Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🌝🌝🌝Huyu sheikh anasema dua inatumia nguvu kubwa hivyo inahitaji muumini wa dini kuweka pesa nzuri kupata dua nzuri
View attachment 3124419
Sadaka ni Ibada muhimu na ya lazima haijalishi dini ipi uliyopo.Huyu sheikh anasema dua inatumia nguvu kubwa hivyo inahitaji muumini wa dini kuweka pesa nzuri kupata dua nzuri
View attachment 3124419
Inategemea anakula nani hiyo pesaSadaka ni Ibada muhimu na ya lazima haijalishi dini ipi uliyopo.
Dua za kupima kama mchele zimeanza.Huyu sheikh anasema dua inatumia nguvu kubwa hivyo inahitaji muumini wa dini kuweka pesa nzuri kupata dua nzuri
View attachment 3124419
Lazima iliwe maana ndio kazi yake hiyoInategemea anakula nani hiyo pesa
Kwa Imani yako upo sahihi, Binafsi pesa yangu naitoa kwa masikini, wahitaji na wasiojiweza tu!!Lazima iliwe maana ndio kazi yake hiyo
He is so Greedy mpaka anashindwa kujizuia .Ingependeza tupate clip yake nzima -yawezekana kuna kitu alitaka kukiongea .
Sadaka ni Ibada muhimu na ya lazima haijalishi dini ipi uliyopo.
He is so Greedy mpaka anashindwa kujizuia .
Sisi hela zetu tunapeleka kwa wenye uhitaji na shida mbalimbali yeye atafute kazi ya kufanya apate pesa sadaka zetu zinatoka kwa sababu malumuHalafu siku hizi kobaz na wenyewe wameamka, kunasiku nilipita njia ya buza hadi temeke. Kila kituo utaona wameweka spika "Changia msikiti Allah atakulipaaa". Kuna jamaa akasema hii ndo biashara yao