Bibie ana wasiwasi tu huyu.Mimi nampa braza marks zote kwasababu moja tu,kitendo cha yeye kukataa ujauzito usitolewe.That proves kuwa mkuu ni mtu mzuri moyoni achilia mbali kwamba alisaliti.
Bibie ana wasiwasi tu huyu.Mimi nampa braza marks zote kwasababu moja tu,kitendo cha yeye kukataa ujauzito usitolewe.That proves kuwa mkuu ni mtu mzuri moyoni achilia mbali kwamba alisaliti.
mkuu naona umeamua kumtolea uvivu moreen maana nondo unazotoa inakuwa ngumu kwake kukujibu tungepata kumi kama wewe uran angesha opoa tausi wake mapemaaaaaaa .....mkuu endelea hivyohivyo tena ikiwezekana mshauriane na uran kwa pm
well said, naumga mkono hojaMtoto na mwanamke mwingine sio uke wenza.Kitanda hakizai haramu.Kataa ndoa sababu ya mtoto uje uletewe mtoto ukiwa ndani ya ndoa na huyo atakaye kuoa.
Wewe Sema humpendi tu au mapenzi kwake yameisha na si kuongea swala la uke wenza wakati braza hapa amekuja hadharani kushow love kwako.U are looking for a perfect guy,nakushauri muumbe wako.Hakuna mtu mzuri kama ambaye kajifunza kwa vitendo na kajutia makosa na kuomba radhi
U have done enough braza,if she doesn't appreciate sio kesi wewe chapa lapa,acha atafute mme mwema ambaye hana mtoto na hatomfanya kuwa mke mwenza.
mkuu naona umeamua kumtolea uvivu moreen maana nondo unazotoa inakuwa ngumu kwake kukujibu tungepata kumi kama wewe uran angesha opoa tausi wake mapemaaaaaaa .....mkuu endelea hivyohivyo tena ikiwezekana mshauriane na uran kwa pm
Ok guyzz mshaurini uran but cio mmm cz siwez rud nyuma na uamuzi tayar nimeshautoa m cwez kuwa naye cio kwamba cmpend but cwez kumsababishia maumivu mwanamke mwenzangu ambaye na yy tayar anampenda uran pli mimi tayari nimeshampata ambaye ananipenda nami nampendaaaa
Hahahahaaaa Moreen wetu huyu,haendi popote.Halafu imekuwa coincidence my x gf anaitwa Maureen,naye aliniacha sababu kama ya mkuu hapa,kuwa na mtoto na mwanamke mwingine but mpaka kesho she knows that hatopata mtu kama mimi japo nina mtoto,na huwa ananiambia hivyo though it's too late.So I totally understand how my brother here feels caz I have been there.
ninaye mtu na nna malengo nae we unadhani toka nipo chuo mpka sasa nina kikazi cha kujishikiza nicwe na mtu kwelii mmh haya amin unavyoamini bt ninaye mtuhii sababu ya kuwa una mtu hujaianza leo hata
kidogo.
Kuwa muwazi zaidi.
Let finish this
nilijua baada ya kumaliza masomo na nilijua kipindi huyo mkeo anamimba ckujua alijifungua lin bali nilikuja kusikia anamtoto tuachanen na hayo najua unanipenda bt angalia maisha yako mi siwez tena kurudi nyuma najua maumivu nilioyapata na nilikwambia uniache nijue msimamo wako kama kwel ww hukuwa na mtu isingekuwa raisi kukubali matokeo mapema vile lakin nilivogundua una mtu ambaye tayar ni mjamzito nikajua kwann tulikuwa hatuna mawasiliano ok cwez kuwa wako tena jenga maisha na huyoo ulienae m na ww tutabaki mafriend tu sawa eehhh .... hata nikisema nikurudie wewe bado huyo ulienae ataumia kwa sababu yangu na inaonesha yeye aanakupenda sana bac kuwa naye huyooo
Ok guyzz mshaurini uran but cio mmm cz siwez rud nyuma na uamuzi tayar nimeshautoa m cwez kuwa naye cio kwamba cmpend but cwez kumsababishia maumivu mwanamke mwenzangu ambaye na yy tayar anampenda uran pli mimi tayari nimeshampata ambaye ananipenda nami nampendaaaa[/QUOTE]
uran Piga moyo konde songa mbele, hakuna anayeijua kesho mkuu umeshafanya ya kutosha mkuu hata kuja hapa wazi kiasi hicho ni ujasiri tosha so akam moreen haelewi basi. Tafadhali usifanye naye ligi tafadhali kuna extent anaweza fika hatua mood yake ikibadilika asiandike maneno mazuri na inaonyesha bado mnaweza onana pia hata kuwasiliana hakuna haja ya kukwazana mkuu.
