Sheikh apigwa miaka 5 baada ya kuua nguruwe

Sheikh apigwa miaka 5 baada ya kuua nguruwe

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Bila shaka sheikh alidhani yuko Riyadh Saudi Arabia.
Tiririka nayo.
Mtu mmoja nchini .Rwanda amehukumiwa kifungo cha miaka 5 baada ya kuua nguruwe

Mashahidi watatu wamedai kumuona imam sadate Musengiana akimpiga nguruwe na kumuua hapohapo.
Wakili amedai mteja wake alimuua kwa bahati mbaya baada ya kumuona nguruwe huyo maeneo ya msikitini katika wilaya ya kayonza mashariki ya Rwanda.
Wakili amedai mteja wake alimuua nguruwe huyo bila kukusudia baada ya watoto kupiga kelele na yeye kutoka na fimbo.
 
Bila shaka sheikh alidhani yuko Riyadh Saudi Arabia.
Tiririka nayo.
Mtu mmoja nchini .Rwanda amehukumiwa kifungo cha miaka 5 baada ya kuua nguruwe

Mashahidi watatu wamedai kumuona imam sadate Musengiana akimpiga nguruwe na kumuua hapohapo.
Wakili amedai mteja wake alimuua kwa bahati mbaya baada ya kumuona nguruwe huyo maeneo ya msikitini katika wilaya ya kayonza mashariki ya Rwanda.
Wakili amedai mteja wake alimuua nguruwe huyo bila kukusudia baada ya watoto kupiga kelele na yeye kutoka na fimbo.
Je angemua mbuzi kwa bahati mbaya angefungwa miaka mitano yote au angelipishwa fidia tu, kuna jambo jingine nyuma yake.
 
Chanzo cha habari hii ni nini? Au unatunga uwongo kumchonganisha watu ili ufurahi?
 
Hizi dini sijui Kwanini wabongo tunachanganyikiwa nao kiasi hiki. Ngoja nisimulie kidogo hali niliyokutana nayo wakati nataka kuanzia ufugaji wa huyu mnyama. Wakati naanza ujenzi niliagiza mchanga na mawe kwa kutumia mshikaji mmoja muislamu ambaye kadri alivyokuwa anaendelea kuleta material aligundua nataka kujenga Banda la kufuga nguruwe, ghafla akaanza kuzingua kuleta kwa wakati, sikuona sababu ya kubadilisha gari nyingine ila nikawa namuuliza vipi mbona unazingua kutekeleza makubaliano yetu? Jamaa akasema ndugu yangu lumber unataka kufuga nguruwe tena kwenye Kijiji ambacho wengi wetu ni waislamu Hilo Jambo haliwezekani. Mm nikamuuliza hivi kumbe hii nchi kuna vijiji vya wakristo na waislamu? Nikaenda mbele zaidi nikamuuliza hivi Mimi nikifuga nguruwe itakuzuia wewe kuiona Pepo? Nikamwambia lamda majirani zangu ndio watakaoweze kulaumu kutoka na kelele na harufu ya huyo mnyama lakini sio wewe unayekaa kilomita tano kutoka ninapofugia na nikamwambia ili kuepusha majirani kubughudhiwa na project yangu ndio maana nkanunua ardhi kubwa (20hct) ili kama nikele na harufu isiwabughuzi. Lakini nikasema nitadeal na yeyote atakayenizingua kwenye mradi wangu effectively. Imani yako hainihusu Mimi na Wala zambi zangu hazikuhusu wewe. Kila mtu adili na mishe zake sio kuleteana mizenguo na dini za kuletewa.
 
Back
Top Bottom