Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
- Thread starter
- #81
Mkuu hata Mimi nimegundua watu sio waaminifu kbsa ikija Kwenye masuala ya pesa, especially wanawake.Mwaka uliopita watu wamekula laki 3 yangu za madeni,kuanzia sasa mpaka kufa kwangu pesa yangu wataisikia kwenye bomba sahv niko makin mno nimegundua watu ni washenz sana