Sheikh Firdaus Sharifu aanza kutoa mafuta ya Upako

Sheikh Firdaus Sharifu aanza kutoa mafuta ya Upako

Status
Not open for further replies.
Wameona wivu akina wapigaji mwamposa wanapata utajiri kwa staili hio na wao wameona waingie mazima [emoji23]
 
Wacha uongo wewe.

Kumbe hata huelewi neno "marashi" limetokea wapi.
Hayo ni maji ya marashi (manukato).

Yanaitwa marashi kwa kuwa hivyo afanyavyo ni anarashia rashia kama mvua ya rasharasha.

Hujawahi kwenda shughuli za Waislam?

Kama ulikuwa huelewi, shughuli za Waislam zinanukia manukato mazuri mazuri. Ndiyo hayo.

Imani ni unadhifu.
ili kuvutia majini...No wonder mnaogopa kula kitimoto atafukuza majini... Takabill😁
 
Ni wakati wake sasa na yeye kujiita Sheikh Firdaus Sharifu Boniface Mwamposa! Ili apige vizuri hela za wajinga.

Asisahau pia kuuza udongo wa kutoka Makka na Madina kule Saudia, mafuta ya ngamia, udi, na tende halua halua zenye upako, nk.
Waislam sio wajinga kiasi hicho. Masheikh wakisikia watampa mawaidha aache utapeli wake. Tofauti na Wakristo
 
wakiristo kumbe hii inshu ya wachungaji/matapeli wenu kuwauzia mafuta inawakera😁😁😁

leo shehe uchwara mmoja kawamwagia watu maji naona wakiristo wamefurahi kinoma wanaona kama tupo ngoma droo

niseme hivii huyojamaa nitapeli namuda siomrefu tutamshuhulikua aache utapeli maji na mafuta hayaponyi chochote anaeponya ni mungu pekee
 
Watamkataa na kusema huyo ni mkristo
Kiakili na kisheria huwezi kumuita mkristo, huyo ni mtu ambae anakufuru, anafanya shiriki. Moja ya mambo ambayo yanamtoa mtu kwenye aifa za uislam, moja ya sifa nguzo kuu ya uislam ni tawhid, kumpekesha mwenyezi mungu hana mshirika lakini, lakini pia kumuamini yeye kuwa kila jambo yeye ndio muhusika mkuu, sasa unapopaka mafuta ama kuvaa pete ukiamini hiyo inakupa bahati ni SHIRIKI, ni kukufuru, unatoka kwemye sifa za uislamu
 
Hivi ilikuwaje zamani watu wanzamia kwenye meli kwenda kusaka maisha ughaibuni, mbona pesa zipo hapahapa nje nje.
 
Hawajaanza leo. Wamewaiga kina mwamposa kitambo.
Niliwahi hudhuria kongomano moja pale sabasaba mwaka 2013 nilishuhudia aibu tupu isiomithilika na kuvumilika. Ni mwendo wa kipunga mapepo tu.
Binafsi ni muislsmu ila nina mwaka wa 5 sijawahi nusa kwenye nyumba insitwa msikitini. Noliacha kabisa keenda msikitini basda ya ustadh mkoja kutoa mawaidha ya kitoto siku ya ijumaaa. Vile nsikiti huo huo ilikuwa ni memberi ya vijembe kugombea madaraka na rasilikali za wakfu. Huko ni kwa wabena, aisee nilitoroka huo msikiti mpaka leo. Msikiui wangu mimi ni kazi kusoma vitabu na kuangalia mpira, documentary nk. Siwezi endelea kwenda kusikiliza ujinga wa maustadh njaa. Waislamu huwa hatutafakari na kupima mambo tunaenda enda tu.
Achana na hio kuna maji ya zam zam yapo kitambo sana. Waafrika ni wale wale usidhani wanatofauti.
Hayo maji ya zam zam yana nini mkuu.?
 
Mfumo Kristo unatawala dunia na itachukua miaka mingi kuuvunja
Mavazi kwenye harusi
Mtindo wa sherehe kwenye ndoa
Mfumo wa mihadhara
Mfumo wa kwaya
Kutoa mapepo nknk
 
kwenye dini yetu huyu niwakuzaba makofi tuu.

akatapeli wakiristo huko mavi yake
Kuna kitu wengi hatuelewi. Wapotoshaji wapo ktk dini au Imani zote. Wewe ulifikiri wapo kwa wakristo tuu, pole sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom