umeombwa uue ,je km alipanga kuuzwaHuo ni ujinga, kwani wanaokula Nguruwe Rwanda huwa wanamla akiwa hai? Sasa shida nini? Hii habari itakuwa uzushi mtupu!
nije nichinje kuku kwako , hlf nijibu mbona mnachinja kila siku kwa kitoweo , utaelewa ?Suala kama ni kuua, mbona wanauawa kila siku kwa ajili ya kitoweo, why iwe an issue?
Angenyongwa kwa kufanya dhulma kwa mnyama.Msiongozwe na hisia zenu.Kila mmoja aishi maisha yake.Je angemua mbuzi kwa bahati mbaya angefungwa miaka mitano yote au angelipishwa fidia tu, kuna jambo jingine nyuma yake.
anaezaj kuwa mkristo , wkt wakristo ni jina la kuonesha ni wafuasi wakeYesu mwenyewe hakuwa mkristo
anaezaj kuwa mkristo , wkt wakristo ni jina la kuonesha ni wafuasi wake
Kwenye dini yenu mnafundishwa kuwaita binadamu kenge ?dini hizi kuzishika changamoto sanaKenge kweli wewe sasa kwanini uwahusishe wenzio na dhambi zako? Tafuta mgalatia mwenzio mpe tenda ya kuleta hizo materials zako
πππππππππnije nichinje kuku kwako , hlf nijibu mbona mnachinja kila siku kwa kitoweo , utaelewa ?
Hapana dini hairuhusuKwenye dini yenu mnafundishwa kuwaita binadamu kenge ?dini hizi kuzishika changamoto sana