Sheikh Alhad Musa Salum: Rangi ya Kijani inayotumiwa na CCM ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu

Hizo ni imani za kipagani, Mungu si mwanadamu hata mkaguzi
 
Ni mpaka 'watumwe' na Jiwe. Kwa kujituma na kufuata taratibu za kazi yake, Profesa Assad alisemwa kuwa ETI alitaka kujifanya nae ni MHIMILI.
 
Dua nyingine sasa ndio zinaanza kulipa!.
P
 
Sasa huyu Sheikh ndiyo katolewa nje ya line
Wake zake hao watatu sijui wawili,atawaleaje sasa [emoji1]

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…