FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Huo ni ujinga, kwani wanaokula Nguruwe Rwanda huwa wanamla akiwa hai? Sasa shida nini? Hii habari itakuwa uzushi mtupu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongo ni kinyume chake 92percent muslimNatamani na bongo ingekua hivi.
Ikawaje mkuu huyo dereva alikuelewa baada ya hapo?Hizi dini sijui Kwanini wabongo tunachanganyikiwa nao kiasi hiki. Ngoja nisimulie kidogo hali niliyokutana nayo wakati nataka kuanzia ufugaji wa huyu mnyama. Wakati naanza ujenzi niliagiza mchanga na mawe kwa kutumia mshikaji mmoja muislamu ambaye kadri alivyokuwa anaendelea kuleta material aligundua nataka kujenga Banda la kufuga nguruwe, ghafla akaanza kuzingua kuleta kwa wakati, sikuona sababu ya kubadilisha gari nyingine ila nikawa namuuliza vipi mbona unazingua kutekeleza makubaliano yetu? Jamaa akasema ndugu yangu lumber unataka kufuga nguruwe tena kwenye Kijiji ambacho wengi wetu ni waislamu Hilo Jambo haliwezekani. Mm nikamuuliza hivi kumbe hii nchi kuna vijiji vya wakristo na waislamu? Nikaenda mbele zaidi nikamuuliza hivi Mimi nikifuga nguruwe itakuzuia wewe kuiona Pepo? Nikamwambia lamda majirani zangu ndio watakaoweze kulaumu kutoka na kelele na harufu ya huyo mnyama lakini sio wewe unayekaa kilomita tano kutoka ninapofugia na nikamwambia ili kuepusha majirani kubughudhiwa na project yangu ndio maana nkanunua ardhi kubwa (20hct) ili kama nikele na harufu isiwabughuzi. Lakini nikasema nitadeal na yeyote atakayenizingua kwenye mradi wangu effectively. Imani yako hainihusu Mimi na Wala zambi zangu hazikuhusu wewe. Kila mtu adili na mishe zake sio kuleteana mizenguo na dini za kuletewa.
Coz pesa alikuwa anazitamani alileta material lakini Kila alipopima maneno yangu na the way nilikua serious mpk leo anaishia kunipa salamu za aibu tu na project yangu inaendelea vizuri tu. Kunawatu washenzi sana yaan wanafikiri wanachikiamini wao watu wote waamini hivyo. Kama unaamini ukristo amini ila usilazimishe waislamu waamini mkristo anavyoamini na vice versa is true.Ikawaje mkuu huyo dereva alikuelewa baada ya hapo?
😄😄 Kwa Hio sheikh alimuua huyo nguruwe ili amle maana si hawezi kumla akiwa hai.?Huo ni ujinga, kwani wanaokula Nguruwe Rwanda huwa wanamla akiwa hai? Sasa shida nini? Hii habari itakuwa uzushi mtupu!
Shida ya upande wa pili wanajiona wanaonewa kwenye kila kituMchungaji kama huna degree Rwanda ni marufuku, na kengele za kanisani ni marukufu pamoja na adhana kwenye maspika kupigia watu kelele ni marufuku pia.
Punguza ulevi wa dini angalia sheria zao.
jambo ganiJe angemua mbuzi kwa bahati mbaya angefungwa miaka mitano yote au angelipishwa fidia tu, kuna jambo jingine nyuma yake.
Natamani na bongo ingekua hivi.
Bongo ingekuwa hivi wajinga wangeongezeka maradufu kuliko wajinga waliotapakaa hivi sasa. hizi dini zimefanya binadamu wamekuwa wajinga sana hawataki kabisa kutumia akili zao alizowapa Mungu.
Religion is Mankind op
Kenge kweli wewe sasa kwanini uwahusishe wenzio na dhambi zako? Tafuta mgalatia mwenzio mpe tenda ya kuleta hizo materials zakoHizi dini sijui Kwanini wabongo tunachanganyikiwa nao kiasi hiki. Ngoja nisimulie kidogo hali niliyokutana nayo wakati nataka kuanzia ufugaji wa huyu mnyama. Wakati naanza ujenzi niliagiza mchanga na mawe kwa kutumia mshikaji mmoja muislamu ambaye kadri alivyokuwa anaendelea kuleta material aligundua nataka kujenga Banda la kufuga nguruwe, ghafla akaanza kuzingua kuleta kwa wakati, sikuona sababu ya kubadilisha gari nyingine ila nikawa namuuliza vipi mbona unazingua kutekeleza makubaliano yetu? Jamaa akasema ndugu yangu lumber unataka kufuga nguruwe tena kwenye Kijiji ambacho wengi wetu ni waislamu Hilo Jambo haliwezekani. Mm nikamuuliza hivi kumbe hii nchi kuna vijiji vya wakristo na waislamu? Nikaenda mbele zaidi nikamuuliza hivi Mimi nikifuga nguruwe itakuzuia wewe kuiona Pepo? Nikamwambia lamda majirani zangu ndio watakaoweze kulaumu kutoka na kelele na harufu ya huyo mnyama lakini sio wewe unayekaa kilomita tano kutoka ninapofugia na nikamwambia ili kuepusha majirani kubughudhiwa na project yangu ndio maana nkanunua ardhi kubwa (20hct) ili kama nikele na harufu isiwabughuzi. Lakini nikasema nitadeal na yeyote atakayenizingua kwenye mradi wangu effectively. Imani yako hainihusu Mimi na Wala zambi zangu hazikuhusu wewe. Kila mtu adili na mishe zake sio kuleteana mizenguo na dini za kuletewa.
Lengo lake lilikuwa kutaka kuleta vurugu baina ya waisilamu na wakiristu akashitukiwa.Bila shaka sheikh alidhani yuko Riyadh Saudi Arabia.
Tiririka nayo.
Mtu mmoja nchini .Rwanda amehukumiwa kifungo cha miaka 5 baada ya kuua nguruwe
Mashahidi watatu wamedai kumuona imam sadate Musengiana akimpiga nguruwe na kumuua hapohapo.
Wakili amedai mteja wake alimuua kwa bahati mbaya baada ya kumuona nguruwe huyo maeneo ya msikitini katika wilaya ya kayonza mashariki ya Rwanda.
Wakili amedai mteja wake alimuua nguruwe huyo bila kukusudia baada ya watoto kupiga kelele na yeye kutoka na fimbo.
Safi sana Mahakama ya Rwanda.Bila shaka sheikh alidhani yuko Riyadh Saudi Arabia.
Tiririka nayo.
Mtu mmoja nchini .Rwanda amehukumiwa kifungo cha miaka 5 baada ya kuua nguruwe
Mashahidi watatu wamedai kumuona imam sadate Musengiana akimpiga nguruwe na kumuua hapohapo.
Wakili amedai mteja wake alimuua kwa bahati mbaya baada ya kumuona nguruwe huyo maeneo ya msikitini katika wilaya ya kayonza mashariki ya Rwanda.
Wakili amedai mteja wake alimuua nguruwe huyo bila kukusudia baada ya watoto kupiga kelele na yeye kutoka na fimbo.
NakaziaBila source huu ni umbea tu
Poleni sana mkuu kwa msibaSafi sana Mahakama ya Rwanda.
Suala kama ni kuua, mbona wanauawa kila siku kwa ajili ya kitoweo, why iwe an issue?😄😄 Kwa Hio sheikh alimuua huyo nguruwe ili amle maana si hawezi kumla akiwa hai.?