Shehena ya Zawadi kutoka kwa Wamarekani ikiwafanya Wanaume watakaoitumia wasipende 'Kubong'oa' hovyo nami nitakuwa naitumia Kunakotukuka

Shehena ya Zawadi kutoka kwa Wamarekani ikiwafanya Wanaume watakaoitumia wasipende 'Kubong'oa' hovyo nami nitakuwa naitumia Kunakotukuka

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na nasikia majaribio yake yanaanza kwa Wakazi wa Dar es Salaam na ninachoshukuru hasa GENTAMYCINE kuwa tayari nimeshahama Dar es Salaam tokea tarehe 18 Februari, 2024 na sasa nakula zangu tu Kipupwe cha Mapinga nikiwa na Makomandoo wa Kiharaka hivyo hiyo Shehena ya wasiwasi kwa Team Kuzalisha itanikosa na nitaiepuka.
 
Tutaubugia Halafu Baadaye Oops Shida Hiyo Ya Ubwabwa Tutamlaumu Bashe
 
kumecha kumecha,mwezi mchanga.

images (4).jpeg
 
Dodoma Wajiandae Sasa Ndugu Zetu Ndiyo Hivyo
 
Kuna watoto wanaenda kupigwa na kitu kizito sana maishan mwao ewee mzaz mlinde mwanao
Nmemaliza
Ngoja nilambe asali mimi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Acha ndugu zake na Ndugai wale virutubisho waache umatonya.
 
Na nasikia majaribio yake yanaanza kwa Wakazi wa Dar es Salaam na ninachoshukuru hasa GENTAMYCINE kuwa tayari nimeshahama Dar es Salaam tokea tarehe 18 Februari, 2024 na sasa nakula zangu tu Kipupwe cha Mapinga nikiwa na Makomandoo wa Kiharaka hivyo hiyo Shehena ya wasiwasi kwa Team Kuzalisha itanikosa na nitaiepuka.

bana wew una fujo sana afadhali ukae huko huko itakufuata ikiwa inatoka bagamoyo na hii ya huko bunju bagamoyo, mapinga, na kambi zote za makomando hadi, msoga chalinze, kibaha na maeneo jirani...

there is no ecape roote..
 
Dunia imeshakuwa na watu wengi, vikao vyetu tunavyokaa na tunavyoendelea kukaa ni kujadili namna ya kuwapunguza kwanza mmejazana zajana na umasikini wenu lazima tuwapunguze au tuwapoteze kabisa tuja na kizazi kingne
 
Back
Top Bottom