Sheikh yuko sahihi ...muislam Safi huwezi kuendeshwa Na mwanamke ....Astaghfirullah laanatulillah
Kazi kweli kweliSikiliza mwenyewe.
Sawa.Hii ni awamu ya siasa za kistaarabu bwashe.
naunga mkono hoja, ni kweli kuna baadhi ya Masheikh ni Masheikh ubwabwa.Shehe ubwabwa huyo!
Unaikana awamu yako pendwa?Tangu lini?Atajikuta mabwepande huko maana ndiko mahali awamu ile yenye mahusiano na hii walikua wanapeleka watu.
Mabwepande kushakuwa town siku hizi.Atajikuta mabwepande huko maana ndiko mahali awamu ile yenye mahusiano na hii walikua wanapeleka watu.