She is here now, I need her back

She is here now, I need her back

Kulikuwa na taarabu moja miaka ya zamani kidogo 'wivu ni kidonda ukiushiriki utakonda, ewe kaka nakupenda namuogopa Asprin'

Hahaha uyo Asprin ata apa hajapafika nadhani yuko operesheni tokomeza sirikali tatu. Basi upendapo usimuogope mtu.. EMT kaleta umajinuni tu lol
 
Last edited by a moderator:
Mwalimu wangu kwani kunihuzunisha hivi? Tazama Muda wote huu nikikutafuta humu? Hadi nimekonda.
O
Haya basi uran anataka kurejesha penzi la zamani, afu tena anayemtaka hamtaki tena basi mtafaruku ndo tukimshauri apa afanyeje...

Poa moyo!
Inakufaa nini kuhuzunika kwa yaliyokupasa kufurahia kwayo.nilienda kukutaftia notes!jiandae kufaulu Mara ulfu!

Saaaasa hivi kwenye ile kozi ya cheating management hakunaga option ya kibuti japo Chenye load ya point cha che?
 
Last edited by a moderator:
He he he, kwenye cheating management, ukipiga kibuti unadisco.
Mzima mamii, miss u a lot.
Poa moyo!
Inakufaa nini kuhuzunika kwa yaliyokupasa kufurahia kwayo.nilienda kukutaftia notes!jiandae kufaulu Mara ulfu!

Saaaasa hivi kwenye ile kozi ya cheating management hakunaga option ya kibuti japo Chenye load ya point cha che?
 

Mkuu naona umejibiwa jibiwa na watoto wa kike sasa ngoja tuje wanataaluma tukusaidie, kwanza moja acha ubwege haya maisha ya sasa hivi kulilia mtoto wa kike mmoja in the name of love sio dili, especially huyo ndio unategemea ajekua wife. majibu yote ya huyo dem umeyapata hapo ni dhahili huyo yupo 50% 50%, na kwa maisha ya sasa ya ndoa na hii miutandawazi unahitaji mwanamke ambae yuko 100% sure, hayo mapenzi ya shule achana nayo we mtu mzima angalia yupi mwanamke anaekufee, anaekupenda, tz bado idadi ya wanawake imezidi wanaume, sasa basi chukua uamuzi mgumu msahau huyo pretend kama aliishakufa and move on na maisha, hizo illusion weka pembezi, almost wote tulikua na madem shule na kwa sababu walikua wanatupenda sana na mapenzi ya kweli wanakusikiliza sasa unafikiri yale mapenzi ndio bado yatakuwepo hapo unajidanganya mkuu, i can feel you mkuu, yale yalikua mapenzi ya utotoni, baada ya kuzinguana na magumegume ya mtaani unafikiri sehemu ya kupata true love ni kule kwa zaman no boss nae ameishakua na amebadilka atakuzingua kama hao wengine wa kitaa so move on man[/QUOTE]

hizi tamthilia za kifilipino zinawaharibu vijana kazi kulia lia tu kwa madada kana kwamba ni mwanamke pekee dunia hii..
 
strongly, nataa niwe na uhakika na hisia zake kwa kweli.

Utapata uhakika mara ngapi uran ?? kwanini usimove on?nilivyosoma comments za huyo moreen wako mwanzo niliona ana point lakini nimegundua ana DHARAU na wewe sijui huzioni au labda ndo hivyo alivyo toka zamani
 
Last edited by a moderator:
We nawe do u love me do u love me ushaambiwa mapenzi ulaya africa biashara.
Embu mwombe msamaha na kivitz au samsung note 8 kama hujasamehewa.
Kijana jiongeze

Hahahaha umenikoshaaaaa amu
 
Last edited by a moderator:
Utapata uhakika mara ngapi uran ?? kwanini usimove on?nilivyosoma comments za huyo moreen wako mwanzo niliona ana point lakini nimegundua ana DHARAU na wewe sijui huzioni au labda ndo hivyo alivyo toka zamani

yahh naweza sense kabisa mkuu juu ya dharau kubwa anayoionyesha hapa..
 
LifeHacker kama uko karibu pita huku mkuu uran anahitaj walau neno toka kwako!!! MziziMkavu Pasco na wengine....hii kesi naona imekua kubwa kuzidi uwezo wangu!!!!
.

