Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salumu: Upande ambao haujaridhika kuhusu Uchaguzi usisababishe vurugu, bali ufuate taratibu zilizopo ikiwemo ya kisheria

Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salumu: Upande ambao haujaridhika kuhusu Uchaguzi usisababishe vurugu, bali ufuate taratibu zilizopo ikiwemo ya kisheria

AMANI ya NCHI yetu ni muhimu. Kila mtu anakubaliana na hilo. Uchaguzi umekwisha salama. AMANI bado ipo. Shehe anatahadharisha tusije tukaiharibu amani yetu. Wote tuliopo Tanzania hili linaeleweka. Kila binadamu raia wa nchi hii analielewa hili. Lkn humu haifahamiki kama kweli wote ni binadamu, hivyo chukua msimamo wako na tusipelekwe na upepo wa kulaani kila tamko lenye tahadhari yenye manufaa kwa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom