She is here now, I need her back

She is here now, I need her back

Hahahaa. Hawa marafiki wa kike mara mwisho kuonana nao ilikuwa tulipoagana asubuhi wao wakielekea shopping, sie tikielekea kibandaumiza tayari kucheki ngoma ya Man City na Southampton.

Mpaka usiku ndo tumemaliza kuangalia mechi ya Chelsea na Stoke, so tumeptia hapa kona bar kupata moja baridi kabla ya kuelekea kunako.

Sasa ukiangalia hapo washkaji siwezi watumia salamu as nilikuwa nao tokea moning kama unavyowaona akina Ntuzu, Katavi, Mentor, Mbu na wengine hapo kwenye picha tuliyotuma twita.

_65551370_159980404.jpg




Teh Teh Teh Teh

Mkuu safi sn!
 
Last edited by a moderator:
Ila napenda kumpa ushauri wa Bureeee...asioe huyo mwanamke hata akimkubalia.


||"You were too young to understand"||

yaani huyo hata aje buree au apewe buree na wazazi wake asichukue kama mke maana ni majanga, i think God loves him too much kiasi kwamba anajaribu kumuokoa na majabga ya mbeleni lakini it seems like haoni amebaki tu do u love me '' hell no she doesnt man move on''
 
sure sure mkuu, naenda kufanya hivyo very soon.
nimezungumza nae for more than 20minutes but hatuelewani.
I can move on kwa kweli.
ni miaka zaidi ya 6 sasa imepita without her.

Nilileta hili swala hapa kwenye public ili nijue msimamo wake wa mwisho.
then kauonyesha.
Nitaamua sasa.
moreen baby sababu anayoitumia ni dhaifu sana.
ila nimeona, umaarufu nao pia ni tatizo...!!!

Hapo sasa ndio unaanzakuongea kama mtoto wa kiume, maana Mungu amekupigania sana na hilo janga mkuu, na lazima ujue katika ndoa its more than i love you kunachallenges nyingi ambazo utataka ushirikiani wa kutosha kutoka kwa mkeo, lakini huyo ndugu hapana, na huyo game za njee anaonekana atakua anakuchezea sana maana majibu yake anaonekana kama kuna jamaa anapiga 0713, so braza please there are so many fish in the ocean
 
kila binadamu ana hisia m cwez kumkataza yeye kunipenda nakubali ananipenda ila kwa alichofanya sawa sio kizur .na m nilimkatalia kwa sababu kwa ninavyofikiria mimi huwez kukaa na mpenz wako miez sita bila mawasiliano m narud tunakutana hajanambia kama anamtoto nakuja kusikia habari juu kwa juu tuu ndo namuuliza anasema ndio sawa bt kwann alinifcha mwanzoniiiii????? pili maishani mwangu cpend kuwa mke wa pili that's all NIMEMALIZAAAAAAA
We nawe sema Labda Umepata mwingine ama humpendi tena. Shoga ukipendwa pendeka bibi. .ala a. af y two gonna make a veery nice love story
 
OKEY NIMEKUSOMA kijana motto wake kwann asiendelee na huyo alienae mpka arudi kwanguuu

kujishaua tuu huko. .hujawahi kupenda wewe. ushakamatwa na mujanja ya mujini ..Huyu old school wapi na wapi! and seems yo'using that excuse as a weapon to make him feel bad. but trust me. .u l remember something about him n it gonna be too late honey
 
narudi kwako kwa sababu nakupenda sana..

dude. .
This brat doesn't love you no more. move on man. she is next level moet jombaa sio wa fanta ya moto tena. .wake up amkaaaa
 
