Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

Kitabu kisicho na shaka sasa hii shaka inatoka wapi maana naona pande mbili kinzani hapa.
Wanao kinzana nani na nani ? hadithi zipo sahihi zenyew kukataza jambo hili ,hata hivyo enzi ya Mtume Muhammad(Peace and blessing of Allah be upon him) hata Maswahaba zake (Mwenyezi Mungu awe radhi nao) hawakuwahi kumtea mwanamke Ktk nafasi yeyote ile kubwa ya uongozi kama vile gavana kwa wakati huo ilikuwa ni nafasi kubwa Ktk dola ya Uislamu.
 
Kuna vitu vingine vinatia shaka Sana kuhusu afya ya akili ya mzungumzaji na ya washangiliaji wake mapopoma. Wakati anateuliwa mara mbili kuwa makamu WA raisi huyo shekhe 'mufilisi' alikuwa haoni au hasikii au hajui utaratibu WA katiba umekaaje likitokea la kutokea?!!!!!! Alisema nn?!!!!!

Hilo moja, pili kwahiyo mnatakaje sasa maana ni mwaka sasa mama anaongoza na anaendelea kuchanja mbuga tu.....leteni basi jina la mtu anayefaa au pindueni mchukue nyie; acheni kung'orang'ora huko jikoni mnatupigia Keller!
 
Ni sawa, kwani pombe ni haramu, uzizi, uchawi, uongo, wizi, nyamafu, lakini vinafanywa na watu wengi kuliko wasiofanya. Jambo la kuongoza mwanamke halijafikia kuwa haramu, bali katika nchi za kisekula ndio kabisa lipo sawa tu
Will two wrongs make a right?
 
Saudi Arabia mwanamke haruhusiwi kuendesha tu gari. Hata akienda sokoni analazimika kujifunika mpaka kuwa kama jini. Sembuse kuongoza nchi au kuongoza chochote kinachoongozeka.
Shehe yupo sahihi.
Na haya si maneno ya sheikh, ni ya Uislam.
 
Wanao kinzana nani na nani ? hadithi zipo sahihi zenyew kukataza jambo hili ,hata hivyo enzi ya Mtume Muhammad(Peace and blessing of Allah be upon him) hata Maswahaba zake (Mwenyezi Mungu awe radhi nao) hawakuwahi kumtea mwanamke Ktk nafasi yeyote ile kubwa ya uongozi kama vile gavana kwa wakati huo ilikuwa ni nafasi kubwa Ktk dola ya Uislamu.
Kwahiyo nini mtazamo wako katika hili?
 
Sikiliza hoja zake.
kwa Ubongo huu hawezi kusikiliza
20211219_102505.jpg
 
Kuna vitu vingine vinatia shaka Sana kuhusu afya ya akili ya mzungumzaji na ya washangiliaji wake mapopoma. Wakati anateuliwa mara mbili kuwa makamu WA raisi huyo shekhe 'mufilisi' alikuwa haoni au hasikii au hajui utaratibu WA katiba umekaaje likitokea la kutokea?!!!!!! Alisema nn?!!!!!

Hilo moja, pili kwahiyo mnatakaje sasa maana ni mwaka sasa mama anaongoza na anaendelea kuchanja mbuga tu.....leteni basi jina la mtu anayefaa au pindueni mchukue nyie; acheni kung'orang'ora huko jikoni mnatupigia Keller!
Umemsikiliza vizuri? Anaongelea nafasi ya juu kabisa ya uongozi... Hizi nyingine hana shida nazo.

Pili; huo siyo msimamo wake wala maneno yake, ananukuu maandiko Matakatifu ya Quran.

Tatu; huu mwaka tunaongozwa ama tunapotezwa?
 
Ipo Aya inasema Wanaume ni viongozi wa wanawake na hadithi sahihi zikisema haitakiwi mwanamke awe mtawala mkuu nikipata nafasi nitakuwekea nambari kwenye vyanzo vyote .
Tutashukuru sana ukituwekea chanzo mkuu.
 
Back
Top Bottom