Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu wangu kwani kunihuzunisha hivi? Tazama Muda wote huu nikikutafuta humu? Hadi nimekonda.
O
Haya basi uran anataka kurejesha penzi la zamani, afu tena anayemtaka hamtaki tena basi mtafaruku ndo tukimshauri apa afanyeje...
HAHAHAHA NEVER HAPEN BRO SIWEZI KUWA NA URANI NATAKA TU NIJUE BASI ILA KURUDIANA NAE HILO HALIPOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!:closed_2:
Poa moyo!
Inakufaa nini kuhuzunika kwa yaliyokupasa kufurahia kwayo.nilienda kukutaftia notes!jiandae kufaulu Mara ulfu!
Saaaasa hivi kwenye ile kozi ya cheating management hakunaga option ya kibuti japo Chenye load ya point cha che?
strongly, nataa niwe na uhakika na hisia zake kwa kweli.
We nawe do u love me do u love me ushaambiwa mapenzi ulaya africa biashara.
Embu mwombe msamaha na kivitz au samsung note 8 kama hujasamehewa.
Kijana jiongeze
.LifeHacker kama uko karibu pita huku mkuu uran anahitaj walau neno toka kwako!!! MziziMkavu Pasco na wengine....hii kesi naona imekua kubwa kuzidi uwezo wangu!!!!
Hapa hakupendi jamaa kwanza hana respect unampendea nini huyu.....? It's your choice uachane nae uwe huru au endelea nae akukomeshe mwisho wa siku utaelewa tu hata mimi nlitokewa na kitu kama hii lakini saizi let it go.
Mwanzo mgumu ila polepole mtu unakubaliana na hali na kusahau maumivu. Watu tulipenda na tukaona maisha hayakamiliki bila hao ma x zetu ila tukajipa moyo na ku move on. Nasasa tuna enjoy life bila hao. uran yakupasa ukubali matokeo nawe kwamba unaweza kusongesha maisha yako bila ya yeye. Ikitokea akarudisha moyo sawa ila usitegemee sana. Life have to move on
Miaka imepita
Je huyo binti anakupenda bado?
Isije kuwa mwanaume una 'illusions' za first love
Je binti hana mtu?
Maana usitegemee miaka yote yeye chake akawa kakihifadhi tu ilhali ana uhitaji
Je binti unadhani huyu mwanaume ndo wa ndoto yako? Ana vigezo unavyovitaka?je binti anaweza kuwaza kuwa na wewe miaka 20 mbele katika hali zote? ( namuuliza binti maana mwanaume ushakata shauri)
Sent from my iPhone using JamiiForums
maswali mazuri sana,#is she really into you#!?????if she really loves u,she will forgive u.Relationship/marriage is about loving someone for who they are and accepting them for their mistakes.
We EMT yote kwa yote marafiki zako ni wa kike tu?:what:
HAHAHAHA NEVER HAPEN BRO SIWEZI KUWA NA URANI NATAKA TU NIJUE BASI ILA KURUDIANA NAE HILO HALIPOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!:closed_2: