Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Cc Faiza FoxyKama mnavyo jionea kwenye hii video waumini wa dini ya kiislamu wakimwagiwa mafuta ya upako toka kwa Allah. Kama nakuona ndugu yangu Ritz na FaizaFoxy bila kuwasahau Malaria 2 , THE BIG SHOW na mzee wangu Mohamed Said mnavyo furahia neema hii toka kwa Allah.
😆😆😆Cc Faiza Foxy
Wacha uongo wewe.Asalaam Kama mnavyo jionea kwenye hii video waumini wa dini ya kiislamu wakimwagiwa mafuta ya upako toka kwa Allah. Kama nakuona ndugu yangu Ritz na FaizaFoxy bila kuwasahau Malaria 2 , THE BIG SHOW na mzee wangu Mohamed Said mnavyo furahia neema hii toka kwa Allah.
View attachment 3125141
Umemruka jamaa na marashi ya upako sio.Wacha uongo wewe.
Kumbe hata huelewi neno "marashi" limetokea wapi.
Hayo ni maji ya marashi (manukato).
Yanaitwa marashi kwa kuwa hivyo afanyavyo ni anarashia rashia kama mvua ya rasharasha.
Hujawahi kwenda shughuli za Waislam?
. Kama ulikuwa huelewi, shughuli za Waislam zinanukia manukato mazuri mazuri. Ndiyo hayo.
Imani ni unadhifu.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Kuimba kupokezana.
Bibi yangu nikupendaye salamalekhWacha uongo wewe.
Kumbe hata huelewi neno "marashi" limetokea wapi.
Hayo ni maji ya marashi (manukato).
Yanaitwa marashi kwa kuwa hivyo afanyavyo ni anarashia rashia kama mvua ya rasharasha.
Hujawahi kwenda shughuli za Waislam?
. Kama ulikuwa huelewi, shughuli za Waislam zinanukia manukato mazuri mazuri. Ndiyo hayo.
Imani ni unadhifu.
Upako huo sheheWacha uongo wewe.
Kumbe hata huelewi neno "marashi" limetokea wapi.
Hayo ni maji ya marashi (manukato).
Yanaitwa marashi kwa kuwa hivyo afanyavyo ni anarashia rashia kama mvua ya rasharasha.
Hujawahi kwenda shughuli za Waislam?
. Kama ulikuwa huelewi, shughuli za Waislam zinanukia manukato mazuri mazuri. Ndiyo hayo.
Imani ni unadhifu.
Uislam ni mwema sana.Umemruka jamaa na marashi ya upako sio.
Masihi mwana wa Mariam ndio nani?Uislam ni mwema sana.
Masihi (mwenye upqko) wa nwisho ulikuwa wa Yesu Kristo.
Sasa neno masihi kwa kuwa Waislam tunamwita Yesu, masihi mwana wa Mariam. Matapeli wamelibadili wanawaibia watu eti "upako".
Nikweli nilimsikia mazinge akisema wateja wa mwamposa wengi ni wanawake tena wanatoka zanzibariWavaa kobazi ndio wateja wazuri hata kwa yule Mwamposa.
Ni mwislamu, huyo, waislamu swafi wamesha mwagiwa.Tapeli tu kama tapeli wengine hakuna Uislamu wa namna hii