Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salumu: Upande ambao haujaridhika kuhusu Uchaguzi usisababishe vurugu, bali ufuate taratibu zilizopo ikiwemo ya kisheria

Pumbavu kabisa.
Mungu si fedhuli mpaka asikie maombi ya hawa wanafiki.
Corona ilifail kwasababu ya hali ya hewa na kinga yetu ya asili.
Mungu hawezi kufanya vitu nusunusu, au hawezi kufanya hili ajashindwa lile.
Umaskini mbona unaendelea?
UKIMWI mbona unazidi kutafuna taifa?.
 
Huyu ni shehe wa Dar, kila kitu kipo dodoma kwanini asimuachie shehe wa Dodoma kusema
 
Anajua kabisa matokeo ya uchaguzi wa Rais kwa mujibu wa katiba hayahojiwi wala hakuna chombo chochote kinaweza kupinga. Anawezeje kusema huo ujinga? Lakini pia maandamano siyo furugu, maandamano yanalindwa name polisi. Maandamano ndiyo njia pekee ya kudai haki kwenye uchaguzi huu
 
Ukweli wa dhuluma yote wanaujua, lakini kwa unafiki wao wanakimbilia tu kuwazuia wanaotaka kudai haki!

Hebu Waseme aliyeibiwa kura za urais atadai haki kwa njia ipi kwa katiba yetu hii?
 
Huu ni ushauri mzuri lakini wenzetu wanataka kushinda tu kila mara.

Haki inakuwa imetendeka pale wao wanaposhinda.
 
Na nyinyi waandishi mnaotuletea sijui shehe ugali wa Dar kasema hivi au vile, mliuliza hao waliowaitisha kama kulikuwa na HAKI kwenye uchaguzi?

Narudia

Mliuliza kama HAKI imetendeka kwenye uchaguzi?
 
Nimekumbuka movie ya kihindi inaitwa Andhaa Kanoun maana ya ni SHERIA NI KIPOFU lile sanamu likafungwa kitambaa
 
Wanashindwa kusema chanzo cha vurugu kitakuwa ni kipi wanawarukia walioshindwa kwa kudhurumiwa haki.
 
Watskaosababisha vurugu ni wale ambao hawatendi haki lakini hawasemwi.
 
Eti mesema

Upande ambao haujaridhika kuhusu Uchaguzi usisababishe vurugu, bali ufuate taratibu zilizopo ikiwemo ya kisheria.​


Labda angelituambia mbali ya taratibu ya sheria kuna taratibu gani nyengine za kufuata? Kwa nini huyu jamaa hakai kimya na kufanya kazi zake za kidini? Nilidhani Tanzania haina dini sana kwa nini watu wa dini wanajiingiza katika masuali ya siasa pamoja na uongozi wa nchi?
 
Hili lijamaaa yaani linakimbelembele sijui shekh gani huyu
 
Huyu Sheikh tapeli lazima atakuwa bwabwa
 
Hivi kuna mtu anamsikiliza huyu mpuuzi tuu!! Hivi alichaguliwa lini kuwa shekhe wa mkuu wa Dsm....hahaha pimbi hili
 
Namchukia sana huyu Sheikh. Tumbo njaa vinamuongoza kusema. Hata Lissu angeshinda angebadili uelekeo wa dishi lake.
 
Hawa mashekhe ubwabwa sijui wanaishi Nchi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…