USHAURI WANGU KWAKO MKUU uran
MKuu; uran endelea na maisha mbele, muache tu moreen baby, mbali ya kwamba kwa jicho la tatu anakupenda, ila kwa kuwa naonyesha hadharani anapingana na moyo wake, wewe mtafute mama mtoto jifunze kumpenda leeni mtoto wenu, lakini tegemea kusumbuliwa na moreen babby siku za mbele, hasa pale anayoyatarajia kwa huyo hapo juu nilikobold BLUU (either akiachwa naye, au akaja kumujua jamaa si muaminifu kabisa, muongomuongo, au jamaa naye alishazaa nje na hakuwahi kusema kabisa) licha ya kwamba mimi namuombea nayofikiri na kuwaza yawe hivyohivyo ila yakienda tofauti atakosa furaha maisha yake yote wanaume dizaini zako uran wako wachache sana.
Songa mbele mkuu uran wanaume tumeumbiwa mateso... matesoo,,,, MUNGU AKUBALIKI KWA KUWA MUWAZI KABISA, NA UTAISHI MAISHA YA FURAHA YA AMANI, KWA KUKIRI KOSA NA KUOMBA MSAMAHA. SASA HUYO ASIYETAYARI KUSAMEHE KWA SABABU HIZO ALIZOZITOA WEWE MUACHE LAKINI UTARUDI HAPA KUSIMULIA.
narudi kwako kwa sababu nakupenda sana..
Ok guyzz mshaurini uran but cio mmm cz siwez rud nyuma na uamuzi tayar nimeshautoa m cwez kuwa naye cio kwamba cmpend but cwez kumsababishia maumivu mwanamke mwenzangu ambaye na yy tayar anampenda uran pli mimi tayari nimeshampata ambaye ananipenda nami nampendaaaa
Ok guyzz mshaurini uran but cio mmm cz siwez rud nyuma na uamuzi tayar nimeshautoa m cwez kuwa naye cio kwamba cmpend but cwez kumsababishia maumivu mwanamke mwenzangu ambaye na yy tayar anampenda uran pli mimi tayari nimeshampata ambaye ananipenda nami nampendaaaa[/QUOTE]
uran Piga moyo konde songa mbele, hakuna anayeijua kesho mkuu umeshafanya ya kutosha mkuu hata kuja hapa wazi kiasi hicho ni ujasiri tosha so akam moreen haelewi basi. Tafadhali usifanye naye ligi tafadhali kuna extent anaweza fika hatua mood yake ikibadilika asiandike maneno mazuri na inaonyesha bado mnaweza onana pia hata kuwasiliana hakuna haja ya kukwazana mkuu.
USHAURI WANGU KWAKO MKUU uran
MKuu; uran endelea na maisha mbele, muache tu moreen baby, mbali ya kwamba kwa jicho la tatu anakupenda, ila kwa kuwa naonyesha hadharani anapingana na moyo wake, wewe mtafute mama mtoto jifunze kumpenda leeni mtoto wenu, lakini tegemea kusumbuliwa na moreen babby siku za mbele, hasa pale anayoyatarajia kwa huyo hapo juu nilikobold BLUU (either akiachwa naye, au akaja kumujua jamaa si muaminifu kabisa, muongomuongo, au jamaa naye alishazaa nje na hakuwahi kusema kabisa) licha ya kwamba mimi namuombea nayofikiri na kuwaza yawe hivyohivyo ila yakienda tofauti atakosa furaha maisha yake yote wanaume dizaini zako uran wako wachache sana.
Songa mbele mkuu uran wanaume tumeumbiwa mateso... matesoo,,,, MUNGU AKUBALIKI KWA KUWA MUWAZI KABISA, NA UTAISHI MAISHA YA FURAHA YA AMANI, KWA KUKIRI KOSA NA KUOMBA MSAMAHA. SASA HUYO ASIYETAYARI KUSAMEHE KWA SABABU HIZO ALIZOZITOA WEWE MUACHE LAKINI UTARUDI HAPA KUSIMULIA.
so touching
M nshamsameehe ila siwezi kuwa wake tena naomba anijibu haya maswalihuyo mama mtoto wake atampeleka wapi wakati kwao tayari anajulikana na mimi nafasi yangu itakuwa wap