Sheikh Firdaus Sharifu aanza kutoa mafuta ya Upako

Sheikh Firdaus Sharifu aanza kutoa mafuta ya Upako

Status
Not open for further replies.
Asalaam Kama mnavyo jionea kwenye hii video waumini wa dini ya kiislamu wakimwagiwa mafuta ya upako toka kwa Allah. Kama nakuona ndugu yangu Ritz na FaizaFoxy bila kuwasahau Malaria 2 , THE BIG SHOW na mzee wangu Mohamed Said mnavyo furahia neema hii toka kwa Allah.
View attachment 3125141
Wacha uongo wewe.

Kumbe hata huelewi neno "marashi" limetokea wapi.
Hayo ni maji ya marashi (manukato).

Yanaitwa marashi kwa kuwa hivyo afanyavyo ni anarashia rashia kama mvua ya rasharasha.

Hujawahi kwenda shughuli za Waislam?

Kama ulikuwa huelewi, shughuli za Waislam zinanukia manukato mazuri mazuri. Ndiyo hayo.

Imani ni unadhifu.
 
Wacha uongo wewe.

Kumbe hata huelewi neno "marashi" limetokea wapi.
Hayo ni maji ya marashi (manukato).
Yanaitwa marashi kwa kuwa hivyo afanyavyo ni anarashia rashia kama mvua ya rasharasha.

Hujawahi kwenda shughuli za Waislam?
. Kama ulikuwa huelewi, shughuli za Waislam zinanukia manukato mazuri mazuri. Ndiyo hayo.

Imani ni unadhifu.
Umemruka jamaa na marashi ya upako sio.
 
Wacha uongo wewe.

Kumbe hata huelewi neno "marashi" limetokea wapi.
Hayo ni maji ya marashi (manukato).
Yanaitwa marashi kwa kuwa hivyo afanyavyo ni anarashia rashia kama mvua ya rasharasha.

Hujawahi kwenda shughuli za Waislam?
. Kama ulikuwa huelewi, shughuli za Waislam zinanukia manukato mazuri mazuri. Ndiyo hayo.

Imani ni unadhifu.
Bibi yangu nikupendaye salamalekh
 
Wacha uongo wewe.

Kumbe hata huelewi neno "marashi" limetokea wapi.
Hayo ni maji ya marashi (manukato).
Yanaitwa marashi kwa kuwa hivyo afanyavyo ni anarashia rashia kama mvua ya rasharasha.

Hujawahi kwenda shughuli za Waislam?
. Kama ulikuwa huelewi, shughuli za Waislam zinanukia manukato mazuri mazuri. Ndiyo hayo.

Imani ni unadhifu.
Upako huo shehe
 
Tapeli tu kama tapeli wengine hakuna Uislamu wa namna hii
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom