She is having my baby, I can't get married to her!

She is having my baby, I can't get married to her!

Feelings unazozisema Geoff huwa zinakuja na kuondoka au kupotea kabisa ni hali ya ubinadamu. hata unayetaka kumuona sasa hivi una feelings naye sana lakini itafika kipindi hautatamani hata kumuona. hivi vitu viko within na inatakiwa tuvicontrol na kuwekea mbolea. Jifunze kutosheka na kuwa na kiasi.Isije ukaja tena hapa JF kuomba ushauri ulikoenda siko. Wewe ndiyo unajua. Elewana na mzazi mwenza na usilazimishe kumchukua mtoto. Mwenye uchungu na mapenzi halisi ya mtoto ni mama yake. Timiza wajibu wako kwa mtoto kwa kumtunza. Umweleze pia unayetaka kumuoa(uliye na feelings kwake) kuwa una binti.Play it softly usimfrusteate mzazi mwenzako akashindwa kumlea mtoto wako ukajutia maisha.
 
wanaume ndivyo mlivyo mnatuchezea mnatuharibia maisha then mnatubwaga.

Mbona na nyie mnatuchezea hatusemi!
Mchezo tumecheza wote na tumefrahia wote iweje mimi nikuharibie maisha? We si umenikubali mwenyewe kwa ridhaa yako au nimekusulutisha unipende?
 
Feelings unazozisema Geoff huwa zinakuja na kuondoka au kupotea kabisa ni hali ya ubinadamu. hata unayetaka kumuona sasa hivi una feelings naye sana lakini itafika kipindi hautatamani hata kumuona. hivi vitu viko within na inatakiwa tuvicontrol na kuwekea mbolea. Jifunze kutosheka na kuwa na kiasi.Isije ukaja tena hapa JF kuomba ushauri ulikoenda siko. Wewe ndiyo unajua. Elewana na mzazi mwenza na usilazimishe kumchukua mtoto. Mwenye uchungu na mapenzi halisi ya mtoto ni mama yake. Timiza wajibu wako kwa mtoto kwa kumtunza. Umweleze pia unayetaka kumuoa(uliye na feelings kwake) kuwa una binti.Play it softly usimfrusteate mzazi mwenzako akashindwa kumlea mtoto wako ukajutia maisha.

AHSANTE KWA KUNIFUNGUA AKILI!umeongea maneno mazito sana,hasa niliyoyabold!

ahsante mzazi!kwakeli najivunia kuwa JF member,has kwa uwepo wa watu waelewa kama wewe!I WILL GO THROUGH YOUR PLAN
 
Upande wangu visa hivi hunipa majonzi na simanzi na kufikiria ni jinsi gani wanawake wanateseka!!! kwanza moja kwa moja hujiweka mimi katika position ya mtendewa!! na kufikiria ni watoto wangapi wanakosa mapenzi ya baba zao! ni watoto wangapi wanatupwa majalalani hali ya kuwa mama anaondoka akiangalia nyuma na kutokwa na machozi kwa kile alichokiacha pale lakini ni kwa kuwa hana namna amekosa mapenzi, amekosa wa kumthamini!!! JUST THINK
am sure huyo binti anajua ukioa si yeye wala mtoto atakayepata mapenzi wala support yeyote kutoka kwako na hii ndio uhalisia, ni ngumu mno na huyo mtoto ataishi katika mazingira magumu haswa kama huyo dada hana kipato, na inawezekana ulimzalisha akiwa mdogo hakupata nafasi ya kujiendeleza au kujishughulisha na chochote, utakapoingia kwenye ndoa kumbuka unabeba majukumu mengine ya kifamilia, nahata kama ukimueleza huyo mke mtarajiwa kuwa uliwahi kuzaa kabla inategemae sana na roho ya huyo mke kama ataweza japo kukukumbusha kutuma mia 200 ya sabuni kwa mwezi!!! kumbuka ni ngumu mno kwa mawnamke kulea au kumthamini mtoto wa mwanamke mwenzie kwa hofu ya kuwa anaweza kuwa mshindani kwake na familia yake,

labda nikuulize, ulijua kuwa hutamuoa huyu binti kama unavyodai humpendi je nini ulichowahi kumfanyia yeye au huyo mtoto kuhakikisha kuwa watakuwa na maisha bila kutegemea senti tano yako ya mwezi (investement etc)!

unadai upo tayari kumtunza je hiyo itakuwa ni automatic au mpaka aje akufuate ofisini au nyumbani kuomba msaada??!!

Kwa mtizamo wangu nadhani kama upo tayari kumtunza suala hili lifanyike kwa mazungumzo na makubaliano, mkae na huyo dada na familia zenu, ikiwezekana lifanyike kisheria, kumpa huyu dada assuarance na aamini kweli huna nia ya kumtelekeza! Ustawi wa jamii etc !! otherwise hili ni changa la macho na tutegemee ongezeko la watoto waishio katika mazingira magumu!!
 
Kwanza pole ni mkasa huu, ushauri wangu kama mama na pia kama mtu niliyepitia huko:
1. Unapaswa kwanza umruidie Mungu wako, juta kosa lako na mengine uliyofanya aina hii, kujuta ina maana usilirudie tena
2. wote wawili mlikosa, zaidi msichana kama hakubakwa kwani kama usemavyo anafanyakazi ni umri wa kuwa na utashi wa mema na mabaya na zaidi matokeo ya ngona zembe kwake yeye binti (unless ulimlewesha)
3. nadhani hapa uko kwenye family way hata kama hutaki kukubali UNA MTOTO! chamsingi tafuta jinsi ya huyu mtoto kukua kwa amani, mara nyingi makabila mengi mtoto ni wamama na wakwe wangekusaidia kumlea mradi upeleke matunzo binti angepata nafasi ya kuolewa baadae, lakini kwa wachagga mhh binti asiye bikra - (believe me at this era) kwakuonyeshwa kazaa itakuwa ngumu!
Hivyo achana na issue za kuoa harakaharaka tafuta nani atakubali kumlea mtoto wako kwa amani - kama una mama mzuri so much the better - la subiri songombingo iishe binti ampeleke kwao lakini tegemea gubu kila unapotia mguu kumuona!
4. kuhusu kumuoa kama humpendi NO! ni mbaya zaidi ondoa wazo kabisa maana utaleta UKIMWI then watoto wa mtaani bora uwe na mke/mumw umpendae na hata huyo binti akikua atakuja kukaa na kuwa proud of you!
5. ni Kipindi cha kujikabidhi mikononi mwa Mungu wala usitafute uganga wala nini, Mungu anasamehe na hata huyo msichana umweleze hivyo na atawawezesha kila mtu kumpata mtu bora kwake
6. Jaribu kujutia kosa lako na kumweleza mwenzio taratibu, ndio utatukanwa sana afu atakusikiliza baadae, ili uwe na amani maana bila hata ya kurogwa wengine dhamira tu inawasuta kiasi hiyo ndoa mpya itakushinda.
7. all the best
 
Huyo dada si mkeo na hata kisheria kama hujakaa naye baada ya kuzaliwa mtoto na kama hukuwa umemuahidi vinginevyo. Hana haki ya kukufanyia hivyo ingawa nawe ulimkosea sana.

Sijui taratibu za kidini zinasemaje juu ya hilo but sidhani kama ni kikwazo kwako unless ulikuwa unaishi naye kama mkeo
 
Huyo dada si mkeo na hata kisheria kama hujakaa naye baada ya kuzaliwa mtoto na kama hukuwa umemuahidi vinginevyo. Hana haki ya kukufanyia hivyo ingawa nawe ulimkosea sana.

Sijui taratibu za kidini zinasemaje juu ya hilo but sidhani kama ni kikwazo kwako unless ulikuwa unaishi naye kama mkeo

thanks!
you sound like somebody I KNOW!
??/????
 
Mkuu pole sana, ila kwa experience ya maisha nionayo, inawezekana kabisa mtu ukawa na plan ya kumuoa mhusika lakini ndugu zangu utakapokuja baini atendayo nahisi unaweza kufa kabisa, ebuhh chukulia mfano mtoto kazaliwa halafu manesi wanakuita wanakuambia tabia ya kujiexpress na mchumba wako si nzuri halafu imani ya moyo yako haikuruhusi tabia hiyo kabisa,sijui utakua ktk fadhaa gani? na kingine unakuta mtu anajua nikimzalia fulani mtoto basi atanioa tu, wala hakumbuki mtu anaolewa kwa uzuri wa tabia yake,mtu anatakiwa ajiweke katika mazingira ya kuolewa, lakini sio unataka kuolewa wewe ni mtu wa viwanja,muongo ajabu, bingwa wa kufumaniwa halafu mtoto ndo awe kigezo cha wewe kuolewa,cha muhimu mkuu usimtupe mtoto, mtunze kwa mahitaji yote unayojiweza, huyo binti achana naye kama sababu nilizotaja hapo juu zimo ndani yenu, nafahamu aina hii ya uhusiano inavyokua mwanzo na mwisho wake,ila tumia akili sana katika kujiepusha naye na usimwambie laivu jaribu kumtengenezea mazingira ya kuachana,
 
Kwanza pole ni mkasa huu, ushauri wangu kama mama na pia kama mtu niliyepitia huko:
1. Unapaswa kwanza umruidie Mungu wako, juta kosa lako na mengine uliyofanya aina hii, kujuta ina maana usilirudie tena
2. wote wawili mlikosa, zaidi msichana kama hakubakwa kwani kama usemavyo anafanyakazi ni umri wa kuwa na utashi wa mema na mabaya na zaidi matokeo ya ngona zembe kwake yeye binti (unless ulimlewesha)
3. nadhani hapa uko kwenye family way hata kama hutaki kukubali UNA MTOTO! chamsingi tafuta jinsi ya huyu mtoto kukua kwa amani, mara nyingi makabila mengi mtoto ni wamama na wakwe wangekusaidia kumlea mradi upeleke matunzo binti angepata nafasi ya kuolewa baadae, lakini kwa wachagga mhh binti asiye bikra - (believe me at this era) kwakuonyeshwa kazaa itakuwa ngumu!
Hivyo achana na issue za kuoa harakaharaka tafuta nani atakubali kumlea mtoto wako kwa amani - kama una mama mzuri so much the better - la subiri songombingo iishe binti ampeleke kwao lakini tegemea gubu kila unapotia mguu kumuona!
4. kuhusu kumuoa kama humpendi NO! ni mbaya zaidi ondoa wazo kabisa maana utaleta UKIMWI then watoto wa mtaani bora uwe na mke/mumw umpendae na hata huyo binti akikua atakuja kukaa na kuwa proud of you!
5. ni Kipindi cha kujikabidhi mikononi mwa Mungu wala usitafute uganga wala nini, Mungu anasamehe na hata huyo msichana umweleze hivyo na atawawezesha kila mtu kumpata mtu bora kwake
6. Jaribu kujutia kosa lako na kumweleza mwenzio taratibu, ndio utatukanwa sana afu atakusikiliza baadae, ili uwe na amani maana bila hata ya kurogwa wengine dhamira tu inawasuta kiasi hiyo ndoa mpya itakushinda.
7. all the best

MANENO MAZITO!
UMENITOA MACHOZI MAMA JOE!
thank u!
 
Thanks Geoff, kama umenielewa, kuomba kutakupa amani, utulivu na you will become humble enough to say I am sorry to her, her parents but will give you strength to say NO to any pressure from her, her parents or your new girlfriend or your parent. Its time you become mature - make your decisions clearly without influence so you need Gods guidence - believe me an independent and good girl can't force someone to marry her coz of a child coz she has got other chances, even her will regret the marriage in the end, so Cool down!
 
thanks geoff, kama umenielewa, kuomba kutakupa amani, utulivu na you will become humble enough to say i am sorry to her, her parents but will give you strength to say no to any pressure from her, her parents or your new girlfriend or your parent. Its time you become mature - make your decisions clearly without influence so you need gods guidence - believe me an independent and good girl can't force someone to marry her coz of a child coz she has got other chances, even her will regret the marriage in the end, so cool down!

ahsante kwa ushauri!
 
Kwanza pole ni mkasa huu, ushauri wangu kama mama na pia kama mtu niliyepitia huko:
1. Unapaswa kwanza umruidie Mungu wako, juta kosa lako na mengine uliyofanya aina hii, kujuta ina maana usilirudie tena
2. wote wawili mlikosa, zaidi msichana kama hakubakwa kwani kama usemavyo anafanyakazi ni umri wa kuwa na utashi wa mema na mabaya na zaidi matokeo ya ngona zembe kwake yeye binti (unless ulimlewesha)
3. nadhani hapa uko kwenye family way hata kama hutaki kukubali UNA MTOTO! chamsingi tafuta jinsi ya huyu mtoto kukua kwa amani, mara nyingi makabila mengi mtoto ni wamama na wakwe wangekusaidia kumlea mradi upeleke matunzo binti angepata nafasi ya kuolewa baadae, lakini kwa wachagga mhh binti asiye bikra - (believe me at this era) kwakuonyeshwa kazaa itakuwa ngumu!
Hivyo achana na issue za kuoa harakaharaka tafuta nani atakubali kumlea mtoto wako kwa amani - kama una mama mzuri so much the better - la subiri songombingo iishe binti ampeleke kwao lakini tegemea gubu kila unapotia mguu kumuona!
4. kuhusu kumuoa kama humpendi NO! ni mbaya zaidi ondoa wazo kabisa maana utaleta UKIMWI then watoto wa mtaani bora uwe na mke/mumw umpendae na hata huyo binti akikua atakuja kukaa na kuwa proud of you!
5. ni Kipindi cha kujikabidhi mikononi mwa Mungu wala usitafute uganga wala nini, Mungu anasamehe na hata huyo msichana umweleze hivyo na atawawezesha kila mtu kumpata mtu bora kwake
6. Jaribu kujutia kosa lako na kumweleza mwenzio taratibu, ndio utatukanwa sana afu atakusikiliza baadae, ili uwe na amani maana bila hata ya kurogwa wengine dhamira tu inawasuta kiasi hiyo ndoa mpya itakushinda.
7. all the best


MJ umenena vyema, ila I am very concern na haki ya mtoto, suala la kuoa au kuishi na mwanamke linaweza kubadilika muda wowote haswa ukizingatia mapenzi yana sura nyingi, tunaona ndoa nyingi zinavyovunjika kuachana na huyo uliyemzalisha si tatizo, kubwa ni juu ya mtoto, hata tukisema ilikuwa bahati mbaya, one touch etc, bado mtoto hana kosa na ana haki zake, anahitaji mapenzi na malezi toka kwa baba,
ni kweli mtoto ni wa mama, lakini ulezi si kazi ndogo na haswa maisha yanavyobadilika, pia wanaume ni kigeukigeu, pindi akimchoka mwanamke atamwita kila aina ya jina ahh ilikuwa part time, sikumpenda, etc na ni chanzo kikubwa cha watoto wa mitaani nalikemea hili kwa nguvu, sidhani kama mungu anapendezwa na maisha wanayoishi watoto wale,

suala la matunzo ya mtoto nadhani lifanyike kisheria zaidi, once bwana Geof utakapoingia kwenye ndoa mpya ni kazi kukumbuka yaliyopita!! sidhani kama huyu dada anaweza kumng'ang'ania akiona kuwa anauhakika mtoto wake atatuzwa,
 
Karibu...see my signature...s**** happens all the time... plus I can see you are making things happen....lol

huyo binti naona ataleta sana kasheshe harusini yako na umpendae...u know that part of...anybody who has any reason to stop this two from...... ah ole wako. u better sort this out mapema....

Shishi na mi nilitaka kupoint hapo..kwamba akitaka kufunga ndoa atakuja 'mzazi mwenzake' na kumwambia padre kuwa mimi hapa ndio mkewe kwa sababu nimeshazaa naye...

nadhani waende ustawi wa jamii, waestablish somehow legally binding means za Geoff kumsupport huyo binti....hii ni kwa kuelewa pia kuwa mapenzi ndo ivo hayalazimishwi, kwa hiyo Geoff ana uchaguzi wa kukaa tu bila kuoa, au asort out kwanza hii ishu

kusema kweli ni mtihani, na kila mtu anakosea, ila pia nampongeza Geoff kwa kutetea UHAI wa sio tu binti yake lakini wa watoto wote kwa ujumla, pamoja na wale ambao hawapatagi utetezi.

Niseme jambo jingine: Huyo dada asionekane 'mnoko' eti kwa vile ni mchagga tena wa rombo...ni kwamba hilo linaonyesha walau ana uelewa wa haki zake kama mwanamke, na sio kama wengine ambao ukimpachika mimba uispomwoa ni sawa tu ili mradi unatoa vipande vya kanga na vimsuli kwa wazee nk.....shule inasaidia wajameni!
 
Mchaga anathamini pesa zaidi ya yote......nadhani ukimdanganya kwa lugha ya kumfungulia biashara hapo hata uwe na wake wengine 100 hato hangaika na wewe ila umfungulia tu biashara.....na mtoto wake kama itawezekana umwache aishi nae hapo utakuwa huru na wewe kujivinjari na mkeo mwingine ila lazima mke mwingine ajue kuwa yupo alimtangulia na sio yeye ajifanye kidume na mtawala...lazima ajipendekeze kwa yule ili aweze kulearn tabia yake ambapo itakuwa rahisi kumkabili.....kingine na wewe pia siku moja moja unajiiba unaenda kupona kwake hata kamoja kanatosha tu.....
 
kwanza kabisa nakupa pongezi kwa hatua uliyochukuwa ya kuokoa maisha ya kiumbe ambacho hakina hakina hatia.

ni vema ukapata muda wa kutosha na kumuelewesha huyo mzazi mwenzako, ni kweli inauma hasa kama yeye anakupenda sana lakini haina jinsi, kwani mapenzi hayalazimishwi. usichoke kumuelewesha na usiwe mkali na usimkimbie.

naimani baada ya muda ataelewa na wewe utaweza kuendelea na maisha yako kama unavyo yaita.

MZUNGU
 
Duuu mkuu mimi siwezi kuongea zaidi kuhusu hili swala kwa ujumla najuwa sio vizuri kumtelekeza mzazi mwenzio...

Pili Je ilikuwaje mpaka ukajirubuni kuzaa nae kama kweli unasema hujampenda??Maana ninachojuwa mimi ukifikia mwanamke umekubali kulala nae bila condom na kumzalisha basi utakuwa umekubaliana nae vitu vingi sana ndio maana amekubali kuzaa....sasa hivi wewe unasema kwamba humuhitaji anaona kama umembadilikia ndio maana

Tatu je wakati unalala nae bila condom hukujuwa kama siku zake zinakaribia au zimeshapita lakini hajawa sawa???

Nne je unaonaje hao watoto ambao walizaliwa nje ya ndoa na wanavyoishi na mama wa kambo wapo sawa kabisa au unaonaje kwa mtazamo wako??

Tano inaonekana ulimpenda sana tena sana wakati upo nae huyo mdada ila baada ya kuzaa nae na kulala nae kwa sana inaonekana umekinai na sasa hivi umemzalisha inaonekana kwamba umeshamchoka....

Sita bro hata mimi kama mimi siwezi kulazimishika kuowa sehemu nisiyokuwa nayo katika roho yangu au sehemu nisiyopenda so cha kufanya hapo think your self before you take any action.

Nadhani hayo ndio maoni yangu sina la zaidi ila mkuu nimekukubali umepiga mzigo sasa unaachia ngazi ndio maana yake...Kipindi hicho ulikuwa unapita tu si unajuwa tena!!
 
kweli umenena!!!

Kulazimwisha kivipi kwani hiyo mimba ilitunga vipi kama mlikuwa hampendani?? Ikiwa kama ulikuwa humpendi basi wewe ni mbakaji maana hadi mimba itunge ni kwamba ulikuwa unampenda kwa dhati na hukujali kutumia condom, sasa kwanini sasa useme humpendi???

Unajua wewe ni mtu mzima unajua jinsi ya kujikinga sio tu na mimba hata magonjwa ya zinaa sasa kanini ufanye bila kondom.
Huyu binti anahaki kabisa ya kuolewa na wewe mlipendana now unamwona si mali kitu unataka kumtosa. Kwanza unatakiwa umshukuru na kumweshimu maana bila yeye usingeonekana ni rijali na unauzazi ,kwa maoni yangu kumwoa na kuishi nae ni wajibu wako.
Nyie ndio mnao ongeza idadi ya watoto wa mitaani duniani,jambo jingine geuza upande wapili ungekuwa ww umefanyiwa hivyo ungejisikia vipi. tatu angekuw mwanao ama dada yako kafanyiwa hivyo unefurahia!

Ukipata majibu ya maswali nilio kuuliza utajua uchungu alionao huyo dada.
NENDA KAMUOWE ACHA KUONGEZA IDADI YA WATOTO MITAANI NA WSIO NA MALEZI YA PANDE MBILI.
 
Back
Top Bottom