kukumweupe
JF-Expert Member
- Apr 18, 2020
- 439
- 599
... uzi wa CUF ulimzungumzia Shekhe Kilemile; huyu ni mwingine.Mode unganisha uzi huu na ule wa CUF!
... Usishangae baadhi ya id's humu zikianza kuwa silent. Hali ni mbaya mno.Soon habari za tanzia zitajaa humu jf bora kufungua stika kwaajiri ya vifo vya chagamoto ya upumuaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka kwenye titteer ya Balozi Khamis Kagasheki ni kuwa huyu gwiji wa kutafsiri msaafu kwa lugha kadhaa za kimataifa ametangulia mbele ya haki.
Balozi ameandika "Nimepokea habari za kifo cha Sheikh Othman Matata kwa masikitiko mkubwa. Namuombea kwa Mwenyezimungu ampokee, amsamehe na amjaalie pepo. Hakika tumeondokewa na msomi aliyeifafanua dini yake kwa lugha mbali mbali za kimataifa. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun KSK_Balozi"
Kutoka kwenye titteer ya Balozi Khamis Kagasheki ni kuwa huyu gwiji wa kutafsiri msaafu kwa lugha kadhaa za kimataifa ametangulia mbele ya haki.
Balozi ameandika "Nimepokea habari za kifo cha Sheikh Othman Matata kwa masikitiko mkubwa. Namuombea kwa Mwenyezimungu ampokee, amsamehe na amjaalie pepo. Hakika tumeondokewa na msomi aliyeifafanua dini yake kwa lugha mbali mbali za kimataifa. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun KSK_Balozi"
Bado ccm wanapima Kware, Mbuzi, Papai, Kuku na kondoo!