Pamoja na mambo mengine, unapojiingiza kwenye mahusiano ni kwamba unaingia kwenye kushindana kuucontrol moyo wa mwenzio unaogeukageuka kutokana na vishawishi (external and internal forces) mbalimbali, "only the fittest survive". Anyway, kuwa na mahusiano na msichana wa sekondari au mwanachuo lazima uwe umejiandaa kisaikolojia, vinginevyo uwe na kansela wako binafsi unayemlipa.
 
Mkuu kwa maelezo ya uran toka usiku nilishaona apa hapaliki wala kukalika..so uran move ahead..tafuta pesa baas utampata wa kwako..huyo was not meant to do...chumvi ikishaharibika hutiwa nini hadi ikolee?
Cc Kaunga

nimekupata mkubwa..
asante sana kwa ushauri
 
Mwanzo mgumu ila polepole mtu unakubaliana na hali na kusahau maumivu. Watu tulipenda na tukaona maisha hayakamiliki bila hao ma x zetu ila tukajipa moyo na ku move on. Nasasa tuna enjoy life bila hao. uran yakupasa ukubali matokeo nawe kwamba unaweza kusongesha maisha yako bila ya yeye. Ikitokea akarudisha moyo sawa ila usitegemee sana. Life have to move on
 
Last edited by a moderator:
Hapa hakupendi jamaa kwanza hana respect unampendea nini huyu.....? It's your choice uachane nae uwe huru au endelea nae akukomeshe mwisho wa siku utaelewa tu hata mimi nlitokewa na kitu kama hii lakini saizi let it go.

nimekuelewa kaka. asante kwa ushauri
 
Mwanzo mgumu ila polepole mtu unakubaliana na hali na kusahau maumivu. Watu tulipenda na tukaona maisha hayakamiliki bila hao ma x zetu ila tukajipa moyo na ku move on. Nasasa tuna enjoy life bila hao. uran yakupasa ukubali matokeo nawe kwamba unaweza kusongesha maisha yako bila ya yeye. Ikitokea akarudisha moyo sawa ila usitegemee sana. Life have to move on

thank you my dear, nafurahia kupata ushauri wako hapa..
 
Ya msondo mwachie ngurumo! Penda unapopendwa ukipenda usikopendwa utapondwa tu! Kama kasema hakutaki unang'ang'ania nini? Madem wapo kibao tena wife material kama hakutaki tena piga bunda tafuta mwingine!
 
Miaka imepita

Je huyo binti anakupenda bado?

Isije kuwa mwanaume una 'illusions' za first love

Je binti hana mtu?
Maana usitegemee miaka yote yeye chake akawa kakihifadhi tu ilhali ana uhitaji

Je binti unadhani huyu mwanaume ndo wa ndoto yako? Ana vigezo unavyovitaka?je binti anaweza kuwaza kuwa na wewe miaka 20 mbele katika hali zote? ( namuuliza binti maana mwanaume ushakata shauri)




Sent from my iPhone using JamiiForums

maswali mazuri sana,#is she really into you#!?????if she really loves u,she will forgive u.Relationship/marriage is about loving someone for who they are and accepting them for their mistakes.
 
maswali mazuri sana,#is she really into you#!?????if she really loves u,she will forgive u.Relationship/marriage is about loving someone for who they are and accepting them for their mistakes.

Hii username yako inanifanya nitamani kukuona.


||"You were too young to understand"||
 
We EMT yote kwa yote marafiki zako ni wa kike tu?:what:

Hahahaa. Hawa marafiki wa kike mara mwisho kuonana nao ilikuwa tulipoagana asubuhi wao wakielekea shopping, sie tukielekea kibandaumiza tayari kucheki ngoma ya Man City na Southampton.

Mpaka usiku ndo tumemaliza kuangalia mechi ya Chelsea na Stoke, so tumeptia hapa kona bar kupata moja baridi kabla ya kuelekea kunako.

Sasa ukiangalia hapo washkaji siwezi watumia salamu as nilikuwa nao tokea moning kama unavyowaona akina Ntuzu, Katavi, Mentor, Mbu na wengine hapo kwenye picha tuliyotuma twita.

_65551370_159980404.jpg


 
HAHAHAHA NEVER HAPEN BRO SIWEZI KUWA NA URANI NATAKA TU NIJUE BASI ILA KURUDIANA NAE HILO HALIPOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!:closed_2:

It is hard to find a good man now days,he run extra miles for u,ilimradi ujue kiasi gani anakupenda and he is willing to start afresh...i just hope tht prince charming of urs wont dissapoint u......#ull cry a river and it will be too late#.Sometimes we need to use our BRAIN and not our HEART.....
 
Back
Top Bottom