Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁Samia Hassan anatakiwa kuwa annointed with that shit
Hayo siyo mafuta, ni marashi.Uharibifu wa mafuta tu huo
Masheikh gani ,wakati anafanya huo utapeli msikitini, na juzi tulikuwa nae Sinza, akiwa na kina mazinge,kinyogori ,Shaffih ,au nikuletee video?Waislam sio wajinga kiasi hicho. Masheikh wakisikia watampa mawaidha aache utapeli wake. Tofauti na Wakristo
Ni mafuta ,acha ujinga, huyo tulikuwa nae juzi Sinza kwenye muhadhara na anafanya hivo Hadi misikitini , ukitaka nakuletea video ,na sasa hivi machawa wake ni kina mazinge ,kinyogori, Shaffih ,Hayo siyo mafuta, ni marashi.
Kama mnavyo jionea kwenye hii video waumini wa dini ya kiislamu wakimwagiwa mafuta ya upako toka kwa Allah. Kama nakuona ndugu yangu Ritz na FaizaFoxy bila kuwasahau Malaria 2 , THE BIG SHOW na mzee wangu Mohamed Said mnavyo furahia neema hii toka kwa Allah.
Sina kanisa linalouza mafuta ya upakowee mshkaji mnafiki kishenzi.
kumbe makanisa yenu yawauza mafuta tukiyasema inawauma sana ee😁😁😁
poleni sana
nitajie wapotoshaji wakiislamu watanoKuna kitu wengi hatuelewi. Wapotoshaji wapo ktk dini au Imani zote. Wewe ulifikiri wapo kwa wakristo tuu, pole sana.
HahahaaaMaustaadhi na mashekhe wameona huu ujinga wenzao upande wa pili
wanashusha tu maghorofa kwa kufanya biashara zisizolipa kodi na zenye wateja wa kudumu wasiolalamika Ubora wa bidhaa
Wameona wenzao wanaendesha magar ya gharama wengine had wanatoka congo kuja kuja kupiga pesa wameona isiwe kesi..
Wewe wakwanzanitajie wapotoshaji wakiislamu watano
huna hoja kauziwe wese huko.
Wewe wakwanza
HahahaaHuu ni mwaka wao
Ustadhi Shafii aliongoza kampeni ya kumpinga Mwamposa na Dr. Sule sababu ya shughuli zao za uponyaji wa kutumia zana kama mafuta nk
Sasa nilichokiona kwenye mdahalo tulioandaa mimi na Francis Ndacha pale Sinza darajani, ni Shafii kutozwa pesa na sheikh Firdaus Sharifu akiwa anatoa hoja jukwaani, na baada ya hapo akiwa anawapa pesa za kujikimu baada ya mkutano. Sheikh Firdaus Shairifu hana tofauti na dr. Sule katika eneo hilo la kuagua. Nikawaza si huyu huyu Shafii ndio alikuwa anaponda mambo haya kiasi cha kutuambia akiwa na Mazinge eti kwanini mnafanya mdahalo na mganga wakimaanisha Sule. Ila na wao wanapokea pesa za mnganga Firdaus, na niliposhangaa zaidi ni Dr. Sule alipokuja katika mkutano kama mtazamaji, naye akawachangia pesa na wakachukua. Yaani unaponda uganga halafu tena unakula pesa za mnganga, huu si unafiki kweli?
Haya sasa, naye kaibuka kutetea anapokula naam akitetea mafuta akiyapa jina lilelile ambao wakristo wanatumia yaani "upako" kama sheikh wake naam tajiri yake wa kiganga anavyotumia kuyaita. Kweli usicheze na mpunga.
Kweli Uislamuni mwaka huu kumechangamka......
Na Jeff Massawe
View attachment 3125978