Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salum asema Sheikh Mohamed Idd ni mshamba anayesumbuliwa na njaa, adai ana laana

Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salum asema Sheikh Mohamed Idd ni mshamba anayesumbuliwa na njaa, adai ana laana

Ni kweli
 

Attachments

  • Screenshot_20201025-110326_Facebook.jpg
    Screenshot_20201025-110326_Facebook.jpg
    101 KB · Views: 3
Halafu ana jeuri kishenzi alimkataa makonda wazi wazi mchana kweupeeee.
Huyo Sheikh huwa ananichekesha sana, akiongea anaongea kiswahili chenye lafudhi ya kiarabu. Basi ccm wakisikia hiyo lafudhi, wanamuona ndio kasoma dini vibaya sana. Nilipomwona tu huyo Sheikh wanafuatana na Makonda, nilijia fika hamna Sheikh bali muhuni.
 
Huyu alhad Salum ndio mwenyekiti wa kamati ya Amani..... Nimeshangaa sana!
Fisiemu mmeingiza laana yenu ya siasa majitaka katika dini swafi ya kiislamu na kusababisha mgongano wa kimaslahi baina ya viongozi wa kidini.

Sasa mmekaa pembeni na kuanza kushuhudia mtanange huku mkijifanya kusikitika!
 
Hii vita ya viongozi wa dini ni ya kimaslahi zaidi, inaonekana kimya kimya huwa wanavuta bahasha ili waje watuhubirie amani feki isiyokuwa na haki ndani yake, kuna mmoja yeye mahubiri yake ni kumsifia bwana nanihii eti kazuia korona, kajenga flyover, sijui na vitu gani halafu mwisho wa siku anatumia saa nzima kuhimiza sadaka hadi povu linamtoka, bila kujali hao waumini anaowatolea povu watoe sadaka wako hoi bin taabani kutokana na sera mbovu za uchumi za bwana ninihiiii..
 
Naskia askofu shehe ni mchelemchele
Shehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.

Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.

Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.


CCM kumekucha kwa kweli.

Maendeleo hayana vyama!
 
Sheikh mfitini.....!!!
Hana Adab......(huwa napenda sana lugha za kukunja namna hii)
sio adabu...
 
Back
Top Bottom