There is something I don't get clear.
To me seem there is something a man didn't made clear, kuna issues kaficha katika haya mahusiano ( weka wazi kila kitu bana)
Lakini pia nijuavyo mimi kama kweli kuna mapenzi ya dhati, suala la mawasiliano kukatika au mtu kupata mtoto nje ya mahusiano siyo sababu ya msingi (hasa ukizingatia hamkuwa karibu Kwa kitambo flani).
Kwenye suala la kukatika mawasiliano, I am living example, I once lost contact na mtu wangu for more that 2 years and still she was loving me to death, it's a matter of understanding na true feeling. And to me that was the first incident lakini ilitokea tena on another girl ambaye we were friends (normal friends for 4 years mpaka alipoonyesha hisia zake kwangu, na of course my intention in the first place was just to help her kwenye masomo yake, hisia baadae zili develop and we fell in love and I was her first man), nae we lost contacts for more than 6 months lakini when we resumed our contact, kila mmoja alimuelewa mwenzake an life went on.
So kifupi niibe hana mapenzi ya kweli Kwa mshikaji, suala la kutolewa virgnity doesn't guarantee kwamba the girl loves the man....period.
 
Hapa the issue is very simple, she doesnt love u anymore, na hilo alishaliweka wazi toka mapema, we unafikiri miaka yote hyo mliyopotezana alikuwa amekaa tu anakusubir wewe? unanikumbusha bf wangu wa kwanza nae alinigandaga hv hv kama ww alikuwa hatak kunielewa kisa kantoa bi.k.ra wakat mwenzie nimeshamtoa moyoni na huko niliko niko totally in love kiasi kwamba nataman huyo nilienae kipind hicho ndo angekuwa my first balada ya yeye. Ushauri just bcz u r someone's first love doesnt me u r the love of her/his life, move on with ur life bfr its too late
 
!
!
In the twist of separation
You excelled at being free
Can't you find a little room inside for
me
Whatever I said, whatever I did
I didn't mean it
I just want you back for good
Want you back, want you back
I want you back for good.......by Robbie Williams#back for good
 
hapa the issue is very simple, she doesnt love u anymore, na hilo alishaliweka wazi toka mapema, we unafikiri miaka yote hyo mliyopotezana alikuwa amekaa tu anakusubir wewe? Unanikumbusha bf wangu wa kwanza nae alinigandaga hv hv kama ww alikuwa hatak kunielewa kisa kantoa bi.k.ra wakat mwenzie nimeshamtoa moyoni na huko niliko niko totally in love kiasi kwamba nataman huyo nilienae kipind hicho ndo angekuwa my first balada ya yeye. Ushauri just bcz u r someone's first love doesnt me u r the love of her/his life, move on with ur life bfr its too late

word, kuna watu wanajidanganya kuwa wadada hawawasahau wanaowatoa bikira. Wafute hiyo kitu kabisa, it is just nothing na imekuwa overrated sana.
 
Kuna husband and wife
Eti mumie kuna nini hapa?

hamna kitu meaning? Akutafute wa nini?
hamna kitu honey ila paroko anapendelea atamtafutaje Karucee wakati mimi niko around

Ask again
Mabinti kuna tatizo mahali?

lols. Kaumiza wengi but I run his world
Jamani jamani huyu paroko huyu mhh!!!!!!

Kuna special room ya kutoa mapepo. Patakufaa sana.
haha nitakuja paroko
jumapili ya matawi kama sijaielewa

Yeah muite na Honey Faith uwafanyie maombi wote kwa pamoja darling
We njoo tu utaelewa hukuhuku!
 
Last edited by a moderator:
yahh naweza sense kabisa mkuu juu ya dharau kubwa anayoionyesha hapa..

sasa unasubiri nini kaka move on maisha yaendelee achana nae..hapa unazidi kumpa ujiko tu na wewe kujichoresha.Ni vizuri ukafunga mjadala acha kujifanya mfilipino bro mwache aende
 
Sisi watu wazima wenye experience ya haya makitu tunakushauri kijanaACHANA NA HUYU MWANAMKE.
atakuumiza sana ukiendelea kukomaa nae,

kwanza unajidhalilisha ujue kuendelea kujionyesha how much umeoza kwake na umekwama......mapenzi yapo tuu, ila kama mwanaume unatakiwa upende nawe pia ujipende.........
yaani hapa unaonesha unapenda mpaka unajisahau wewe mwenyewe...........come on kijana, MOVE ON


Hiyo signature yako Ina Bonge la UJUMBE.

Nimeupenda Sana kwa kweli..
 
Back
Top Bottom