am telling you by then,i never had any plan!NEITHER A NOR B.nisingependa kuelezea kilichotokea kwakweli kwasababu..................dah!anyaways,AHSANTE KWA USHAURI!the thing is I DON'T LOVE HER!I have tried to in so many ways lakin IT NEVA WORKED