Sheikh Firdaus Sharifu aanza kutoa mafuta ya Upako

Status
Not open for further replies.
Hawajaanza leo. Wamewaiga kina mwamposa kitambo.
Niliwahi hudhuria kongomano moja pale sabasaba mwaka 2013 nilishuhudia aibu tupu isiomithilika na kuvumilika. Ni mwendo wa kipunga mapepo tu.
Binafsi ni muislsmu ila nina mwaka wa 5 sijawahi nusa kwenye nyumba insitwa msikitini. Noliacha kabisa keenda msikitini basda ya ustadh mkoja kutoa mawaidha ya kitoto siku ya ijumaaa. Vile nsikiti huo huo ilikuwa ni memberi ya vijembe kugombea madaraka na rasilikali za wakfu. Huko ni kwa wabena, aisee nilitoroka huo msikiti mpaka leo. Msikiui wangu mimi ni kazi kusoma vitabu na kuangalia mpira, documentary nk. Siwezi endelea kwenda kusikiliza ujinga wa maustadh njaa. Waislamu huwa hatutafakari na kupima mambo tunaenda enda tu.
Achana na hio kuna maji ya zam zam yapo kitambo sana. Waafrika ni wale wale usidhani wanatofauti.
 
Nakala FaizaFoxy
 
Tangia lini marashi yakamagika kama maji..acha kutetea ujinga
 
Ni nini faida ya hayo maji ya marashi (manukato)?
 
Usikute kuna manufaa anapata, huenda analipwa.
Ahaa labda. Ila mie nisha quite kwenye hizo jumuia naenda kwa utaratibu wangu sitaki kupangiwa sheria. Nilichobakiza ni hizi sheria za ccm ambazo mda mwingine zinapelekesha watu bila matakwa yao.
Sisi waislamu huwa tunaona eti kila walicholeta warabu ndio njia sahihi za maisha, ujinga tu unatusumbua, hatuna akili za kupima ukweli na uongo.
Hora wakiristo weniine huwa wanaamka hadharani na kupinga mfano Anyony Lusekelo anapinga mambo mengi tu ya biblia. Mfano juzi kasema Yesu hakuwa na dini, hebu ibuka usema Muhamad saw hakuwa na dini uone jinsi utakavyoshambuliwa.
Hamonize alisema mungu huenda akawa mwanamke, mashehe walihemka vibaya mno bila hoja za msingi. Tena alitumia neno HUENDA wala hakuthibitisha kuwa ni mwanamke. Alitolewa na laana za kila lugha.
Hii ndio Africa ya wajinga.
 
Ni wakati wake sasa na yeye kujiita Sheikh Firdaus Sharifu Boniface Mwamposa! Ili apige vizuri hela za wajinga.

Asisahau pia kuuza udongo wa kutoka Makka na Madina kule Saudia, mafuta ya ngamia, udi, na tende halua halua zenye upako, nk.
 
Mimi navyoelewa kuhusu Mafuta n.k

Watu wengi imani zao zipo chini Sana

Na njia za kuziinua Imani zao ni kuwapa mafuta ya UPAKO

Ukiachana na utapeli Ila ikiwa imani yako IPO chini dua haiwezi kufanya kazi.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Weweeee tuliaaaaa
Acheni janja janja
 
Uislam ni mwema sana.

Masihi (mwenye upqko) wa nwisho ulikuwa wa Yesu Kristo.

Sasa neno masihi kwa kuwa Waislam tunamwita Yesu, masihi mwana wa Mariam. Matapeli wamelibadili wanawaibia watu eti "upako".
Ubarikiwe Kwa comment hiiπŸ™
 
Amechagua biashara ngumu ambayo haitadumu na anguko lake kwa umri wake ni kubwa, kama alidhani wale wenzake wametoboa kirahisi kupitia hizo mambo basi mpeni mwezi mmoja tu.
 
Amechagua biashara ngumu ambayo haitadumu na anguko lake kwa umri wake ni kubwa, kama alidhani wale wenzake wametoboa kirahisi kupitia hizo mambo basi mpeni mwezi mmoja tu.
 
U guys fail to understand kitu kirahisi kabisa, mtu kujinasibisha na kitu/dini ni jambo ambalo yoyote anaweza kulifanya, awe muislamu asiwe muislamu. Kumbuka Uislamu umekataza kuzini (katika moja ya makatazo yake) je hakuna waislamu wanaozini?

Jambo ambalo mnapaswa kulifahamu ni kwamba abadan huyu hawezi kujustify kwa ushahidi juu ya anachokifanya kuwa ni mafundisho ya Uislamu. Hapo ndo anapoanguka yeye na wengine kama yeye. Uzuri wa Uislamu ni kwamba kila kitu kina reference, na majority ya wafuasi wa kiislamu wanajua angalau basics za dini yao, ikiwa hii clip imetumwa kwenye social media ambapo watu wanaweza kuweka comment basi nenda kasome comments za waislamu tu wakawaida (achilia mbali mashekhe) juu ya hili na utagundua 99% wako mbali na anachokifanya.

Uislamu haubadiliki kulingana na matendo/mtazamo wa mtu anayejiita Muislamu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…