OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Huwa wqna tu baiskeli huyo wa boda ni tajiri.Naona Masheikh wamechoka kupanda boda - boda kika siku, Wanataka sadaka za kutosha ili wanunue V8 sasa. 🤒🤒🤒
Pia ni waganga ukitaka kujua angalia kama wana mapete pete
Hao ni ndugu zetu wapo huku gamboshi nao huja kuongeza ujuzi wa kitaalam