uran as much as hupendi kusikia hili...MOVE ON! majuto mjukuu!amu makosa huwa yanatokea, na kama moreen angekuwa mkweli na aeleze hisia zake za kweli
ingenifanya hata mimi nibadilike kirahisi.
inshort she is a good pretender,
aliwahi hadi kunitagg baadhi ya picha akiniambia huo wa kwenye picha ndiyo mchumba wake.
kuona mimi nitafanyaje, kumbe haikuwa kweli.
ni kama bado anapima nguvu zangu juu yake.
na ndiyo namwambia hapa, maisha ya maigizo kunirusha roho si mazuri
Nimefanya kosa gani miye jamani miss neddy?😱
wivu sina ila roho---------
cc Karucee
uran,,nilishatoa ushauri wangu hapo.Lakini sasa natamani kuwauliza umri wenu!! uran umeishajieleza vya kutosha,na kwa kweli unahitaji pongezi mwanaume kufunguka namna hiyo!Ila sasa moreen baby wako huyo,angekuwa na mapenzi ya dhati wala msingefika hapa,,fanya maamuzi magumu,anza maisha mengine!Hata mkioana Atakusumbua sana huyo,amekuuliza kaenda chuo then kazi miaka yote ulidhani hasiwe na mtu??Mmg'ang'anie uone,hata ndani ya ndoa atakuwa anakwambia si unajua nilikwambia nilikuwa na mtu!
uran as much as hupendi kusikia hili...MOVE ON! majuto mjukuu!
Sisi ni mashahidi, tutaishuhudia ile kweli kwamba u tried ur best but she was not ur best .....kuna mwingine mdogo wangu.
Tatizo sijakuona
Sasa kesho uje parokiani kwenye Jumapili ya matawi
Sawa?
i'm not sure if she dont love me.
..
naamini pia naweza ku move on.
haha nitakuja paroko
jumapili ya matawi kama sijaielewa